Vyuo mbalimbali vyatangaza sifa na namna ya kutuma maombi
CHUO CHA UFUNDI ARUSHA (ATC) www.atc.ac.tz . Sifa za mwanafunzi ni kupata angalau (D) katika masomo ya sayansi ambayo ni Mathematic, Physics, Chemistry kwa mwanafunzi wa kike lakini kwa mwanafunzi wa kiume awe amepata (C) katika masomo mawili kati ya hapo juu baada ya hapo ataitwa katika "access course" ambayo inachua muda wa miezi miwili na wiki mbili. Mwanafunzi anatakiwa kupata alama hamsini katika kila somo ambayo ni Mathematic, Physics, Computer and Mechanic. Gharama za "Acc Ess course" ni shilingi laki mbili kula na kulala Chuo kwa "female only". DAR ES SALAAM INSTUTE OF TECHNOLOGY (DIT) www.dit.ac.tz Sifa ni nikupata angalau (D) katika masomo yote ya sayansi kwa kila "man and woman" Kuna "access course" kwa muda wa miezi miwili na wiki mbili kwa gharama za shilingi laki na nusu kulala chuo lakini kula kila mwanafunzi anajitegemea lakini wanafunzi wataofauru watadhaminiwa na Serikali kwa gharama za kulipa shilin