Posts

Showing posts from June, 2014

ANGALIA ALICHOKICHORA KICHWANI GOLI KIPA WA MAREKANI.

Image
 Tim Howard goalkeeper wa timu ya Marekani picha yake ikichorwa kichwani, mambo haya ni huko Brazil kila mtu alionyesha mapenzi yake kwa mchezaji wa kutoka kwenye timu ya taifa ya nchi yake. Habari ndiyo hii unaweza kuona sura ya goalkeeper pamoja na bendera ya marekani, ushafikiria kuchora kitu kama hiki kichwani?

VIDEO: BRAND NEW VIDEO YA BEN POL UNANICHORA feat. JOH MAKINI TIZAMA HAPA

MAGAZETI YA LEO JUMATATU YAKO HAPA.

Image
  CREDIT:mjengwa.

BET: ORODHA KAMILI YA WASHINDI WA BET 2014 HII HAPA

Image
BET Awards 2014 ilifanyika usiku wa kuamkia leo huko Los Angeles, Marekani na kuwahusisha wasanii wa kimataifa kutoka katika kona mbalimbali za dunia. Katika tuzo hizo, Beyonce Knowles, Pharrell Williams na August Alsina waling’aa zaidi. Beyonce alitangazwa kuwa mshindi wa tuzo tatu ambazo ni Best Female R&B/Pop artist, Best Collaboration na Fandemonium.   Mshindi wa tuzo ya Grammy, Pharrell Williams aliendeleza ushindi wake kwa mwaka huu baada ya kuibuka mshindi wa tuzo ya Video of the Year na Best Male R&B/Pop artist. Na August Alsina alishinda tuzo ya Best New Artist na Viewers’ Choice Award. Muigizaji kutoka Kenya Lupia Nyong’o alikuwa moja kati ya washindi wa awali na alitangazwa kuwa mshindi wa tuzo ya Muigizaji bora wa kike (Best Actress) Hawa ndio washindi wa BET Awards 2014 Best Female R&B/Pop Artist Beyoncé Best Male R&B/Pop Artist Pharrell Williams Best Group Young Money Best Collaboration Beyoncé f/ JAY Z – “Drunk In

VIDEO: TIZAMA HAPA VIDEO YA KOMANDO LADY JAYDEE - NASIMAMA

BET WAONYESHA DHARAU KUBWA KWA WASANII WA KIAFRIKA

Image
Zikiwa zimebaki takribani masaa matano kabla ya tuzo hizi kubwa duniani  za BET kuanza kutolewa rasmi, kuna jambo kubwa la kustusha ambalo limewaacha mashabiki wa muziki na maswali mengi ya sintofahamu na kukosa majibu hasa ni jambo gani lililopelekea mpaka tuzo hizi kutolewa kinyemela kwa msanii anayefanya vizuri katika bara la Afrika. Katika kipengele cha Best African Act ambapo kinawakutanisha wasanii wakubwa kutoka bara la Afrika wakiwakilishwa na wasanii kama Mafikizolo (Afrika kusini), Diamond Platnumz (Tanzania), Davido na Tiwa savage wote kutoka Nigeria na Sarkodie (Ghana). Tukio lililotokea nalichukulia kama dharau na ubaguzi wa wasanii wa bara la Afrika,BET wameshindwa kuonyesha dhamani ya wasanii wa Afrika katika tuzo hizo, kabla tukio zima la kuanza kutoa tuzo rasmi kwa washindi wote, msanii Davido amepokelea tuzo yake katika kipengele cha Best African Act aliyoshinda akiwa backstage.  Baada ya tuzo davido amewashukuru mashabiki wake kupitia twitter. Davi

WAY BACK CONCERT KUFANYIKA USIKU HUU JIJINI MWANZA.KATIKA UWANJA WA CCM KIRUMBA.

Image
Inspector Haroon aka Babu (L) akiwa na Soggy Doggy Hunter (R) jana usiku kwenye stage la Villa Park wakiwakaribisha wakazi wa jiji la Mwanza kwenye Tamasha la Burudani ya Bongo fleva za kale litakalofanyika leo Jumamosi ya tarehe  28 juni 2014 katika uwanja wa CCM Kirumba.     Inspector Haroon aka Babu akiwa sambamba na Jay Moo, Juma Nature, Suma G, Soggy Doggy Hunter na Afande Sele wakiwa chini ya usimamizi wa Dj Choka wanategemea kufanya show leo kuanzia saa 11 jioni hii katika uwanja wa CCM Kirumba Mwanza ambapo kiingilio ni shilingi 3,000/= Vinywaji, vyakula, kuwepo. Utambulisho jana usiku. yep... gsengo na wadau Source:gsengo