Posts

Hilda Edward ndiye Miss Dar Inter College 2012

Image
Miss Dar Inter College 2012, Hilda Edward akipongezwa baada ya kushinda kwenye shindano hilo lililofanyika kwenye ukumbi wa Makumbusho, katikati ya Jiji la Dar es Salaam usiku huu. Hapa Hilda akipigana busu moto moto la pongezi na Miss Dar Inter College aliyevua taji Blessing Ngowi. Picha kwa hisani ya http://bongostaz.blogspot.com/ Hii ndiyo tano bora  Kutoka kulia Veronica Yole, Sada Suleiman, Rose Muchunguzi, Jamila Hassan na Hilda Edward DIAMOND PLATINUM;  Nassib Abdul akitumbuiza kwa hisia, kibao Wema Wangu mbele ya jaji Wema Sepetu, ilikuwa tamuuu INAUMA UCHUNGU; Katikati Jaji Wema akifuatilia kwa hisia zote kibao Wema Wangu wakati Diamond the Platinum anatumbuiza...

Mrembo Diana Hussein anyakua taji la Miss Dar Indian Ocean

Image
 Mrembo Diana Hussein (kati) amefanikiwa kunyakua taji la Miss Dar Indian Ocean kutoka kwa mwanadada Stella ambaye amemaliza muda wake, mwanadada huyu alifuatiwa na Kudra Lupatu (kulia) na Zulfa Vuai (kushoto). Shindano la Miss Dar Indian Ocean 2012 limefanyika ndani ya Kijiji Cha Makumbusho Dar es Salaam Hawa ndiyo warembo wa Tano Bora wakiwa na Miss Dar Indian. Picha na http://kajunason.blogspot.com/ Warembo waliofanikiwa kuingia tano bora. Warembo waliofika 10 bora kabla ya kuingia kwenye mchujo wa kutafuta tano bora. *Keep refreshing the page mambo yote yanakuja...ni Miss Dar Indian Ocean 2012...

TBL YATOA SH. MIL 53 KUSAIDIA MRADI WA MAJI CHUO KIKUU CHA ST AUGUSTINE

Image
 Mkurugenzi wa Uhusiano na Sheria wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Steve Kilindo (katikati), akimkabidhi mfano wa hundi yenye thamani ya sh. milioni 53, Naibu  Makamu Mkuu wa Chuo cha St. Augustine (SAUT) Mwanza, Taaluma, Padri Thadeus Mkamwa (kulia) katika hafla iliyofanyika chuoni hapo hivi karibuni. Anayeshuhudia kushoto ni Naibu  Makamu Mkuu wa chuo hicho Utawala na Fedha, Padri Peter Mwanjonde. Msaada huo ni kwa ajili ya mradi wa maji chuoni hapo  pamoja na kilimo cha umwagiliaji.     Mkurugenzi wa Uhusiano wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Steve Kilindo, akizungumza na wanafunzi wa Chuo Kikuu cha SAUT, Mwanza, kabla ya kukabidhi mfano wa hundi yenye themani ya shilingi milioni 53 fedha ambazo zimetolewa ili kutekeleza mradi wa maji kwa matumizi ya wanachuo na kilimo cha umwagiliaji.  Naibu Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha St. Augustine ( SAUT) Taaluma, Padri Thadeus Mkamwa, (mwenye koti jeusi) akizungumza na wanafunzi na

