Posts

Showing posts from August, 2016

MAGAZE YA JUMANNE ,AGOSTI 30

Image
TANZANIA

Taarifa ya NHC kuhusu ilivyojiandaa kufanikisha uamuzi wa serikali wa kuhamia Dodoma

Image
Mkurugenzi NHC Bw. Nehemia Mchechu akizungumza na waandishi wa habari makao makuu ya shirika hilo Upanga jijini Dar es Salaam kuhusu wadaiwa sugu wa pango katika shirika hilo. Kulia ni Meneja Mauzo wa NHC Bw. Itandula Gambalagi na katikati ni Muungano Saguya Meneja katika ofisi ya Mkurugenzi. Serikali imeamua kutekeleza Ilani ya Uchaguzi ya Chama Tawala inayoelekeza Serikali kuhamishia shughuli zake Mji Mkuu wa nchi yetu Mjini Dodoma. Shirika la Nyumba la Taifa linaunga mkono uamuzi huu wa kizalendo wa Serikali ya Awamu ya Tano chini ya Mheshimiwa Rais Dkt. John Pombe Joseph Magufuli wenye lengo la kuharakisha maendeleo ya nchi yetu. Sisi katika Shirika la Nyumba tunaunga mkono uamuzi huu kwa sababu umetupatia fursa zifuatazo:- Kuendelea kutekeleza jukumu letu la msingi la ujenzi wa nyumba katika mji wa Dodoma kwa ajili ya watumishi wa Serikali wanaohamia Dodoma Kuliongezea Shirika soko la nyumba inazojenga kwa ajili ya kuwauzia wananchi Kuongeza kasi ya ukuaji wa uchumi ku

Tanzania to build new tyre factory

Image
The Tanzanian government is set to build a new tyre plant. According to local news reports, permanent secretary in the Ministry of Industry, Trade and Investment Dr Adelhem Meru, told the Public Accounts Committee (PAC) the new factory will be based on new technology --  tyrepress.com  notes. He also said the new factory would new replace General Tyre East Africa Limited (GTEA) and that there are no plans to revamp General Tyre because of the relatively old-fashioned machinery used there. In 2012 Tanzanian ministers pledged US$20 million to kick-start General Tyre, but the plans never materialised. GTEA ended production in 2009. AllAfrica.com reports that the government re-purchased 26 per cent if GTEA shares worth 2.1 billion shillings (£728,000; 849,000 euros; $961,000) from Continental AG last year (2015). This would value GTEA at around £3 million in total – less than the $20 million the government pledged to re-start production and far less than is required to build a new f

On duo citizenship: Special consideration given to Tanzanians living abroad

The government has started giving special consideration to Tanzanians living abroad to exploit various opportunities available in the country as it contemplates on duo citizenship --- Lydia Shekighenda reports for The DailyNews   via   AllAfrica Foreign Affairs and East African Co-operation's Head of Communications, Mindi Kasiga revealed this in Dar es Salaam yesterday when briefing journalists about the 3rd Diaspora Conference scheduled for today in Zanzibar. Ms Kasiga said that the government decision follows a number of challenges for the country to adopt duo citizenship. She said that the government's intention is to see Tanzanians living abroad or those who have changed their citizenship continue to enjoy some rights from their country of origin. Ms Mindi explained that such opportunities given to Tanzanians who have changed their citizenship include reducing the number of restrictions imposed to them when they are required to work in Tanzania. "This is done in col

MARUFUKU 'UKUTA' JIJINI DAR

Image
 Kamanda wa Polisi wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Kamishina Simon Sirro akionyesha site Mirror zilizoibwa katika magari leo jijini Dar es Salaam.  Kamanda wa Polisi wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Kamishina Simon Sirro akizungumza na waandishi habari juu ya Operesheni mbalimbali za kanda hiyo pamoja na kuzuia maandamano ya UKUTA, jijini Dar es Salaam leo.  Kamanda wa Polisi wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Kamishina Simon Sirro akionyesha magazine ya kuwekea risasi zilizokamatwa jijini Dar es Salaam.  Kamanda wa Polisi wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Kamishina Simon Sirro akioyesha bastola aina ya Browning yenye  risasi sita iliyokamatwa jijini Dar es Salaam. Kamanda wa Polisi wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Kamishina Simon Sirro akionyesha flana rangi mbalimbali zilizokamatwa.   (Picha na Emmanuel Massaka,Globu ya jamii). Na Chalila Kibuda, Globu ya Jamii JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limepiga marufuku maandamano y

Magazeti ya Leo Jumanne, Agosti 23

Image