Posts

Waziri wa Ardhi Nyumba na Makazi Prof. Anna Tibaijuka Atembelea Sinza Jijini Dar es Salaam na Kugundua Uuzaji Wa Maeneo Ya Wazi

Image
Waziri wa Ardhi Nyumba na Makazi Prof. Anna Tibaijuka akiongea na mkazi wa Sinza Ndahani Yohana ambaye amenunua eneo la wazi kwa utapeli kwa shilingi milioni 500 wiki mbili zilizopita, ambapo ramani halisi inaonyesha eneo hilo ni la wazi. Waziri wa Ardhi Nyumba na Makazi Prof. Anna Tibaijuka akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kukagua maeneo ya wazi yaliyovamiwa na wananchi katika maeneo ya Sinza E leo mchana. Waziri wa Ardhi Nyumba na Makazi Prof. Anna Tibaijuka wa pili kutoka kulia akiangalia ramani halisi inayoonyesha maeneo ya wazi wakati alipokagua maeneo ya wazi yaliyovamiwa na wananchi maeneo ya Sinza E wilaya ya Kinondoni, ambapo pia alikuwa akikagua mabango yaliyowekwa kwa ajili ya kuataarifu wananchi na kuwaelimisha maeneo ambayo ramani inaonyesha yako wazi kwa ajili ya mipango ya maendeleo ya Serikali. Diwani wa Sinza Bw. Renatus Pamba akimuonyesha Waziri wa Ardhi Nyumba na Makazi Prof. Anna Tibaijuka maeneo ya wazi yaliyovamiwa na wananchi k

HAPPY BIRTHDAY PRO JOHN BERA

Image
WISH ALL DA BEST BRO IN UR LIFE,LIVE LONGER..................

USIKU WA PUBLIC RELATIONS MANAGERS WAFANA SANA

Image
Jana usiku ulikuwa ni usiku maalum sana kwa wanafunzi wanaosomea kozi ya Mahusiano ya umma na Masoko (PRO) wa chuo kikuu cha mtakatifu Augustino (SAUT)waliofanya sherehe yao pale Nyumbani hotel katika kuwakaribisha wanafunzi wa mwaka wa Kwanza pamoja na kusherehekea ushindi wa FAWASCO (mshindi wa pili). Mgeni rasmi alikuwa ni mhadhili Emmanuel Silaa,pamoja na wageni wengine waalikwa kama Rais wa serikali ya wanafunzi (SAUTSO)Mh.Cosmas Mataba,akiambatana na waziri mkuu wake,pia na baadhi ya wahadhili kama Libelatus Chonya na Gibson.Sherehe iliambatana na burudani mbalimbali kutoka kwa wanafunzi wa PR wenye vipaji mbalimbali. Mgeni rasmi mhadhili Emmanuel Silaa alitoa nasaa zake kwa wana PR kuwa wawe na ushirikiano wa kutosha kuanzia wanafunzi wa mwaka wa kwanza mpaka wa tatu na kuheshimiana hii itapelekea kukamilisha nguzo muhimu ya kozi hii unity and solidality hata watakapomaliza masomo yao na kuelekea kazin

WAHITIMU CHUO KIKUU CHA KANISA KATOLIKI CHA SAYANSI ZA AFYA BUGANDO WAPOKEA NONDO ZAO

Image
"Anayetimiza wajibu wake hupata furaha ya moyoni" Kauli ya Mgeni rasmi Mhasham Kaimu Mkuu wa Chuo Kikuu cha SAUTI Agustin Shayo. Meza kuu. Licha ya juhudi za nchi kupata wataalamu wake kwenye sekta ya afya imeanza zamani lakini mpaka sasa idadi ya wataalamu kwenye sekta hiyo hairidhishi hivyo jitihada za dhati zinahitajika kukidhi mahitaji ya hospitali zetu. Takwimu zinaonyesha kwamba karibu 60% ya wafanyakazi wanaohitajika kwenye sekta hii hawapo hivyo maamuzi ya kuanzishwa kwa chuo hiki cha kufundisha madaktari yalilenga kuchangia kupunguza pengo hilo. Big up kwa BUGANDO. Rais wa Touch Foundation Mr Bryan Lowell akisema machache kwenye mahafali hayo. Ni mfuko ulio wawezesha wahitimu wengi kulipia ada za masomo. Since the establishment of this medical school a total of 556 students have graduated, 337 in Diploma Programmes, 144 in the MD Course, 33 in Masters programmes and one in PhD programme. Sehemu waliyo keti Wahitimu 33 kwenye shahada ya uzamili