Posts

MAKALA YA WILLY EDWARD NA KUHAMA KWA MWANAMUZIKI CHARLES BABA KUTOKA AFRICAN STARSBENDI YA

Image
  NAMFAHAMU vyema na nimekuwa nikifuatilia nyendo zake kwa karibu mwanamuziki nguli wa bendi ya African Stars 'Twanga Pepeta', Charles Gabriel Cyprian 'Chaz Baba' tangu alipotua bendi hiyo akitokea Mchinga Sound. Wakati huo Mchinga Sound ilikuwa ikimilikiwa na aliyepata kuwa Naibu Waziri wa Habari Utamaduni na Michezo na Naibu Waziri wa Wizara ya Ardhi na Maendeleo ya Makazi na Mbunge wa Jimbo la Mchinga, Mudhihir Mudhihir. Uhamisho wa Chaz Baba kutoka Mchinga Sounda kwenda Twanga Pepeta ulizua tafrani kubwa kati ya Mudhihir na Mkurugenzi wa Kampuni ya African Stars Entertainment Tanzania (ASET), Asha Baraka, hadi kufikia hatua ya kurushiana makonde Leaders Club. Tuyaache hayo! Chaz Baba ambaye ni mwimbaji, mtunzi na rapa, alizaliwa mwaka 1981 jijini Dar es Salaam. Alipata elimu ya msingi na sekondari lakini aliishia kidato cha pili mwaka 2004. Shughuli za muziki alianza tangu akiwa masomo

SHANNON DE LIMA MWANAMITINDO ALIEFUTA MACHOZI YA MARC ANTONY

Image
Mwanamitindo Shannon de Lima toka Venezuela ameziba pengo la J-LO kwa Marc Anthony na sasa imekuwa gumzo katika mitandao na majarida ya watu maarufu nchi za magharibi kuhusu uhusiano huo ambapo Marc amelipa kisasi cha kukimbiwa na mkewe wa ndoa ambapo kwa sasa anamdate dancer wake "Smart"

SEHEMU YA UTAJIRI WA P DIDDY!!

Image
P diddy wa kwanza kulia, akiwa na mtoto wake wa kwanza, aliyevaa koti jeupe, Diddy anazaidi ya watoto watatu aliozaa na wanawake tofauti, na amesema hajui lini ataoa kwa sababu hajapata mwanamke wa kusema ni wife material, kwa sasa mshkaji ana umri wa miaka 42. moja kati ya majumba ya kifahari yanayomilikiwa na P DIDDY. kwa ndani!

HAPPY BIRTHDAY HOMMY

Image
Happy birthday Hommy Rodrick Komanga ( Qizzle Robinson ) all the best in your life bro!

HAPPY BIRTHDAY MARYAM

Image
Happy birthday my classmate Maryam Kassim wish all da best in your life,work hard to achieve your goals

DR SLAA: vichwa vyetu vina TATIZO

Image
  Dr Wilbroad Slaa   Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) DR Wilbrod Slaa, ameitaka serikali kuwaeleza wananchi ukweli kuhusu hali mbaya ya kifedha ambayo inalikabili taifa hivi sasa kwa kupungua kwa mapato ya ndani na ya nje, ikilinganishwa na bajeti iliyopitishwa kufafanua mkakati wa kuongeza uzalishaji na kupunguza matumizi ya serikali.   Kwenye sentensi nyingine, Dr slaa ameitaka CCM, serikali na vyombo vya dola kubadilika 2012 ili kuepusha nchi kuingia katika malumbano na migogoro ya kijamii, ambapo ishu nyingine aliyoizungumzia baada ya kukutana na waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam, ni kuitaka serikali kushughulikia chanzo cha matatizo ya wananchi, na sio kushughulikia matawi ya matatizo hayo.  

Jason Derulo Cancels Tour Due to Neck Injury

Image
Coming as assuredly disappointing news to his many fans, Jason Derulo suffered an injury to his neck on Tuesday (January 3) which has forced him to cancel all touring and promotional activities. According to an official press release, the 22-year-old Miami native hurt himself while training for his upcoming World Tour in support of his current album Future History, which was scheduled to commence in Glasgow on February 23rd. The statement adds, "While executing an acrobatic move, Derulo landed directly on his head, and suffered an acute fracture to his vertebra. After being rushed to Memorial West Hospital in Miami’s Pembroke Pines, FL, he was told by doctors that the accident could have left him paralyzed. Derulo has been released from the hospital but must wear a neck brace for the next few months. Anyone holding tickets for upcoming shows will be refunded at point of purchase." Apologizing for the setback, Derulo told, “To all

RAMA DEE ATOA ALBUM BURE KWA MASHABIKI WAKE

Image
KAMA KWELI UNAPENDA R&B YA UKWELI TOKA BONGO YENYE LEVEL ZA KIDUNIA BASI MSHUKURU Rama Dee KWA KUKUPA HII ALBUM YAKE BURE KUPITIA SWAHILI ORIGINAL WEBSITE ,KIUKWELI JAMAA ANASAUTI YA AJABU SANA !asante kinega Rama Dee download hapa  www.swahilioriginaltz.com

happy King Zilla FromSalasala

Image

HAPPY BIRTHDAY......FRANCY MOSES

Image
Happy birthday bro Moses...nakutakia maisha marefu na yenye baraka tele kaka!

LeBron James Engaged To Longtime Girlfriend Savannah Brinson

Image
The new year is already off to a hot start for Miami Heat forward LeBron James, who rang in 2012 by proposing to longtime girlfriend Savannah Brinson at his 27th birthday party Saturday night in Miami. Brinson and James are high-school sweethearts, dating back to James’ days as a standout at St. Vincent-St. Mary High School in Akron, Ohio. Brinson is the mother of LeBron’s two kids, LeBron, Jr., 7, and Bryce, 4. LeBron turned 27 on Friday, and in addition to the engagement, Saturday night’s bash also featured the kind of extravagant birthday cake that you’d expect at a party thrown by King James, a towering rum cake adorned with edible 18-carat lions and Swarovski crystals. In photos from the event, LeBron can be seen wearing a black tuxedo with a bowtie and black glasses, and Brinson is wearing a black dress. Shortly after 1 a.m. ET, Heat owner Micky Arison sent a tweet congratulating his star player on the engagement, writing, “Congrats to Lebron. @KingJames a

HAPPY NEW YEAR 2012

Blog hii inawatakia mafanikio mema katika mipangilio yenu ya kimaisha na twendeleze kupeana support na mawazo pia ya kujenga katika blog hii.....pia tuzidishe amani na upendo miongoni mwetu na pia kwa nchi yetu.         HERI YA MWAKA MPYA 2012