Posts

VICHWA VYA MAGAZETI YA LEO DECEMBER 27

Image
. . . . . . . . . . . . . . . . . .

I WISH YOU MARRY CHRISMASS & NEW YEAR

Image

MAGAZETI YA LEO JUMATATU TAREHE 24/12/2012 HAYA HAPA

Image
. . . . . . .

Ujumbe wa Christmas wa Papa Benedict

Image
Kiongozi wa waumini wa kikatoliki duniani Papa Benect XVI ameitumia nafasi ya kutoa ujumbe wa Christmas kushambulia ndoa za jinsia moja, na kuwatuhumu mashoga kuwa ni watu ambao wanaubadilisha uhalisia wao ili waweze kuendana na jinsia ambayo ni chaguo lao. Papa Benedict ame-dedicate hotuba yake kwa “thamani ya familia na ubora wa familia”, na alisema kuwa umoja wa desturi nzuri umeshambuliwa na sheria ya ndoa za jinsia moja ikipata sapoti Uingereza, Marekani na Ufaransa. Alisistiza kuwa theories za jinsia hazikua sahihi, na kuongeza kuwa watu walikuwa wamepotoka kwa kuchagua utambulisho wao kijinsia kitu ambacho kilikuwa kinyume na uhalisia. Hapa Papa Benect alikuwa anapinga theories ambazo ziliibuka miaka 85 iliyopita baada ya kuanzishwa na Simone de Beauvoir, na kuitwa Beauvoir’s gender theory toka kwa mwanafalsafa aliyekuwa mwanaharakati wa kupigania haki za wanawake, theory ambayo ilikuwa inasema, “mwanamke hazaliwi mwanamke bali ‘anakua’ mw

WANACHAMA WA SSPRA WATOA MSAADA KATIKA KITUO CHA WATOTO YATIMA,JIJINI MWANZA

Image
Wanachama wa SSPRA leo tarehe 15/12/2012 wametembelea na kutoa misaada ya chakula na malazi kwa ajili ya kuwasaidia watoto walioko kituo cha STAREHE CHILDREN'S HOME kilichopo eneo la Nyegezi jijini Mwanza, wanachama wa SSPRA wametoa msaada huo kwa watoto yatima katika kuelekea sherehe za mwisho wa mwaka  X-MASS na mwaka mpya ikiwa ni mojawapo ya majukumu ya kuisaidia jamii inayotuzunguka (CORPORATE SOCIAL RESPONSIBILITY). Kituo hiki kinahudumia watoto yatima,waliotelekezwa kuanzia umri wa miaka 0-5, watoto hawa huletwa kituoni hapo kutoka Ustawi wa jamii na sio kwamba wao ndio huwatafuta watoto hao. BW.GETSON EZEKIEL ambaye ni Daktari wa watoto hao walioko kituoni hapo. Baadhi ya watoto walioko kituoni hapo wakipokea msaada kutoka SSPRA Joseph Michael akimkabidhi Dr. Ezekiel  kadi ya X-MASS na Mwaka Mpya. Watoto waliopo kituoni hapo wa Muddy akikabidhi naye zawadi yake kwa mtoto wanachama wakifika kituoni hapo muda wa asubuhi.