Posts

JAMANI HII NDIO MUSOMA HOTEL YA LEO

Image
Watanzania hii ndio musoma Hotel ya Leo nipe maoni mdau picha ni kwa msaada wa Augustino Mgendi

HAYA NI NDIYO MAISHA BORA AU BORA MAISHA?

Image
AMBULANCE KIJIJINI PETU. USAFIRI NA MIUNDO MBINU. KWAO MBOGA SABA KUJISEVIA KWETU MULO MUMOJA WA MANATI. TWAISHI KAMA NYOKA. DARASA KAMILIFU NA UPEPO MWANANA HAIHITAJI FENI WALA AIR CONDITION. NYUMBA ANAYOISHI MWALIMU MKUU. DARASA LA MWANANGU KARNE YA 21. KWAO GESI NA UMEME. MAKAZI YETU. MAJI SAFI KWA KILA M... MWENYE HELA. MAJI SAFI KWA KILA MWENYE NIA. MAJI YETU KWAO MAJI TAKA. HALI YAKUKATISHA TAMAA. MAHAKAMA YA KITAA ISHAAMUA. TWASOMA ILI IWEJE? WAVUMBUZI WETU WANAUMIZA VICHWA KUVUMBUA LAKINI INAFIKA MAHALI WANAGOTA NA KUBAKI MASKINI. TUTAFANYAJE SASA? ISHAKUWA, WACHA TULEWE!

HIVI NDIVYO ILIKUWA MWANZA KABLA YA MATOKEO YA UBUNGE KUTOLEWA

Image
WAANDISHI WA HABARI WAKIHAHA KUJIKOSHA NA MAJI MARA BAADA YA POLISI KURUSHA MABOMU YA MACHOZI KUWATAWANYA WANANCHI WALIOKUWA WAKIFANYA FUJO KATIKA ENEO LA OFISI ZA HALMASHAURI YA JIJI LA MWANZA JANA JIONI. AKISIMAMA JUU KATIKA NGUZO ZA GETI KUU OFISI ZA HALMASHAURI YA JIJI LA MWANZA KIJANA HUYU ALIKUWA AKILIA KWA MACHUNGU KWA NINI MATOKEO YANACHELEWA KUTANGAZWA. MGOMBEA UBUNGE WILAYA YA NAYMAGANA BW. WENJWE AKIWATULIZA WANACHAMA WAKE KUWA WATULIVU NA KUYASUBIRI MATOKEO RASMI MARA BAADA YA UHAKIKI KUFANYIKA INGAWA TAYARI KULIKUWA NA DALILI ZA WATU KUCHOKA KUYASUBIRI MATOKEO HAPA ILIKUWA SAA NANE NA DK 45 MCHANA. KAMANDA WA POLISI MKOA WA MWANZA SIMON SIRO ALIWASIHI WANANCHI KUWA WATULIVU NA KUTOFANYA VURUGU KWANI JESHI HILO LIKO MAHALI HAPO KULINDA AMANI NA USALAMA HUKU LIKI HAKIKISHA ZOEZI HILO KUWA LINAFANYIKA KWA HAKI NA WANANCHI KUSHEREHEKEA USHINDI WAO KWA AMANI. WATU MAELFU KWA MAELFU KUTOKA KATA ZOTE ZA WILAYA ZOTE MBILI (NYAMAGANA NA ILEMELA) WALIANDAMANA

ALI KIBA MAKE IT HAPPEN........

Image
Kama wewe ni Mtanzania mpenda maendeleo hasa ya muziki wetu huna budi kumpongeza Ali Kiba kwa hatua aliyofikia na mafanikio yake kwa kuwa mmoja kati ya wasanii 8 toka Afrika walio-sign mkataba mnono sana. Hapo kati ni 2face , Kiba mwenyewe na JK wakiwa moja ya mitaa ya Chicago U.S.A Hapa ni ma-star wanaounda kundi la ONE8 wakiwa Studio waki-record ngoma yao pande za Chicago........ ONE8 ni kundi linalojumlisha ma-star 8 across Africa akiwemo Ali Kiba kutoka hapa kwetu Tanzania , Navio- Uganda , Aman - Kenya, 2face - Nigeria na wengine..................... Me nakutakia mafanikio mema ndugu. Tuwakilishe Watanzania na Muziki wetu the source of this info is from www.arniegizzle.blogspot.com

