Posts

Showing posts from February, 2010

HUSSEIN MACHOZI IS BACK WITH ZA MWIZI 40

Image
Track Name: ZA MWIZI 40 Singer: HUSSEIN MACHOZI Produced by: AMBA & KID BWOY Composed by: HUSSEIN MACHOZI arranged by: HUSSEIN MACHOZI & KID BWOY Mixed by: KID BWOY Studio: TETEMESHA RECORDZ / AB RECORDS ZA MWIZI LYRICS VERSE-1 Nilipokufata mara ya kwanza nilikwambia "I got no money", jibu lako toka moyoni mwako ukasema "its okey", Nilipokufata mara ya kwanza nilikwambia "I got no money", jibu lako toka moyoni mwako ukasema "its okey", Nilidhani nimepata kumbe nimepotea njia, nikienda kazini night kumbe ndo yako tabiaaa, kosaaaa, la kwangu mwenyeweeee, kumweka chui kwenye zizi la mbuziiiiii, CHORUS Kwa kinywa chako ulisema unanipenda unanithaminiiiiii, Ona sasa umeumbuka na umefanya niniiiiii, Hii jeans ya naniiii? ahaaaa, Hii shati ya naniiii? Hii buti ya naniiiiii? ahaaaa, Na hii simu ya naniiii? VERSE-2 Haya sasa chagua nikupe adhabu ganiiii, ohoooo hakuna forgiveness huruma wala niniiii, heieiei Haya sasa chagua nikupe adhabu ganiiii,

DAWA ZA KICHINA ZAMUUMBUA JAMAA

Dawa za kuongeza maumbilie maarufu kama Mchina zimemuumbua mkazi mmoja wa Dar baada ya kutumia ili kuongeza nyeti yake ambayo anadaia ilisababisha wake watatu kumkimbia kutokana na udogo wake. Kulingana na Radio wapo pamoja na clouds fm, jamaa baada ya kuoa mke wa nne aliamua kutafuta ushauri wa nini afanye ili mke wake wa wanne asimkimbie ndipo akashauriwa na rafiki yake kujaribu "Mchina", kulingana na kituo hicho jamaa ilimchukua siku mbili kuanza kupata majibu na akaanza kuenjoy tendo na mkewe huyo wanne. Ilimchukua siku kadhaa maumbile ya nyeti yake yakazidi kukua na hatimaye kwa sasa hawezi tena tendo hilo kwa yamekuwa na kufikia kilo tisa za nyeti zake tu hadi sasa na mke wa wanne naye kamkimbia pia maana mzigo haubebeki tena. Wadau mnasemaje kuhusu hili?

JOTI ALAZWA MUHIMBILI:(MOI)

Image
Habari zilizonifikia hivi punde ni kwamba msanii maarufu wa kundi la ze comedy JOTI amelazwa katika hospitali ya Muhimbili katika kitengo cha mifupa(MOI) baada ya kukongwa na gari maeneo ya salender Bridge wakati wakichukua shooting maeneo hayo,ajari hiyo imetokea baada ya kundi la ombaomba hao kuwapinga wanakomedy hao kuchukua shooting eneo hilo kutokana na issue iliyojitokeza juu ya mtu mmoja ambaye wiki kama mbili zilizopita katika eneo hilo mkono wake ulibadilika na kuwa na manyoya baada ya kumpatia ombaomba mmoja msaada,hivyo katika purukushani hizo ndipo joti alipotaka kukatisha barabara ghafla akagongwa na gari

Siri ya mtungi aijuaye kata- King Kibaden

Habari zilizonifikia hivi punde zinaeleza kuwa Klabu ya soka inayoshiriki ligi kuu Tanzania Bara Manyema Rangers maarufu kama mkuki wa sumu, imemtimua kazi kocha wake mkuu mwenye machachari Abdallah King Kibaden. Chanzo cha habari kinaeleza kuwa sababu halisi ya kumwachisha kazi kocha huyo ni kutofanya vizuri kwa Manyema, baada ya kufungwa mechi nyingi za ligi kuu mfululizo na kutishwa na mstari wa kushuka daraja. Kwa mujibu wa Kocha huyo mwenyewe maarufu kama King Kibaden, repoti hiyo ya Klabu imempa ahueni kwani anajisikia kutua mzigo mkubwa kichwani mwake. ‘kulikuwa na matatizo mengi, na wanasema siri ya mtungi aijuaye kata amesema Kibaden huku akieleza kuwa yeye ndiye anayejua kilichokuwepo ndani ya Klabu na kwamba kulikuwa na mchanganyiko wa mambo mengi yaliyoleta ugumu katika mafanikio.

