Posts

Top 10 Richest Countries in the World in 2013

10. Kuwait Kuwait, one the most prosperous countries of Asia, holds the 10th position on the list of top 10 richest countries of the world. Owing to her stable economic conditions, Kuwait is home for best and encouraging economic future for those who are determined to work hard in highly competitive conditions. Moreover, Kuwait offers employment opportunities  to the millions of overseas as well. The current GDP rate of this country is $43,846.72. 9. Switzerland This land of international diplomatic activities also enjoys stable and promising economic conditions which significantly contribute towards improving the economic prosperity if its  inhabitants . Switzerland is largely famous for its banking services all around the globe. The current GDP rate of Switzerland, i.e. $45,285.8, helps it to secure the ninth position on the list of top 10 richest countries of the world. 8. United Arab Emirates United Arab Emirates have witnessed revolutionary economic developments in la

Angalia wimbo wa Kadgo Ft. Young Killer-Zingatia, chini ya Director Kinye

JUMBO SMS IS READY TO HELP YOU!

Image

ANGALIA HII VIDEO YA P-Square - Personally

Obama ametaja vipaumbele vinne vya Marekani kwa Tanzania,

Image
Rais Barack Obama akikagua gwaride lililoandaliwa kwa heshima yake baada ya kuwasili kwenye Uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam jana.Picha na Emmanuel Herman   Dar es Salaam.  Rais Barack wa Marekani, Obama ametaja vipaumbele vinne vya Marekani kwa Tanzania, ambavyo vinajumuisha miradi mbalimbali ya umeme, miundombinu ya barabara, maji na programu za vijana kwa lengo la kuongeza ajira. Kiongozi huyo aliwasili Dar es Salaam jana mchana ikiwa ni nchi ya mwisho katika ziara yake barani Afrika ikitanguliwa na Senegal na Afrika Kusini. Akizungumza na waandishi wa habari pamoja na Rais Jakaya Kikwete Ikulu, Rais Obama alisema aliainisha mambo hayo wakati alipozungumza na mwenyeji wake huyo. Alisema katika mazungumzo hayo, waligusia mradi wa mkubwa wa umeme uitwao Power Afrika wenye lengo la kuongeza kiwango cha umeme kinachozalishwa nchini na barani Afrika ili kupata umeme nafuu na wa uhakika utakaochagiza kuongeza uzalishaji na kukuza ajir

NDEGE 8 ZATUA DAR KWA AJILI YA ZIARA YA RAIS OBAMA

Image
DAR ES SALAAM.   MAKACHERO wa Marekani wameendelea na matayarisho ya mwisho ya ziara ya Rais Barack Obama, ambapo katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere walikuwa na kazi ya kuunganisha helikopta za doria. Makachero hao walikuwa wakiunganisha helikopta sita zilizosafirishwa vipande vipande kutoka Marekani, ambapo meli mbili za kivita na ndege moja pia zimewasili. Rais Obama tayari yuko katika ardhi ya Afrika, ambapo leo anatarajiwa kwenda Afrika Kusini baada ya kumaliza ziara yake ya kwanza Senegal na anatar ajiwa kuwasili nchini Jumatatu. Kwa mujibu wa uchunguzi uliofanywa jana na Mwananchi unaonyesha Marekani imeleta helikopta hizo kwa ajili ya ulinzi wa Rais Obama, zikiwemo meli zilizobeba helikopta nyingine mbili na ndege. Habari zilizopatikana kutoka kwa wafanyakazi wa Uwanja wa Ndege wa Ki

MAGAZETI YA LEO TARAHE 24/06/2013

Image

MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA (TCRA) KANDA YA MASHARIKI WATOA SEMINA YA MAWASILIANO KWA WADAU WAO KATIKA WILAYA YA BAGAMOYO

