Posts

SIKILIZIA PINI KALI NA MPYA ZINAZOTAMBA KWENYE RADIO STATION NCHINI

Find more music like this on Bab Kubwa IF U FEEL MUSIC LISTEN THOSE TRUCKS

LIL WYNE APATA KIBARUA JELA..

Image
Lil Wayne anaendelea na maisha yake akiwa jela katika kisiwa cha Rikers na hivi sasa bosi huyo wa Young Money amepatiwa kazi maalum ya kufanya akiwa jela. Antonia Toya ambaye ni mpenzi wa lil wayne tangu wakisoma pamoja sekondari na pia mama wa binti wa Wayne aliye na miaka 11 sasa Reginae Carter amesema kazi ya Wayne jela ni kuangalia wafungwa wenzake wasiuane anawaangalia wafungwa walioshindikana wasipigane hadi kuuana, inaonyesha jamaa ni mtemi kuwazuia watemi, wababe kuacha kugombana ni kazi kubwa sana lakini anaipenda kazi hiyo ambayo haimlipi Nyota huyo wa Hip hop anatumikia jela mwaka mzima kutokana na kosa la kumiliki silaha kinyume cha sheria baada ya kuhukumiwa mwezi uliopita lakini jela za wenzetu ni nzuri kwani hadi hivi sasa hajakata nywele zake ndefu

KUMBUKUMBU YA KUMKUMBUKA MARTIN LUTHER KING

Image
leo ni kumbukumbu ya Mwanaharakati wa kutetea haki ya mtu mweusi(Martin Luther King)aliyezaliwa mwaka 1929 huko Marekani na kufariki mwaka 1968 na kuzikwa Atlanta.Alikuwa ni mpigania haki za mtu mweusi aliyeshiriki katika Civil Right Movement na Pan African Movement ili kumkomboa mtu mweusi,kutoka mikononi mwa Wazungu,juhudi zake na mchango wake hautasahulika kamwe pia ndoto yake aliyokuwa nayo kuwa siku moja nchi ya marekani itaongozwa na mtu mweusi imeshatimia.RIP

WABONGO KWA KUMODIFY

Image
LOL Sina la kusema wadau mnasemaje hapo

MAPENZI KITU CHA AJABU...

Image
Si binadamu tu wanyama pia wamo kwenye mchakato huu,ona picha

MAISHA NDO YANATAKIWA KUISHIA HIVI!

Image

SIO MPAKA UPANDE VX AU BENZ

Image
bi harusi na bwana harusi Bi harusi na bwana harusi huko majuu,lakini wanaona jambo la kawaida kupanda ndinga kama hii,pande za kwetu huku ni bonge la mzozo

APPLICATION FORM FOR ADMISSION ZINAPATIKANA

Image
Ndio maana lugha ikatafasiliwa kuwa ni sauti za nasibu zilizokubaliwa na wanajamii moja kwa ajili ya mawasiliano,neno hili kwa kiswahili lina maana tofauti kabisa,lakini kwa raia hawa unaowaona kwao lina maana nyingine kabisa...na kiswahili tunachokitumia...ingekuwa vipi sasa kiko hapa Bongo ungempeleka mwanao

HAPPY BIRTHDAY WILHELM ODDO

Image
WILHELM ODDO Leo ni siku ya kuzaliwa Wilhelm Oddo,wanalibeneke wote tunakutakia maisha mema na marefu na Mungu akusaidie katika masomo yako hapo Kampala International University.

kuwa makini na kandambili from Chin...........a

Image
si mchezo hizi ni kandambili kutoka china zilizosababisha kutokea kwa michubuko katika miguu,so be careful........

Pesa - Chime Group from Musoma Town

Siku ya leo nimekuja kiutofauti kiasi fulani nakuwa naongelea mkoa wa Mara sehemu niliyozaliwa kule na kupata elimu yangu yamsingi na sekondari pia,waswahili wanasema kuwa "mkataa kwao ni mtumwa" Nisikilize mimi pia soma hapa chini uweze kulifahamu hili kundi. Chime Group ni group la muziki linalopatikana mkoani Mara ambalo linajishughulisha na swala zima la muziki wa asili ya kitanzania,kundi hili niliweza kulifahamu mwishoni mwa mwaka ya 90 na kuweza kuteka hisia za wapenzi wa muziki pale Musoma wakitumia lugha ya kijita lakini pia wakitumia kiswahili,sikiliza wimbo huu upate kulifahamu kundi hili.

Nymba Ntobhu - Women Marrying Women

WANAWAKE WANAPOOLEWA NA WANAWAKE WENZAO TUPINGE UKATILI HUU,CHECK ZE VIDEO ABOVE.