MTU MZIMA DAWA KULIPUKA@VILLA PARK MWANZA

Image
  ONYESHO lililopewa jina la Mtu Mzima Dawa ambalo litafanyika Julai 6 (Ijumaa) kwenye Viunga vya Villa Park jijini Mwanza linatarajiwa kuwa bab kubwa. Akizungumza jana Meneja wa Kundi la TMK Family ambao ndio wandaaji wa onyesho hilo, Said Fella amesema litakuwa onyesho la pekee ambalo halijawahi kutokea Mwanza. “Onyesho la mtu mzima dawa kwenye Ukumbi wa Villa Park Julai 6, litakuwa bab kubwa sana, yaani itakuwa ni mlipuko,” alisema Fella. “Tumeandaa wasanii wazuri wenye vyimbo zinazotamba sasa, ambao wamejipanga vyema kwa ajili ya kufanya makamuzi ya kuilipua Villa Park.” Fella aliwataja wasanii watakaoshiriki kwenye onyesho hilo la usiku wa mtu mzima dawa kuwa ni Bibi Cheka, ambaye ndiye mhusika mkuu wa onyesho hilo. Wengine watakaomsindikiza ni Chegge, Temba, Aslay kutoka TMK Family, Ommy Dimpoz, Mwana FA na Ferouz.  Habari/ www.kajunason.blogspot.com

AZAM YAFANYA KWELI HATIMAYE WATU KWENDA ZANZIBAR KWA MAGARI YAO KUPITIA MELI YAO MPYA NA YA KISASA KABISA

Image
  Meli hiyo inavyoonekana kwa Nje   Meli hiyo inavyoonekana kwa ndani . Meli hiyo inavyoonekana kwa Ujumla ---- . Azam yaamua kufanya kweli na hivi karibuni meli ya kisasa iko mbioni  kuzinduliwa ambayo ikawezesha watu kwenda na magari yao Zanzibar. Meli hiyo inauwezo kubeba magari 200, abiria 1500 na Mizigo tani 500. KAMPUNI ya Usafiri wa baharini ya Azam Marine inatarajia kuzindua meli kubwa ya kisasa kwaajili ya abiria waendao Dar es Salaam, Pemba na Unguja. Meneja Mkuu wa kampuni hiyo Hussein Mohamed Said, amesema Julai 15 mwaka huu meli hiyo yenye urefu wa mita 100 itazinduliwa.    Mohamedi alisema shida ya usafiri itapungua kwa asilimia kubwa kutokana na meli hiyo kuwa na uwezo wa kubeba abiria 1500, Mizigo tani 500 na magari 200 ambapo abiria atakae jisikia kwenda na gari lake Zanzibar, Pemba au Dar es Salaam ataweza kufanya hivyo. Waziri Mwenye dhamana ya Mawasiliano na Miundombinu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar

Exim Bank sponsors Tanzania Schools Exhibitions

Image
The Deputy Minister in the Ministry for Education and Vocational Training, Hon. Phillipo Mulugo greets the Exim Bank’s staff when he visited the bank’s pavilion during the just ended two-day Tanzania Schools Exhibition held at Mlimani City in Dar es Salaam over the weekend. (Photo by our correspondent). The Exim Bank’s staff (L) attending to customers when they visited the bank’s pavilion during the just ended two-day Tanzania Schools Exhibition held at Mlimani City in Dar es Salaam over the weekend. (Photo by our correspondent).   source www.fullshangweblog.com

POS database to benefit Lake Zone entrepreneurs

Image
  Small and Medium enterprise Competitiveness Facility (SCF) Project Director, Casmir Makoye, (right) explains an issue to a section of entrepreneurs from Lake zone, who attended a Point of Sale (POS) Database launch in Mwanza. Picture by correspondent. Small and Medium enterprise Competitiveness Facility (SCF) Business Manager –Lake Zone, Djaluo Franco, shows to a section of Lake Zone entrepreneurs the best way to brand their product to attract more buyers, shortly after launching the Point of Sale (POS) database which is packed with a well-researched market information. Photo by correspondent. By our correspondent, Mwanza Entrepreneurs who processed foods and non-alcoholic beverages at the Lake Zone, are expected to benefit more by increasing their sales after Small and Medium enterprise Competitiveness Facility (SCF), launched a Point of Sales database in Mwanza yesterday. Speaking during the launch here, SCF Project Director, Casmir Makoye, said his organiza

