Posts
FACES ZA MISS MWANZA HIZI HAPA!! SHINDANO KUFANYIKA IJUMAA HII, NDANI YA YATCH CLUB MWANZA!!
- Get link
- Other Apps
: MAHAKAMA KUU YAMVUA UBUNGE DR DALAL KAFUMU WA CCM
- Get link
- Other Apps
Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Tabora imetengua matokeo ya Ubunge wa Mbunge wa jimbo la Igunga Mh. Dalaly Peter Kafumu ambaye alichukua nafasi hiyo baada ya mbunge wa zamani wa jimbo hilo Rostam Azizi Kujiuzulu. Mahakama hiyo imemvua Ubunge Dk. Kafumu hii leo katika Hukumu ya kesi ya Kupinga matokero iliyofunguliwa na aliyekuwa Mgombea Ubunge wa Chadema, Joseph Kashindye dhidi ya Dk Kafumu, Mwanasheria Mkuu wa Serikali pamoja na msimamizi wa uchaguzi. Mbali na Dk Kafumu, washitakiwa wengine katika kesi hiyo ni Mwanasheria Mkuu wa Serikali na Msimamizi wa Uchaguzi huo, Protace Magayane. Shauri hilo lilianza kusikilizwa rasmi Machi 26 na Jaji Mary Shangal i. Zaidi ya malalamiko 13 yaliwasilishwa katika Mahakama hiyo.
MWENGE WA UHURU WAINGIA MKOANI MARA UKITOKEA MKOANI ARUSHA
- Get link
- Other Apps
Mbio za Mwenge wa uhuru zaanza mkoani Mara Katibu Tawala mkoa wa Mara Bw, Clement Lujaji akiwa ameushika Mwenge wa Uhuru Mkuu wa wilatya ya Butiama Bi Angelina Mabula akiwa ameushika Mwenge wa uhuru Mkuu wa wilaya ya Musoma Bw Jackson Msome akiwa ameushika Mwenge wa Uhuru Burudani ni sehemu za mbio hizo za Mwenge Chanzo: www.mwanawaafrika.blogspot.com
WANAHABARI MARA WAPIGWA MSASA KUANDIKA HABARI ZA AFYA
- Get link
- Other Apps
Shomari Binda MUSOMA MUUNGANO wa vilabu vya waandishi wa habari nchini UTPC, umenza kutoa mafunzo maalum kuandika habari za afya kwa waandishi wa habari katika mikoa yote nchini. Hatua hiyo inalenga kuwajengea uwezo waandishi wa habari kuandika habari za afya zilizofanyiwa utafiti wa kina kwa lengo la kuboresha sekta afya na kufikisha ujumbe sahihi kwa jamii. Mkurugenzi wa UTPC Bw Aboubakar karssan, ameyasema hayo mjini Musoma wakati wa mafunzo ya kwanza ya siku nne kuanza kutolewa nchini kwa waandishi wa habari mkoani Mara ikiwa ni sehemu ya utatuzi wa matatizo na kuibua changamoto zinazokabili utoaji wa huduma ya afya nchini. Amesema kwa muda mrefu jamii imekuwa ikikabiliwa na sintofahamu juu ya kujikinga na maambukizi ya magonjwa hususan Ukimwi kutokana na waandishi nchini kutoandika habari ambazo zimefanyiwa utafiti wa kina ambao haotoi majibu ya namna ya kujikinga na maambukizi mapya. Kwa sababu hiyo ametoa wito kwa wanahabari mkoani Mara kutumia vem
HII VIDEO NAIKUBALI SANA Pah One - Ghetto (aika,igwee,ola,nahreel)
- Get link
- Other Apps
DJ Choka ft. Leo,Mabeste,Baghdad,Cyrill,Shetta,Noorah,Young D,Stereo,Deddy - PAMOJA WE CAN
- Get link
- Other Apps
TAKUKURU YAMFIKISHA ALIYEKUWA MHANDISI BUNDA MAHAKAMANI
- Get link
- Other Apps
Na Shomari Binda Musoma, Taasisi ya kuzui na kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoani Mara imemfikisha Mahakamani Christopher Nyandiga aliyekuwa Mhandisi wa Halimashauri ya Wilaya ya Bunda ambaye kwa sasa amehamishiwa Wilaya ya Ludewa kwa makosa ya kutumia nyaraka kwa lengo la kumdanganya mwajili kinyume cha kifungu cha 22 cha Sheria ya kuzuia na kupambana na Rushwa namba 11 ya mwaka 2007. Katika taarifa yake kwa vyombo vya Habari,Naibu Mkuu wa TAKUKURU Mkoa wa Mara Yustina Chagaka ilisema kutokana na uganganyifu huo ameisababishia Serikali hasara ya jumla ya shilingi za Kitanzania milioni ishirini na nne (24,000,000) kinyume cha kifungu cha 10(1) cha jedwali la kwanza pamoja na vifungu vya 57(1) na 60(2) vya Sheria ya Uhujumu Uchumi namba 200 iliyofanyiwa mapitio Mwaka 2002. Alisema baada ya Uchunguzi uliofanywa na TAKUKURU ulibaini kampuni inayomilikiwa na mtuhumiwa huyo iitwayo MBULLY ENTERPRISES AND CIVIL WORK ilipewa zabuni na Halimashauri na Wilaya ya
Ushauri wa Ziro kuhusu medali za Ulimbiki (Olimpiki)
- Get link
- Other Apps
TUSIWAUMIZE WENZETU KWA KUWAVISHA PETE ZA UCHUMBA
- Get link
- Other Apps
Siku mbili zilizopita nilipata message kutoka kwa rafiki yangu ambaye ni msichana...kiukweli nilipatwa na kigugumizi cha mikono ni kwa jinsi gani nitaweza kumshauri kwa kupitia ujumbe mfupi wa mkononi yaani sms aweze kuona kwamba swala lililomtokea ni la kawaida kwa maana kwamba binadamu tumeumbiwa matatizo na ni jukumu letu kupambana nayo mpaka kupata suluhisho la matatizo hayo. Story ilikuwa hivi,dada huyu ambaye ndio rafiki yangu alinitumia message akiniambia kuwa miezi 2 iliyopita amevalishwa pete ya ndoa na mchumba wake, sasa cha kushangaza ni kwamba wamekuwa katika mahusiano na mchumba wake huyo kwa muda wa miaka 2 bila binti kujua lolote kuwa mchumba wake alishazaa na mwanamke mwingine japokuwa binti alisha muuliza mchumba wake huyo kama ana mtoto lakini jamaa alikuwa akipinga vikali kuwa hajawai na wala hana hata wa kusingiziwa, jibu ambalo lilikuwa lkimfurahisha dada huyu na pia kuambiwa kuwa yuko peke yake hana mahusiano mengine ya nje. Utamu wenyewe wa stor