Posts

AUDIO:SIKILIZA DEMO YA WIMBO MPYA WA DIAMOND PLATNUMZ (KITORONDO)

Image
Baada ya kuondoka na mzigo wa tuzo saba, na kuwa msanii wa kwanza kuweka record hiyo tangu tuzo hizo za Kilimanjaro Tanzania Music Awards kuanzishwa mkali wa WCB ameamua kuja kivingine kabisa kuanzia beat hadi katika uwimbaji wake uliozoeleka, wimbo huu utatoka rasmi jumatatu ya tarehe 12/05/2014 katika vyombo vya habari. For more updates stick around hapa hapa.

WANAFUNZI 212 WA UASKARI CHUO CHA POLISI MOSHI WASIMAMISHWA MAFUNZO KWA KUGUSHI VYETI VYA KITAALUMA

Image
Habari hii ni kutoka kwa Dixon Busagaga wa globu ya jamii kanda ya kaskazini.     CHUO cha mafunzo ya taaluma ya Jeshi la polisi Moshi (MPA), kimewafukuzisha mafunzo jumla ya wanafunzi wa uaskari 212, kutokana na sababu za kughushi vyeti vya elimu ya sekondari.. Hayo yamesemwa jana na Mkuu wa Taaluma na Utumishi wa jeshi la Polisi, Kamishna wa Polisi Thobias Andengenye katika kikao na waandishi wa habari kilichofanyika kwenye ukumbi wa chuo cha mafunzo ya taluma ya Polisi mjini Moshi, mkoani Kilimanjaro. Kamishna Andengenye alisema Jeshi la Polisi kwa kushirikiana na Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA), lilifanya uhakiki wa Vyeti vya wanafunzi wote 3,415 waliojiunga na mafunzo hayo Desemba mwaka jana ambapo waligundua kuwa wanafunzi 212 kati yao hawakuwa na sifa kutokana na sababu za kughushi vyeti. "Katika kuhakikisha kwamba tunaendelea kuwa na askari wenye ueledi na uaminifu kwa raia na taifa kwa ujumla, tuliendelea na zoezi la kuhakiki vyeti kwa kushirikiana na

Kanda ya ngono yamtia mashakani mwalimu mkuu

Image
Shule iliyokumbwa na kashfa Mwalimu mkuu wa shule moja ya upili nchini Uingereza ameachishwa kazi kufuatia utata kuhusu kanda ya ngono inayodaiwa kurekodiwa shuleni humo. Mwenyekiti wa bodi ya shule alimwachisha kazi mwa muda mwalimu mkuu Graham Daniels na mfanyakazi mwingine wa shule ambaye jina lake halikutajwa baada ya malalamiko kutolewa kuwahusu wawili hao. Kuachishwa kazi kwa mwalimu huyo kulitokea baada ya wanafunzi kusambaza kanda hiyo kwa mitandao ya kijamii. Kanda hiyo ilikuwa na sauti za watu wawili wakijihusisha na ngono katika chumba kimoja cha shule hiyo. Hata hivyo wakuu wa bodi walisema kuwa shughuli za masomo zinaendelea kama kawaida. Mkuu wa bodi alisema: "shule imepokea malalamiko ambayo hayakumtaja mtu yeyote lakini kufuatia madai hayo uchunguzi utafanywa.'' Mwa

AUDIO: SIKIA KIONJO CHA WIMBO WA VICTORIA KIMANI ALIOMSHIRIKISHA OMMY DIMPOZ NA DIAMOND PLATNUMZ

Image
Mara kadhaa kwenye picha mbalimbali kupitia Instagram wamekua wakionekana Ommy Dimpoz,Diamond na Victoria Kimani wakiwa pamoja hali ambayo baadae ilizua taflani kwa Wema na Diamond na hii ilikua ni baada ya kusambaa kwa video ikimuonyesha Diamond na Victoria kimani wakiwa pamoja. Baadae ilikuja kufahamika kuwa walikua studio wakirekodi wimbo,inawezekana ni wimbo huu au ni miongoni mwa nyimbo walizofanya pamoja lakini hapa kipo kionjo cha wimbo huu wa Victoria Kimani rasmi wimbo huu unategemewa kutoka Mei 14 2014. Millard Ayo

JE WAJUA ALICHOKISEMA PREZZO KATIKA KIPINDI CHA FNL KUHUSU DIAMOND PLATNUMZ

Image
Msanii kutoka country code 254 (Kenya) Jackson Makini aka Prezzo usiku huu amedhihirisha kumaliza tofauti zake na Diamond Platinumz kupitia kipindi cha Friday Night Live kinachorushwa na kituo cha television  Eatv, baada ya mtazamaji kumuuliza swali Prezzo kama anamchukuliaje Diamond Platinumz, Prezzo bila kuficha hisia zake kakubali kuwa Diamond ni msanii mkali na anafanya kazi kwa bidii sana hivyo anampa big up sana kwa kuwakilisha vizuri katika ukanda huu wa Afrika Mashariki. Beef la Prezzo na Diamond Platnumz lilianza kupaishwa zaidi na mitandao ya kijamii kupitia account ya twitter ya Prezzo mwaka jana mwezi wa saba. Hii ni mojawapo ya tweet za mwanzo wakati beef inaanza.

