Posts

MISHEMISHE NDANI YA JIJI PANDE ZA KARIAKOO

Image
pande hizi ni za kariakoo maeneo ya msimbazi nilikuwepo mida ya mchana,pande hizi watu hawakosekani kuna nyomi ya watu kama unabisha nenda saa nane usiku kariakoo na utakuta watu wanapiga mzigo kama kawaida!!!!

WASANII WA KIKE WANAHITAJIKA RJ COMPANY

Image
Wasanii wa kike wanahitajika kufika katika ofisi za RJ COMPANY zilizoko SINZA MORI kuanzia leo (jana) tarehe 17/3/2010 saa 4 kamili asubuhi mpaka saa 12 jion kwa siku za jumatatu mpaka ijumaa. Jumamosi kuanzia saa 4 kamili asubuhi mpaka saa 8 mchana.Lengo ni kuwapata wasanii wa kike ambao ni wapya katika tasnia ya filam nchini ili waje kushiriki katika filam mpya itakayoandaliwa na kampuni ya RJ.HAKUNA GHARAMA ZOZOTE ZILE WATAKAZOLIPISHWA KWANI KAMPUNI INAJITOSHELEZA. Narudia tena lengo letu ni kuwapata wasanii wapya katika tasnia ya filam nchini kwa hiyo kama unajihisi wewe ni mrembo basi kwa sasa tunatafuta wasanii wapya wa kike lengo ni kufuata maoni ya wadau kuwa wanataka watu wapya umri ni kuanzia miaka 18 mpaka 28 pia unaweza kututumia picha zako kabla ujaja ili tuweze kukuona jinsi ilivyo plz changamka uwe staa mpya wa kike kwa hisani ya michuzijr.blogspot.com

AFANDE SELE ATOA SOMO KWA WASANII WA BONGOFLEVA

Image
Muhimu ni kwa artist wa Bongofleva wenye majina kuwa tayari kukutana wote katika mikutano inayoendelea sasa ikiongozwa vyema na wasanii wenzetu ambao wameshalipia ada ya chama chetu BASATA na tayari mikutano inaendelea mara kwa mara japo mara nyingi wanaojitokeza ni artist wenzetu wakubwa kwa wadogo lakini si wale wanaoaminika kuwa na majina makubwa. Watambue kwamba wakati ndio huu wa sisi kutambulika kama wasanii ili tuweze kudai na kupata haki zetu tunazostahili toka katika vyanzo kibao vya michongo vilivyopo kwa ajili ya muziki wetu, vitu kama usambazaji, udhamini na mambo kibao ambayo leo yanakuja lakini wanachukua watu ambao kimsingi ndio wanaotutesa na kutunyima dili miaka yote. Rais alisema tumueleze shida zetu, wajanja wakasema eti shida yetu ni studio tu, wakati tuna matatizo kibao ya msingi ikiwemo sheria ya haki miliki katika katiba ilivyopitwa na wakati na mambo kibao yanayosabisha artist wakila bia mbili,tatu wanafulia!. Ila artist wa kibongo hasa wale wanaojitambua lazima

cheki comedy katika soka

"Young Forever" Jay-Z | Mr. Hudson

PRAY TO ALMIGHTY GOD THAT U WILL BE AT DSM AND TANZANIA IN 2060

Image
kigamboni KIGOGO MANZESE TANGA MWANZA DAR ES SALAAM Hivi ndivyo itakuwa Tanzania mwaka 2060,roho isikuume coz unaweza ukawa haupo 1DAR ES SALAAM

TUWASAIDIE WAJASIRIAMALI WETU JAMANI

Image
Check out this new ride from kitaani,Tuwasapoti wabunifu wetu jamani

Jamani, ebu angalieni hii, hizi sheria bado zipo? ?

Image
huko somalia ukikamatwa na mke wa mtu inakuwa hivi,check picha hizo hapo chini

Kumbe beat ya BULLET Haikutengenezwa na Marco Chalii!!!!!!!!!

Image
picha ya stiggo akiwa studio na ya pili ni marco chalii soma hapa chini msg kutoka kwa stiggo ibrahim(S&S RECORDS) Hey what’s up everybody! I thought the Producers in Tanzania have improved a lot but I guess I was wrong! Two and Half years ago, I made a beat and named it Block Running, I sold it to one of the Label called Koch Entertainment of New York with an agreement that wherever this beat goes my name gotta be there as a beat maker of this beat. Two days ago I was shocked when one of my friends from Tanzania sent me a song with the same beat I made 2 and half yrs ago! And I didn’t hear my name on the track. All I heard is Marco Chali. So I called Koch Entertainment to ask what’s going on. Koch Entertainment management were so surprised to hear the news. So they told me to send the song to them and I did, they asked me if I ever sent the beat to MJ Records of Dar-es-salaam, Tanzania. I told them I never did but had put the beat on iTunes so people can buy and use it for promoti

Hashim Thabeet seeks boost from D-League stay

Image
The plush surroundings of all those Ritz Carltons and Four Seasons have disappeared. These days, Hasheem Thabeet(notes) rests his head in a two-star motel in chilly Bismarck, N.D. Gone, too, are the charter flights and all the legroom they afforded. Eight months ago Thabeet was celebrating his selection as the second overall pick of the NBA draft. He now holds a new distinction: the highest pick ever to be sent to the NBA’s Development League. That’s not to say Thabeet has lost all his star power: In honor of his arrival, the Dakota Wizards discounted general-admission tickets for Wednesday’s game to $2. Related CoverageSlam-dunk apps for iPhone More From Marc J. SpearsBrand's starring role has faded with Sixers Feb 26, 2010 Hawks want Ilgauskas to soar with them Feb 22, 2010 Hasheem Thabeet (center) is the highest NBA draft pick to ever play in the D-League. (NBAE/ Getty Images) For Thabeet, the D-League is home, at least for a little bit, and he’s determined to make the best of

HATA NA MIMI NIMO KWENYE MSAFARA

Image
KILIMANJARO MARATHON 2010 YAFANA Mzee huyu wa mika 67 kutoka mkoani Arusha, Ake Lingstone akimaliza mbio za kilomita 21 wakati wa Kukimbia Mbio za Kilimanjaro Marathon zilizofanyika katika Uwanja wa Chuo Kikuu cha Ushirika Moshi Mkoani Kilimanjaro jana.Babu anaonyesha umuhimu wa mazoezi Picha kwa hisani ya Michuzi Blog

NDEGE YAZUA KASHESHE MWANZA!

Image
Habari kutoka Mwanza zinasema kuwa ndege aina ya Boeing 737 ya Shirika la Ndege Tanzania imepasuka matairi mawili ya mbele na kusababisha kizaaa kikubwa kwa abiria wapatao 36 na wafanyakazi 7 waliokuwamo ndani ya ndege hiyo, mapema leo asubuhi. Hali hiyo ilitokea wakati ndege hiyo ikijaribu kutua huku hali ya hewa ikiwa mbaya kutokana na mvua kubwa inayoendelea kunyesha karibu nchi nzima. Inaelezwa kuwa baada ya matariri ya mbele kupasuka, ndege ilitembelea tumbo kwa mita kadhaa kabla ya kufanikiwa kusimama na abiria pamoja na wafanyakazi wake kutoka salama. Safari za ndege kubwa zimesimamishwa kwa muda uwanjani hapo. Sehemu ya ndege hiyo inavyoonekana mara baada ya ajali hiyo leo (Picha kwa hisani ya Blog ya Jamii).