Posts

Showing posts from March, 2016

MAGAZETI YA LEO MARCH 31

Image

EGYPTAIR: MTEKAJI ATAKA KUMUONA ''MKEWE''

Image
Ndege ya EgyptAir Ripoti zinasema kuwa mtekaji wa ndege ya EgyptAir anataka kuongea na mkewe walietengana naye anayeishi Cyprus ambaye kwa sasa anadaiwa kuelekea katika uwanja huo wa ndege. Rais wa Cyprus Nicos Anastasiades amewaambia waandishi wa habari kwamba tukio hilo la utekaji nyara halikuwa la kigaidi,''tunafanya juhudi kuhakikisha kuwa kila mtu anawachiliwa akiwa salama'',aliongezea. Akijibu maswali ya waandishi iwapo mtekaji huyo alishinikizwa na mapenzi,alicheka na kusema,''kila mara kuna mwanamke anayehusishwa''. Shirika la habari la Cyprus CYBC linasema kuwa mtekaji huyo huenda alikuwa na malengo yake ya kibinafsi ,mtekaji huyo alikuwa na mkewe waliyetengana nchini Cyprus ,lilisema CYBC. Walioshuhudia wanasema kuwa mtekaji huyo alirusha barua katika uwanja huo wa ndege ilioandikwa kiarabu akiomba ipelekwe kwa mwanamke huyo. Ndege ya EgyptAir Mtaalam wa maswala ya angani David Learmont ameiambia BBC kwmba rubani huyo angek

Madaktari waipa serikali siku 14 baada ya wenzao kupigwa na kusimamishwa kazi

Image
Chama cha Madaktari nchini Tanzania (MAT) kimetoa siku 14 kwa serikali kuchua hatua dhidi ya vitendo vya udhalilishaji na utesaji vinavyofanywa na wanasiasa na wananchi kwa watoa huduma wa afya katika hospitali za umma hapa nchini. Akitoa tamko hilo mbele ya waandishi wa habari katika hosptali ya Taifa Muhimbili jijini Dar es salaam, rais wa chama cha madaktari Dk Billy Haonga amesema vyombo vinavyohusika, kama jeshi la polisi na serikali, visipochukuwa hatua stahiki kwa muda wa siku 14 chama hicho kitaitisha mkutano mkuu wa dharura kujadili usalama wao na hadhi ya tasnia ya udaktari katika kutoa huduma. Aidha, Dk Haonga amesema kuwa katika sekta zinazofanya kazi chini ya kiwango kwa asilimia kubwa kwenye sekta zake zote hapa nchini ni sekta ya afya kutokana na uhaba wa raslimali watu, vifaa tiba na madawa. Ameeleza kuwa mapungufu hayo yanatokana na bajeti ndogo ya sekta ya afya inayotengwa na serikali, jambo linaloathiri kwa kiasi kikubwa utoaji na upatikanaji wa huduma za

Maneno ya wimbo yamgusa Rais Magufuli akajumuika kuimba na Wanakwaya Chato

Image
Info Pos Email This   BlogThis!   Share to Twitter   Share to Facebook  

NEW VIDEO: LAU WA JOHN "NIMETULIA" VIDEO YA KENNY UKIYZ

Image

Wireless carriers offer free calls and texts after Brussels attacks

Brussels under attack Many major wireless carriers are offering free calls and texts in and out of  Brussels  after the attacks there that killed 30 on Tuesday. The companies participating include  AT&T   ( T ,  Tech30 ) ,  Verizon   ( VZ ,  Tech30 ) ,  T-Mobile   ( TMUS ) , Sprint   ( S ) , Virgin Mobile USA and Boost Mobile. AT&T  specifically said it will credit both landline and wireless customers for texts and calls from the U.S. to Belgium from March 22 to March 28. "Our thoughts are with the people of Belgium and our customers who have friends and family there," the company said in a statement. TELUS is waiving roaming and text charges for customers connecting both to and from Brussels through April 5. Those charges will be credited back to customers on a future bill, according to spokeswoman Emily Hamer. Related: ISIS claims responsibility for Brussels attacks Sprint, Sprint Prepaid, Boost Mobile and Virgin Mobil

Waziri aiagiza NHC kutokuanzisha miradi mipya hadi 7 ya kibiashara iliyoanzishwa ikamilike

Image
Lukuvi pia amepiga marufuku ongezeko la kodi za nyumba za serikali (za NHC) kabla ya Waziri kutaarifiwa.

RC DAR ES SALAAM APOKEA MSAADA WA MADAWATI 500 KUTOKA TIGO KWA AJILI YA SHULE ZA MSINGI

Image
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda (kushoto), akisalimiana na Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Simu ya Tigo, Diego Gutierrez mara baada ya kuwasili Shule ya Msingi ya Kawawa iliyopo Manispaa ya Kinondoni kupokea msaada wa madawati 500 kutoka Kampuni ya Simu ya Tigo Dar es Salaam leo asubuhi. RC Makonda akisalimiana na wafanyakazi wa Tigo. Ofisa Elimu wa Wilaya ya Kinondoni, Kiduma Mageni akizungumza katika hafla hiyo ya kupokea madawati hayo. Ofisa Elimu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Raymond Mapunda akizungumza kwenye hafla hiyo kabla ya kumkaribisha mgeni rasmi Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda kupokea msaada huo. Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Simu ya Tigo, Diego Gutierrez  akizungumza katika mkutano huo. Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda (katikati), akizungumza katika hafla hiyo wakati akipokea msaada huo. Wanafunzi wa Shule ya Msingi Kawawa wakipiga makofi wakati wa kupokea msaada huo. Wanahabari nao walikuwepo kuchukua taarifa hiyo.

SPIKA WA BUNGE APANGUA KAMATI ZA BUNGE.

Image
Spika wa Bunge la Tanzania Job Ndugai amefanya mabadiliko ya baadhi ya wajumbe wa kamati mbalimbali za kudumu za bunge ili kuzingatia mahitaji mapya na changamoto zilizojitokeza.

MAGAZETI YA LEO JUMATANO, MARCH 23

Image