wa Fedha Mhe. Saada M. Salum akiwa kwenye picha ya pamoja na Menejimenti ya Benki pamoja na Wajumbe wa Bodi ya Benki Access.Kutoka kulia Bw.Prosper Gwemela ambaye ni Meneja wa Benki ya Access Tawi la Mwanza,akifuatiwa na Bw. Roland Coulon Mtendaji Mkuu wa Benki ya Access,anayefuata ni Grace Rubambey Mjumbe wa Bodi ya Benki ya Access,akifuatiwa na Jaji Justice Mihayo ambaye nay eye ni mjumbe wa Bodi wa Benki hiyo ya Access.Kutoka kushoto ni Bw. Ophoro Lokey ambaye ni Mkuu wa kitengo cha miundo mbinu ya Benki akifuatiwa na Afisa yawala wa Mkoa ambaye amefuatiwa na Mkuu wa Wilaya ya Mwanza Bw. Nyamagama.Na nyuma ni Wananchi wa Mkoa wa Mwanza. Naibu Waziri wa Fedha Mhe. Saada M. Salum akikata utepe kuashiria kufunguliwa kwa Benki ya Access Tawi la Mwanza. STATEMENT BY HON. SAADA M. SALUM (MP), DEPUTY MINISTER FOR FINANCE DURING LAUNCHING CEREMONY OF ACCESS BANK (T) MWANZA BRANCH Hon Justice Thomas Mihayo, ACCES Bank Board Member; Mr. Roland Coulon, CEO; Mr. Prosper William,