CONDOM KUONGEZWA AFRIKA KUSINI

Image
Maafisa wa kamati inayoandaa michuano ya kombe la dunia nchini Afrika Kusini, wamesema mipira ya Condom itasambazwa kwa wingi wakati wa dimba hilo. Maafisa hao wanasema hatua hiyo inanuiwa kuzuia maambukizi ya ukimwi wakati huo. Daktari anayesimamia maswala ya afya katika kamati hiyo, Victor Ramathesele, amesema wingi wa watu watakaozuru afrika kusini, na hali ya sherehe itakayokuwako imewalazimu kuweka mikakati ya kipekee ya kuwakinga watu. Afrika kusini ni moja ya mataifa yenye idadi kubwa zaidi ya watu wenye virusi vya ukimwi.

BOIL WATER BEFORE U DRINK

Image
DAWASA has asked all living in the city to boil the water before drinking it, It is recommended that the water be boiled for at least three minutes, before it is used for drinking, in making food or for brushing teeth.

Watu 17 wachinjwa kama kuku Musoma

WATU 17 wa familia tatu tofauti wakiwemo watoto wanane, wameuawa usiku wa kuamkia jana katika Kijiji cha Buhare, nje kidogo ya mji wa Musoma, mkoani Mara. Miongoni mwa waliouawa ni wanawake 11 na wanaume sita, wakiwamo watoto wa kike watano na wa kiume watatu. Wanane kati ya watu hao ni wa familia moja, akiwemo mume, mke, na watu wengine sita. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mara, Robert Boaz, amezitaja familia zilizokumbwa na maafa hayo ya kutisha kuwa ni za Kawawa Nyarukembe iliyopoteza watu wanane, Moris Mgaya watu sita na Mgaya Nyarukembe iliyopoteza watu watatu, akiwemo mke wa mwenye nyumba. Akielezea tukio hilo, Kamanda Boaz alisema watu wasiofahamika walizivamia familia hizo juzi saa sita usiku, wakavunja milango ya nyumba zao na kuwashambulia wanafamilia kwa silaha zenye ncha kali, huku wengine miili yao ikitenganishwa na viwiliwili. Aliwataja waliouawa katika tukio hilo la kutisha ni Nyambona Kawawa, Juliana Kawawa, Nyarukende Kawawa, Mengi Kawawa Nyanyama Kawawa, Kenguye Kawawa, An

ona hivi vituko duniani?!!!!!!!!!!!!

Image

HAPPY VALENTINE

Image

"RAINBOW TRAINING COLLEGE"

Chuo cha Rainbow Training college kinawatangazia nafasi za masomo kwa kozi zifuatazo ENGLISH COURSE Beginner course- 2 months intermediate level 1-2 months intermidiate level 2- 2 months pre-advance-2 months Advanced- 2 months COMPUTER APPLICATION PROGRAMS Introduction to computer with DOS microsoft office application(word,Excel,Access,Power Point,Publisher) Adobe Pagemaker Adobe Photo shop Corel draw Computerized Accounting using Tally Computerized Accounting using MYOB Quark Express Passport Internet and E-mail and many more ADULT SECONDARY EDUCATION QT- (FORM ONE AND TWO) KWA MWAKA MMOJA SHILINGI 250,000 INAJUMLISHA NA ADA YA MTIHANI. FORM FOUR RE-SETTERS-pia nafasi zinapatikana kwa masomo ya sanaa (Arts) wahi nafasi bado zipo,wanapatikana Kinondoni studio karibu na Hostel za vijana wapigie simu no 0787-528818/ 0713- 033015 kwa maelezo zaidi karibuni sana

KAA MKAO WA KULA ...........

Image
Kaa mkao wa kula kupata albam mpya ya Fid Q ukipenda Mwanza Mwanza aka Ngosha,itakayo kuwa dukani hivi karibuni.

