Posts

UJIO MPYA WA PROFESSOR JAY, NI SHIDA MJINI

Image

MPIGIE KURA DIAMOND PLATNUMZ KATIKA TUZO ZA KORA

Image
Diamond Platnumz safari hii ameingia katika category mbalimbali za kuwania tuzo za KORA, hivyo kama shabiki wake na mpenda mziki kwa ujumla tumia dakika zako chache tu katika ukurasa wa facebook wa KORA awards katika kumpigia kura yako,angalia post tu aliyotokea picha yake kwa kucomment jina lake kwa chini. Diamond ameandika katika ukurasa wake wa facebook hivi "Tafadhari ukiwa kama shabiki au mpenzi wa muziki wangu naomba unipigie kura katika Tuzo hizi za KORA ili niweze kuibuka na ushindi.... ingia katika Facebook page yao kisha Katika kila post niliyoshiriki Comment kwa kuandika jina langu Diamond Platnumz"   click hapa kora awards

AUDIO: Alikiba -Rosa Maujanja

AUDIO: Daz Baba ft Juma Nature – Jela

Hii hapa orodha ya Wasanii waliochaguliwa kuingia kwenye tuzo za Kili Music Awards 2014

Image
Wimbo bora wa mwaka 1 Number one-Diamond 2 Joto hasira-Lady Jaydee Ft Prof Jay 3 I love u-Cassim Mganga 4 Yahaya-Lady JayDee 5 Kidela -Abdu Kiba Feat Ali Kiba 6 Muziki gani-Ney ft Diamond Wimbo bora wenye vionjo vya asili ya Kitanzania 1 Kwejaga nyangisha-Batarokota 2 Nalonji-Kumpeneka 3 Bora Mchawi-Dar Bongo massive 4 Tumbo lamsokota-Ashimba 5 Aliponji -Wanakijiji 6 Agwemwana-Cocodo African music band Wimbo bora wa kiswahili -Bendi 1 Ushamba mzigo-Mashujaa Band 2 Shamba la Bibi -Victoria Sound 3 Chuki ya nini -FM Academia 4 Yarabi nafsi -Mapacha Watatu 5 Kiapo mara 3 -Talent Band Wimbo bora wa Reggae 1 Niwe na wewe-Dabo 2 Hakuna Matata-Lonka 3 Tell Me-Dj Aron ft Fidempha 4 Bado nahitaji-Chikaka ft Bless p & Lazzy B 5 Bongo Reggae-Warriors from the east Wimbo bora wa Afrika Mashashariki 1 Tubonge-Jose Chamelleone 2 Nakupenda Pia-Waire Ft Allain 3 Badilisha-Jose Chamelleone 4 Kipepeo-Jaguar 5 Kiboko Ch

WANANCHI KUAGA MWILI WA MKUU WA MKOA WA MARA KESHO

Image
  kutoka kwa mwandishi shomari Binda Katibu Tawala wa mkoa wa Mara Benedict Ole Kuyan ametoa ratiba ya awali ya shughuli nzima ya kuuga mwili wa marehemu John Tupa na kuwashukuru Waandishi wa Habari kutokana na kutumia nafasi yao kuwajulisha watanzania juu ya taarifa ya kifo cha mkuu wa mkoa wa Mara. Amesema shughuli ya kutoa salamu za rambirambi pamoja na kuuaga mwili wa marehemu itaanza saa 1:00 hadi saa 3:20 katika makazi ya mkuu wa mkoa na baadae kupelekwa Kanisa Kuu Parokia ya Musoma Mjini saa 3:20 hadi saa 5:00 kwa ajili ya ibada na kisha kuondoka kuelekea uwanja wa ndege wa Mwanza kwa ajili sa safari ya kuelekea Kilosa mkoni Morogoro kwa shughuli ya mazishi kwa kupitia mkoani Dodoma.

VIDEO: CHUNABUZI-Shilole (EXPLICIT)

DOWNLOAD NA KUSIKILIZA UJIO MPYA WA ROMA KUPITIA WIMBO WA K.K.K

AUDIO:SIKILIZA NA KUDOWNLOAD Shetta Ft Diamond - Kerewa

MUSIC: Download na kusikiliza C-feza ft Chock-G _"Nishike Mikono LSK Zambia

UFANUNUZI KWA WAHITIMU KIDATO CHA NNE,2013 JUU YA POINT 43 KUWA ZIRO AU DARAJA LA 1V.

Image
Baraza la Mitihani (NECTA)limetoa ufafanuzi juu ya upangaji wa madaraja yaliyokuwa yakileta mkanganyiko hasa daraja la IV kwa baadhi ya watainiwa kupata point zilizo sawa mfano 43 lakini wengine wakiwekewa daraja la IV wengine 0, sasa NECTA wametoa ufafanuzi huo kama ifatavyo; NECTA imesema, kwa yeyote mwenye pointi kuanzia 32 kama hana ama D mbili au C moja, anahesabika kuwa na Daraja 0 kama inavyoonekana katika picha. Hii ndiyo sababu utaone wanafunzi wana pointi mfano 43 lakini mmoja yupo daraja Sifuri (0) na mwingine yuko daraja la nne (4).

BONGE LA NYAU FT. ALIKIBA UAMINIFU (Official Video)