MWENGE WA UHURU WAINGIA MKOANI MARA UKITOKEA MKOANI ARUSHA
Mbio za Mwenge wa uhuru zaanza mkoani Mara Katibu Tawala mkoa wa Mara Bw, Clement Lujaji akiwa ameushika Mwenge wa Uhuru Mkuu wa wilatya ya Butiama Bi Angelina Mabula akiwa ameushika Mwenge wa uhuru Mkuu wa wilaya ya Musoma Bw Jackson Msome akiwa ameushika Mwenge wa Uhuru Burudani ni sehemu za mbio hizo za Mwenge Chanzo: www.mwanawaafrika.blogspot.com