Uingereza kuwabana wanafunzi wa kigeni

Sheria kali zilizoanzishwa nchini Uingereza kuhusu wanafunzi kutoka nje ya ulaya wanaokuja nchini humo kwa masomo zitawafanya wanafunzi wengi kutoka barani Afrika kutoweza kusomea Uingereza. Idara ya uhamiaji Uingereza - UK Border Agency, imesema watu wengi wametumia vibaya na kukiuka sheria za uombaji wa viza hasa za wanafunzi. Serikali ya Uingereza imeongezea vikwazo kupiga vita ukiukaji wa sheria hizi. Ukiukaji wa sheria umekuwa ukifanyika kufuatia kukomeshwa kwa uchunguzi uliokuwa ukifanywa kuhakikisha kwamba wanafunzi wanarudi nchini mwao baada ya kumaliza masomo yao na mda waliopewa na idara ya uhamiaji Uingereza kumalizika. Ingawaje wanafunzi wanachunguzwa kabla ya kupewa viza, hawajakuwa wakichunguza hivi karibuni kuhakikisha kwamba wamerudi nchini mwao.Imekuwa vigumu kujua idadi ya wale wanaorudi na wale wanaoishi Uingerza kinyume cha sheria. Idara ya uhamiaji inasema kwamba itakuwa vigumu sana kuvunja sheria za uhamiaji siku zijazo. Mnamo mwaka 2011, Idara hio itakuwa na tech

Harusi ya wanaume yavunjwa Mombasa

Polisi katika mtaa wa Mtwapa ulioko kaskazini mwa mji wa Mombasa nchini Kenya wamewakamata wanaume wawili waliokuwa wanajiandaa kuoana. Afisa wa utawala katika eneo hilo George Matundura amesema wanaume hao walikuwa na pete tayari kufunga ndoa katika hoteli moja iliyoko Kikambala katika wilaya jirani ya Kilifi. Raia pia wameripotiwa kuwakamata wanaume wengine kadha wanaodaiwa kushiriki mapenzi ya jinsia moja na kuwakabidhi kwa Polisi. Ndoa za watu wa jinsia bora ni marufuku nchini Kenya, lakini sio jambo la kawaida wale wanaofanya hivyo kukamatwa. Makundi ya Waislamu na Wakristo katika eneo hilo walifanya maandamano wakilaani kile walichokielezea kuwa tabia ya baadhi ya watu isiyokubalika katika eneo hilo la Mtwapa.

MIRIAM APANDISHWA KIZIMBANI LEO

Image
Miss Tanzania 2009 Miriam Gerald na Boyfriend wake Kenedy amepandishwa kizimbani leo kwenye mahakama ya Wilaya Kinondoni akishitakiwa kwa kosa la kufanya vurugu na kuharibu mali za bendi ya Volcano Sound inayomilikiwa na mwanamuziki Taji Mbaraka mtoto wa Marehem Mraka Mwishehe kwenye ukumbi wa TPDC Mikocheni. Kesi hiyo iliyofunguliwa Oysterbay na ilikuwa na jalada na OB /RB/2267/010 KUHARIBU MALI NA SHAMBULIO imesomwa leo katika mahakama hiyo na mshitakiwa Miriam amewekwa mahabusu ya mahakama hiyo baada ya kukosa dhamana, kesi imaeahirishwa, hata hivyo ndugu na jamaa wanahangaika ili kuhakikisha anapata dhamana kabla muda wa kuwachukua mahabusu kutimia ili kuweza kumnasua na kupata dhamana, bado haijafahamika kama ataweza kutimiza masharti ya dhamana na kufanikiwa kupata kwa leo au la. Kimsingi kama Miriam atapatikana na hatia hii itakuwa ni jambo baya kwa mrembo huyo anayeshilikila taji la Miss Tanzania 2009/2010 kwakuwa mrembo huyo aliaswa na wadau mbalimbali wa urembo kuwa balozi mw

MPANGO MZIMA WA MAANDALIZI YA "ZINDUKA"LEADERS CLUB"

Image
MAANDALIZI YAKIENDELEA KATIKA VIWANJA VYA LEADERS JIJINI DAR ES SALAAM AMBAPO TAMASHA KUBWA KABISA LA "ZINDUKA" LITAZINDULIWA HAPA KWA NIA MOJA TU YA KUTOKOMEZA UGONJWA WA MALARIA,MHESHIMA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA DR.JAKAYA MRISHO KIKWETE NDIO ATAZINDUA RASMI.KUTAKUWA NA BURUDANI PIA KUTOKA KWA WASANII MBALIMBALI WA BONGO FLAVOUR KAMA VILE LADY JAY DEE,MATALUMA,PROFESA JAY,BANANA ZORO,MWASITI,BI KIDUDE,RAY C,KIINGILIO NI ELFU 3000 TU."the source of pictures are from www.michuzijr.blogspot"

HII MIKAO MINGINE INA MAANA HAWAWEZI KUKAA CHINI?