AIRTEL SUPA5 MWANZA KUPAMWA NA JUMANATURE, ROMA NA MWASITI MWISHONI MWA WIKI HII VIWANJA VYA FURAHISHWA

Image
Msanii mahiri wa kundi la wanaume halisi Juma Nature akiwa sanjari na Stoper Rymes makamuzi ya tamasha maalum la kuitambulisha huduma ya airtel supa5 wakati wa tamasha maalum lililoandaliwa na Airtel mwishoni mwa wiki mkoani Arusha viwanja vya NMC. Wiki hii msanii huyu na wenzake wanatarajiwa kuhusika jijini Mwanza kwenye viwanja vya Furahisha. Mwanamuziki wa bongo fleva ya home Tz mwanadada Mwasiti akikamua kibao chake cha SOJA huku akipewa tafu ma msanii mahiri wa Hip hop maarufu kama Godzilla katika tamasha la Airtel SUPA5 hivi karibuni. Wiki hii msanii huyu anatarajiwa kufanya vitu vyake jijini Mwanza kwenye viwanja vya Furahisha. Wasanii wa kinoko (maarufu kwa comedy dance) pichani pia walitoa burudani Arusha viwanja vya NMC wiki iliyopita mwishoni mwa wiki hii wanatarajiwa kufanya mambo mazuri zaidi jijini Mwanza kwenye viwanja vya Furahisha Juma Nature, Roma na Mwasiti kufunika tamasha la Airtel SUPA5 mwishoni mwa w

WALEMAVU WATAKA UWAKILISHI TUME YA KATIBA MPYA

HABARI KUTOKA KWA MWAKILISHI WA BLOG HII KUTOKA MUSOMA  Shomari Binda Musoma Jamii ya Walemavu wasiosikia (viziwi) wameiomba Serikali kuweka wawakilishi wao katika Tume ya mchakato wa Katiba mpya ili waweze kuingiza maoni yao kwa kina mara watakapoanza kukusanya maoni juu ya upatikanaji wa Katiba mpya itakayo kuwa na tija kwao pamoja na walemavu wengine. Wito huo ulitolewa na mmoja wa walemavu hao John Ogonya alipokuwa akichangia mjadala katika mdahalo ulioandaliwa na asasi isiyo ya kiserikali ya Mra Development Forum kuhusu utawala bora na uwajibikaji katika mchakato wa kupata katiba mpya uliofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Anglican mjini hapa. Alisema Walemavu viziwi wamekuwa wamekuwa wakitengwa katika masuala mbalimbali ya kijamii na kupelekea kukosa ufahamu wa mambo kutokana na ulemavu wa kutokusikia waliokuwa nao. John alidai kuwa katiba mpya inapaswa kuwa mkombozi wao kwa kuingizwa vipengere vitakavyoweza kuwasaidia kupata wataalam

Diamond kusindikiza Miss Dar Intercollege 2012 ,Juni 22

Image
MSANII wa muziki wa kizazikipya nchini Nasib Adbdul ‘Diamond’ anatarajiwa kupamba shindano la kumsakaMiss dar Intercollege 2012 linalotarajiwa kufanyika Juni 22 kwenye ukumbi waMakumbusho ya Taifa , uliopo mkabala na chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM). Mratibu wa shindano hilo Dina Ismail alisema jana kwamba mbali na Diamond,onyesho hilo pia litapambwa na burudani kutoka bendi ya Skylight iliyopo chini ya mshirikiwa Tusker Project Fame mwaka juzi, Anneth Kushaba. Alisema maandalizi yashindano hilo yanakwenda vema ambapo warembo 14 watakaosghiriki  wanaendelea na mazoezi katika hoteli ya  The Grand Villa iliyopo Kijitonyama jijini Dares Salaam                                                    “Mwaka huu tumejipanga vema kuhakikisha mmojaya warembo kutoka Miss Dar Intercollege anafanya vema katika fainali za Miss Tanzania ,”alisema Dina. Warembo watakaoshirikishindano hilo  wanat

Show ya A.Y na Mwana FA ndani ya Big Brother Africa 2012

Image

MISS DAR INDIAN OCEAN 2012

Image