VIDEO: ANGALIA VIDEO YA P Square - Taste the Money (Testimony)

P.Square ni miongoni mwa wasanii wachache kutoka Afrika ambao wamekua na bahati kubwa ya baadhi ya nyimbo zao zinapotoka kuhit kwa haraka,Taste the Money audio ilitoka February 11 na kuwa ni mojawapo ya hit iliyoshika kwa haraka,hii hapa video yao icheki imeongozwa na Jude Engees Okoye .  

HUYU NDIE MENEJA MPYA ANAYETARAJIWA KUKINOA KIKOSI CHA MANCHESTER UNITED

Image
  Louis van Gaal, mwenye miaka 62 anatarajiwa kutangazwa kuwa meneja mpya wa timu ya Manchester United katika msimu ujao, habari hii imerepotiwa na mtandao wa theguardian  kocha huyu kwa sasa yuko katika maandalizi ya kombe la dunia akikinoa kikosi cha Uholanzi.   Mtandao huo wa theguardian umeendelea kwa kusema kuwa  " Manchester United have delayed naming Louis van Gaal as their manager but are expected to do so next week. The club want to wait until the season ends on Sunday before making an official announcement about David Moyes' successor"   Kocha Louis van Gaal amekuwa na historia nzuri ya kufundisha timu kubwa kama Ajax, Barcelona, AZ na Bayern Munich    

HII NDO NDINGA MPYA YA NAY WA MITEGO

Image
Mkali wa tuzo ya KTMA 2014 kupitia kipengele cha best collaboration kupitia nyimbo ya "Muziki gani" Nay wamitego aka the trueboy ametweet na kuonyesha picha ya gari lake jipya, tizama hapa.

DIAMOND LIVE IN HOUSTON MEMORIAL WEEKEND

BOOKING ONLINE CLICK HERE

Fuatilia tukio zima la tuzo za kili live kupitia hapa;

KILIMANJARO TANZANIA MUSIC AWARDS 2014  JUMAMOSI HII MEI 3 Kuanzia Saa 1 Jioni Fuatilia tukiwakiungana o zima la tuzo za kili live ikianza na red carpet itakayoletwa kwako na Jokate Mwegelo akishirikiana na Millard Ayo na baadaye na mtangazaji wa East Africa TV Sam Misago na Salma Msangi katika Social Media Lounge kuwafanyia mahojiano mastaa na pia washindi wa tuzo. click hapa hii  KTMA2014 Pata nafasi ya kutweet live na washindi wa siku, mastaa na wasanii wengi kwa kupitia #KTMA2014 Kumbuka kushiriki na kujua kila kinachojiri katika mitandao za kijamii tazama Twitter @Kili_Lager na hashtag #KTMA2014 Share hii na marafiki

AUDIO: SIKILIZA NA KUDOWNLOAD NYIMBO MPYA YA C-FEZA "NALIKUTEMWA"

Hitmaker wa "Nishike mkono" C-feza kaja na ujio mpya wa "Nalikutemwa" wimbo ambao umefanyika nchini Zambia katika jiji la Lusaka kwa kumshirikisha  Selasie, msanii kutoka Zambia wimbo huu ukiwa umeandaliwa na mtayarishaji wa mziki kutoka Lusaka- Zambia anayejulikana kwa jina la R-RONNY. Wimbo huu imeimbwa kwa lugha mbili yaani kiswahili na kibemba lugha inayozungumzwa kutoka Zambia Sikiliza na kudownload hii ngoma kali.

Embassy of Tanzania in Russia to host Mustafa Hassanali’s “MUUNGANO COLLECTION”

Image
As Tanzania Celebrates its 50 Years of   union between Tanganyika and Zanzibar on 26 th April 2014, Mustafa Hassanali’s , Tanzania’s pan African designer has been invited by the Embassy of Tanzania in Moscow as a designer to showcase his creation  during Tanzania Day, an event to celebrate this Milestone moment. “I am very honoured by this invitation from our Embassy in Russia and I look forward to being an ambassador of art, culture and fashion for Tanzania whilst using this opportunity to strengthen the culture ties between Tanzania and Russia as we celebrate 50 years of the Union” stated Mustafa Hassanali Mustafa Hassanali has showcased his work in 26 cities in 17 countries globally and Now Moscow becomes his 27 th city and Russia 18 th Country.   As we celebrate the Union of Tanzania mainland and Zanzibar. The collection is aptly named MUUNGANO, Swahili word for union. “We shall not only Celebrate 50 years of Union of mainland and Zanzibar, but also t