Image
Hawa askari wa jiji wana hatari unacheki walivyokalia virungu vyao!iga uone

LIL WAYNE ACHUNGULIA JERA:

Image
Haya ni maneno aliyoyasema lil wayne jana baada ya hukumu yake kuhairisha kutokana na kesi inayomkabili ya kukutwa na bunduki kinyume cha sheria I'm out this b----. To all my fans, my real fans I really, really truly love you. I love you with all of me for real. Tonight's my last night. ... I came to the studio to get some work done. To all you artists out there, that should be a message or example. I came to work. For all the people that didn't know, this is the last time you gonna be seeing me live for a long muthaf---in' time. So watch: This is history."

UMEKIONA KITU CHA KICHINA?

Image
Dah hips za k........ tutasalimika kweli? ukimwi utatumaliza chukua hatua tulia na wako.BROTHERS AND SISTERS

SASA WE DOGO NDO...............

Image
SI watoto wa kibongo tu wanavisa cheki huyu dogo wa majuu ina maana hana njaa ya siku mbili?
Image
wakazi wa zenj mkae tayari kwa kumpokea kijana anayetisha kwenye game la bongo flavour kwa zile nyimbo za malavi davi

HOTEL MALTIVILA

Image
Unapokuwa mji wa musoma(MSM TOWN)Basi hapa ndo mahali pa kupata mlo wako,wanapatikana mtaa wa mukendo kubwa ilipokuwa RTC zamani

ZINDUKA KUFANYIKA TAREHE 13/02/2010

Image
(ZINDIUKA) kampeni ya kutokomeza malaria ambayo itazinduliwa februari 13 kwa onyesho kubwa litakalofanyika kwenye viwanja vya Leaders Kionondoni jijini Darisalaam. Mgeni wa heshima akiwa Rais Jakaya Kikwete, kampeni hiyo itaendeshwa karibu nchi nzima, pia kampeni hii ni kuhamasisha kizazi kipya cha vijana kupambana na ugonjwa wa malaria ili kuifanya jamii iliyo salama dhidi ya ugonjwa huo hapa nchini na inaratibiwa na Wizara ya Afya na Ustawi wa jamii pamoja na mradi wa kutokomeza maralia.b wasanii kibao atakuwepo ikiwa ni pamoja na kidumu kutoka burundi,lady jay dee, pro jay, diamond, dully,marlow,madee,jeska, bi kidude, mwasitimataluma, triple x, banana, ngwea na wengine kibao..

ONA VITU OBAMA ALIVYOTUPIA

Image
Obama ni soo kwa bling bling katupia vitu vya ukweli si unaona we mwenyewe.

ENZI HIZO MZEE RUKSA NA MICHAEL JACKSON

Image
DU umeona hayo makochi enzi hizo mgeni akitoka lazima uyakung'ute kiaina

MASISTER DU SI NDO UNATUPIA HIKI SASA CHENYE SWAGGAH

Image
Sasa dada zangu kuna nini tena kama ndo mitindo si ndo hii hapa

ANORD KAZINI

Image
MWANANGU ANORD NYAMBERWA WA TV TUMAINI AKIWA KAZINI AKIMHOJI DJCHOKA DJ MAARUFU HAPA BONGO

MTOTO WA SINGIDA ANAYEIENDESHA DAR

Image
Msanii wa bongo fleva anayefanya vizuri kwa kila track atakayoitoa na hivi sasa anatesa na wimbo wake mpya unaoitwa I RUN DSM (MTOTO WA SINGIDA) anajulikana kwa jina la Cyrill ameongea na Bongo Star Link na kusema yuko kwenye maandalizi ya video yake mpya ambayo wimbo wake utakuwa wa love song na anamalizia track za album yake. Na amesema kundi lake linalojulikana kwa jina la WAKACHA lipo kwenye final touches kwa kuibua wimbo wao mpya ambao umetengenezwa katika studio za Fishcrab kwa Producer Lamar.

MSIPENDE KUVAA VITU VYA LEATHER

Image
Unaona jamaa wanavyosubiria waanzae kuchukua ngozi yake waanze kutengeneza vitu vya leather

DUU MSIPENDE KUVAA VITU VYA LEATHER

CHEKI JINSI MAANDALIZI YA KUTOA MAGAMBA