NGUVU YA UMMA NOMA,MBUNGE MTEULE WA MUSOMA MJI NI

Image
picha mbalimbali za Mbunge mteule wa jimbo la Musoma Mjini katika harakati zake za kampeni na hatimaye mambo yamekamilika leo asubuhi baada ya kutangazwa rasmi kuwa mshindi wa jimbo hilo kupitia chama chake cha CHADEMA

WELCOME TO THE OFFICIAL LAUNCHING OF THE NEW BAND

Image
WELCOME TO THE OFFICIAL LAUNCHING OF THE NEW BAND WITH MANY KIND OF MUSIC VIBES(THE M BAND) AT MZALENDO PUB MILLENNIUM TOWERS , FEATURING GRACE MATATA, BEN POL & MALFRED, FROM 8 pm TILL DAWN. DON'T THINK, KNOW THE BEST.

MAMBO NDANI YA ZENJ

Image
WAKATI MATOKEO YAKIENDELEA KUWASILI:CUF WAVAMIA OFISI ZA ZEC ASUBUHI HII KUTAKA SEIF SHARIFF HAMAD ATANGAZWE MSHINDI ZANZIBAR Wafuasi wa CUF wakiwa kwenye Ofisi za Tume ya Uchaguzi zanzibar (ZEC) kushinikiza mgombea wa chama hicho Maalim Seif Shariff Hamad atangazwe kuwa mshindi. -------------------- MATOKEO YA AWALI URAIS ZANZIBAR TUME ya uchaguzi Zanzibar imetangaza matokeo ya awali ya nafasi ya Urais wa Zanzibar kwa majimbo 15 ya Unguja na mgombea Urais wa Zanzibar kupitia chama cha mapinduzi CCM DK ALI MOHAMED SHEIN ameonekana kung,aa zaidi kwa ushindi wa majimbo mengi kisiwani Humo. Akisoma matokeo hayo mbele ya waandishi wa habari,waalikwa,waangalizi wa uchaguzi na wananchi katika ukumbi wa matangazo ya matokeo huko katika hoteli ya Bwawani mwenyekiti wa tume ya uchaguzi Zanzibar - ZEC - KHATIB MWINYICHANDE amesema FUONI Waliojiandikisha 10884 Waliopiga kura 9367 %86.1 Kura halali 9201 %98.2 Zilizoharibika 166 %1.8 DK SHEIN CCM 6351 %69.0 Maalim Seif CUF 2777 %30.2

BREKING NEWZ SUPER COACH MZIRAY KATUTOKA

Image
Marehemu Syllesai HABARI ZINASEMA SUPER COACH SYLVESTER SAID MZIRAY AMEFARIKI DUNIA ALFAJIRI YA LEO KATIKA HOSPITALI YA AGA KHAN JIJINI DAR ALIKOKUWA AMELAZWA AKISUMBULIWA N MALARIA. HABARI ZA MIPANGO YA MAZISHI ZITAFUATA MARA TU BAADA YA KUPATIKANA. COACH MZIRAY , ALIYEKUWA MWAJIRIWA WA CHUO KIKUU HURIA KAMA MHADHIRI, ATAKUMBUKWA KWA UMAHIRI KATIKA UFUNDISHAJI SOKA KATIKA VILABU MBALIMBALI HADI TIMU YA TAIFA ILIYOSHINDA UBINGWA WA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI. ALIFUNDISHA PIA PILSNER, SIMBA, YANGA, PAN AFRICAN NA KABLA YA MAUTI KUMKUTA ALIKUWA MWALIMU WA VIUNGO NA SAIKOLOJIA WA KLABU YA SIMBA. GLOBU YA JAMII INAUNGANA NA WATANZANIA WOTE KUOMBOLEZA MSIBA HUU MZITO AMBAO NI PIGO KWA TASNIA YA MICHEZO NCHINI UKIZINGATIA TUNA MAKOCHA WACHACHE WALIOSOMEA FANI HIYO NA KUBOBEA. MOLA AIWEKE ROHO YA MAREHEMU MAHALA PEMA PEPONI - AMIN