Image
Mkurugenzi wa Huduma za Mawasiliano wa TCRA, Dk.Raynold Mfungahema,akionyeshwa na   Rajabu Husein ujumbe kwenye simu yake   wakati   alipokuwa akitoa mada   ya haki   na wajibu wa watumiaji   wa huduma za mawasiliano   katika semina   ya watumiaji wa huduma za Mawasiliano (wadau) iliyowashirikisha wakazi wa Wilaya ya Bagamoyo Mkoani Pwani.Semina hiyo iliandaliwa na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania Kanda ya Mashariki Mkurugenzi wa Huduma za Mawasiliano wa TCRA, Dk.Raynold Mfungahema,akimsikiliza mmoja wa wanasemina waliohudhuria    katika semina   ya watumiaji wa huduma za Mawasiliano (wadau) iliyowalenga   wawakilishi ,jumuiya mbalimbali za vijiji na vitongoji vyaWilaya ya Bagamoyo Mkoani Pwani.Semina hiyo iliandaliwa na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania Kanda ya Mashariki. Mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo Ahmedi Kipozi   akisalimiana na Ramadhan Said   wakati wa uzinduzi rasmi wa semina ya   wadau wa huduma za Mawasiliano   iliyowalenga wawakilishi wa jumuiya mbalimb

samsung wazindua laptop yenye uwezo wa kutumia windows 8 na android,na inaweza kugeuka na kuwa tablet

Image
kampuni ya samsung imetambulisha laptop hi mpya (tablet) iitwayo  active q yenye uwezo wa kutumia windows 8 na android operating system,active q ina ukubwa wa screen wa 13.3 inches (33.8cm) yenye high resolution 3200x1800.inauwezo wa ku slide na kuwa tablet au ikakunjuliwa na keyboard ikatumika kama stand ya laptop,samsung bado hawajatangaza kuwa laptop hyo mpya itauzwa bei gani

THE MICHELLE JENG FOUNDATION LAUNCH

Image
The MICHELLE JENG FOUNDATION was launched in Stockholm, Sweden by Tanzanian Model Michelle Jeng who aims to provide educational support to young girls living in her home country, United Republic of Tanzania. At the launch she said, “Through my foundation, I look forward to providing hope to young girls who shall be the leaders of tomorrow and provide for their education that shall be the catalyst to the change in their lives” The Michelle Jeng Foundation was officiated by Dr Mwele Malecela. Dr. Mwele Malecela officiating Michelle Jeng foundation Fashion show during the launching of Michelle Jeng foundation Guest of Honour Dr. Mwele Malecera giving a speech Michelle Jeng speaking at the lauching of her foundation Michelle Jeng with some of the guests at the launch Overview of the launch Michelle Jeng is a well known Swedish model with Tanzanian/Senegalese heritage. Born and brought up in Sweden, she entered the modeling

PICHA ZA SHOW YA MWANA FA

Image
KUTOKA www.thechoicetz.com PICHA  ZA  SHOW  YA  MWANA  FA Dully Sykes Na Mwana FA Katika Usiku Wa The Finest Kama Zamani @ Makumbusho Ya Taifa Dar Es Salaam. Mwana FA On Stage @ Makumbusho Ya Taifa "The Finest" Kama Zamani. Linah, Mwana FA Na Maua On Stage @ Makumbusho Ya Taifa Dar Es Salaam.  Wahudhuriaji wa "The Finest" Kama Zamani wakiwa wanaenjoy burudani classic kutoka kwa Mwana FA. Asma Makau, Jojo, Shadee & A Friend Wakiwa Nje Ya Ukumbi Wa Makumbusho Ya Taifa Dar Es Salaam Wakiingia ndani kwa ajili ya "The Finest" Kama Zamani Ijumaa 14/6/2013. Vanessa Mdee na Dozen katika viwanja vya Makumbusho Ya Taifa Dar Es Salaam kabla ya "The Finest" Kama Zamani Show.

PICHA ZA SHOW YA LADY JAYDEE NYUMBANI LOUNGE.... WATU WALIJAA MPAKA WAKAANZA KUBEBANA

Image
Mwanadada Judith Mbibo aka Lady Jaydee usiku wa kuamkia Jumamosi ya June 15 amefanikiwa kuweka historia kwenye muziki wa Tanzania kwa kulijaza eneo zima la Nyumbani Lounge alipokuwa akifanya show yake ya kuadhimisha miaka 13 tangu aanze muziki.  Katika show hiyo, Lady Jaydee amesindikizwa na wasanii mbalimbali wakiwemo Juma Nature, Sugu, Profesa Jay, Wakazi, Grace Matata na wengine. Pia Jaydee ameitumia siku hiyo kuzindua albam yake mpya, Nothing But The Truth na kusherehekea siku yake ya kuzaliwa. Hizi ni picha za show hiyo. Picha  kwa  hisani  ya  Bongo5