Posts

MAGAZETI YA LEO JULY,23

Image
. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . SOURCE: millardayo website

JE ULIMISS KUONA VIDEO YA KUMBUKUMBU YA MIAKA 40 YA KUONDOKA BLUCE LEE IKIFANYA NA WATANGAZAJI WA BBC?HII HAPA

HAPPY BIRTHDAY BRO KILLIAN

Image
Wishing my colleague a beautiful day Hopes and dreams I'm sending your way May all be good and all come true On this very special day for you!

TUJIKUMBUSHE KWA KUSIKILIZA HII INTERVIEW YA Malcolm X: (1960-65)

WEBSITE IKO KATIKA MATENGENEZO

Kwanza kabisa napenda kutoa shukurani zangu za dhati kwa wale wote wanaofatilia habari mbalimbali kupitia katika website hii, nimekuwa kimya sana kutoa habari kwa kuwa nilikuwa busy na shule, lkn kwa sasa shule imekwisha nimerudi javini. Kwa sasa website hii itakuwa ikifanyiwa matengenezo ya hapa na pale kwa ajili ya kuiboresha zaidi na kuiweka katika mwonekano mzuri wa kuvutia,hivyo inaweza kutokea hali yoyote ile ya vitu kuto kuonekana vizur. Twendelee kupeana support.

MAGAZETI YA LEO JULY,18

Image
. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .

Top 10 Richest Countries in the World in 2013

10. Kuwait Kuwait, one the most prosperous countries of Asia, holds the 10th position on the list of top 10 richest countries of the world. Owing to her stable economic conditions, Kuwait is home for best and encouraging economic future for those who are determined to work hard in highly competitive conditions. Moreover, Kuwait offers employment opportunities  to the millions of overseas as well. The current GDP rate of this country is $43,846.72. 9. Switzerland This land of international diplomatic activities also enjoys stable and promising economic conditions which significantly contribute towards improving the economic prosperity if its  inhabitants . Switzerland is largely famous for its banking services all around the globe. The current GDP rate of Switzerland, i.e. $45,285.8, helps it to secure the ninth position on the list of top 10 richest countries of the world. 8. United Arab Emirates United Arab Emirates have witnessed revolutionary economic developments in la

Angalia wimbo wa Kadgo Ft. Young Killer-Zingatia, chini ya Director Kinye

JUMBO SMS IS READY TO HELP YOU!

Image

ANGALIA HII VIDEO YA P-Square - Personally

Obama ametaja vipaumbele vinne vya Marekani kwa Tanzania,

Image
Rais Barack Obama akikagua gwaride lililoandaliwa kwa heshima yake baada ya kuwasili kwenye Uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam jana.Picha na Emmanuel Herman   Dar es Salaam.  Rais Barack wa Marekani, Obama ametaja vipaumbele vinne vya Marekani kwa Tanzania, ambavyo vinajumuisha miradi mbalimbali ya umeme, miundombinu ya barabara, maji na programu za vijana kwa lengo la kuongeza ajira. Kiongozi huyo aliwasili Dar es Salaam jana mchana ikiwa ni nchi ya mwisho katika ziara yake barani Afrika ikitanguliwa na Senegal na Afrika Kusini. Akizungumza na waandishi wa habari pamoja na Rais Jakaya Kikwete Ikulu, Rais Obama alisema aliainisha mambo hayo wakati alipozungumza na mwenyeji wake huyo. Alisema katika mazungumzo hayo, waligusia mradi wa mkubwa wa umeme uitwao Power Afrika wenye lengo la kuongeza kiwango cha umeme kinachozalishwa nchini na barani Afrika ili kupata umeme nafuu na wa uhakika utakaochagiza kuongeza uzalishaji na kukuza ajir