AY NA SEAN KINGSTON NDANI YA COLLABLE

Image
Ambwene Yesaya (AY) kwa wakati huu yupo mjini Mombasa akisubiri kupiga Show katika maadhimisho ya Siku ya Mashujaa wa Nchini Kenya, lakini Ishu nayotaka kuzungumzia hapa ni kuhusiana na Collabo waliypanga Kupiga A.Y na Msanii wa Kimataifa Sean Kingston, Kama unakumbuka A.Y aliwahi kusema miezi ya Kumi au Kumi na moja atachomoka kuelekea Katika jiji la Miami nchini marekani, Kukutana na Sean Kingston, So Gwafara Gwafara ilimvutia wire, ili kujua Safari hiyo ipo ama ni Magumashi. A.Y: Baada ya kutoka huku Mombasa Safari inayofuata ni ya kwenda Miami nchini Marekani, na tayari nimesha rekodi ngoma tatu, ambazo nitakwenda kumskilizisha Kingston so yeye atachagua ipi ambayo ipo mzuka kwake kutupia Vocal, lakini pia niko tayari kukaa nae chini kutunga Idea mpya ya wimbo kama hizi hazitomvutia. 255: Umesema umefanya Ngoma, Je Ngoma hizo umepigia Studio gani, na kuna msanii yeyote kutoka Bongo au Afrika Mashariki uliyemshirikisha kwenye Hizo ngoma? A.Y: Ngoma hizo nimepiga chini ya Mtu mzima P

SITOMWACHA LYRICS BY STEVE R&B RAET NGWEA

Verse 1: Steve r*b nakuhitaji we baby sina raha ukiwa mbali na mimi crazy yeah! nakuhitaji milele njoo tujipange wote milele unipe malavidaviyazidi kilele yeah! showty you drive me crazy yeah showty you drive me crazy eeeeeh Pre chorus ukinibania ntaumia, utanifanya daily nalia nalia baby sitovumilia vumila kwani moyo umekuchagua chagua weweX 2 Chorus sitomwacha sitomwacha huyu mtoto mzuri nikimpata ananipagawisha pagawisha anavyowaka uzuri wake kama taa showty nikibalieee showty niwe nawee X 2 Verse 2: Ngwea yeah , cowbama na east zoo yooh, holla! nizaidi ya zay b jinsi alivyo gado huyu baby figure yake roll modal aah anajiheshim anaheshimika kila angle hakuna nachofeel kwake zaidi ya mapendo sina mkataba nae bali nna malengo anajua kuhandle (ahaaaa) hana skendo body yake inakubali kila style ya pamba clssic million dolla smile anauchanganya ubongo wangu ka bacteria siku nisipo muona i feel sick, like malaria sio mi wakwanza , nilianza toka enzi wengi wamechanganyikiwa na mapenzi she

T.I. Sentenced To 11 Months In Prison

Image
A federal judge sentenced T.I. to 11 months in prison Friday (October 15) during a probation hearing, where the rapper was found to have violated the terms of his supervised release, according to the Atlanta Journal-Constitution.The prosecution sought to send T.I. (real name: Clifford Harris) back to prison for two years, The Associated Press reported. But the rapper pleaded with the judge to lessen his punishment and instead help him with his drug dependency, according to AP.Last month in Los Angeles, the rapper was arrested after a traffic stop, when police discovered drugs on him and his wife, Tameka "Tiny" Cottle. The incident prompted Friday's hearing. According to police documents obtained by several media outlets leading up to the hearing, at the time of his arrest, the rapper tested positive for opiates, was in possession of Ecstasy, and was also associating with a felon, who was present in his vehicle during the bust. T.I. was released from a halfw

SAMAHANI

Kwa wale wapenzi wa blog hii kidogo nilikuwa na Matatizo ya msiba pia kwa sasa niko kishule zaidi so kidogo hii kitu naona kama naipa muda mchache kidogo kwa sababu muda mwingi nakuwa shuleni,si unajua kuongeza elimu kidogo.....but tuko pamoja wapenzi wote wa blog hii.