Posts

TOUR; USIPITWE ANGALIA VIDEO YA TOUR YA "ON THE RUN" YA JAY Z NA BEYONCE INAVYOENDELEA

VIDEO:Agalia video ya Shetta ft. Diamond Platnumz- Kerewa iliyofanyika south Afica

MILLARD AYO KINARA TUZO ZA WATU,WASHINDI WENGINE HAWA HAPA

Image
Tuzo za watu zilizoandaliwa na kampuni ya bongo 5 media group, zimekamika kwa mara ya kwanza usiku huu katika ukumbi wa Serena hotel Jijini Dar Es Salaam, huku Millard Ayo Mr. count down akiondoka na tuzo mbili ya mtangazaji bora wa radio anayependa na kipindi bora kinachopendwa cha Amplifier. Usiku huu wa tuzo za watu umepambwa na wanamziki kutoka THT, wachekeshaji dogo Pepe na Enika kutoka Evans Bukuku comedy club,  pamoja na uzinduzi rasmi wa video ya Ben Paul inayokwenda kwa jina la "unanichora" iliyoandaliwa na mshindi wa muongozaji bora wa video kupitia Tuzo za watu Nisher. Kila mshindi katika tuzo hizi za watu ameondoka na kitita cha Tsh. 1,000,000 sambamba na tuzo zilizotengenezwa kiafrika. Hawa ndio washindi wa tuzo hizi za watu waliondoka na tuzo 1.Muongozaji bora wa video ya muziki waliokuwa wakichuana ni  Adam Juma, Mecky Kaloka na Nisher, mshindi ni NISHER 2.kipindi bora cha runinga kinachopendwa ilikuwa ni Friday Night, Mkasi pamoj

VIDEO: TIZAMA HAPA VIDEO MPYA YA JUX- NITASUBIRI

BONGO5 WATOA UFAFANUZI WA KUTOKUONYESHA LIVE TUZO ZA WATU KWENYE RUNINGA

Image
Masaa machache yakiwa yamebakia  zile tuzo za watu  kuanza kutolewa kwa washindi katika hoteli ya Serena jijini Dar Es Salaam,ambapo zitakuwa hosted na Jimmy Kabwe, mhariri mkuu wa tovuti ya bongo5 Bw. Fredrick Bundala aka skywalker kupitia  mtandao wa instagram amewapa taarifa mashabiki wa tuzo hizi sababu ya kutoweza kuzirusha tuzo hizi live kwenye runinga ikiwemo swala la gharama kuwa kubwa. "Kutokana na watu wengi kuulizia kwanini #tuzozawatu hazitaoneshwa live kwenye TV ngoja nieleze kdg haya. #tuzozawatu bado ni ndogo msifananishe kabisa na KTMA. Kununua airtime ya TV ya saa zaidi ya 5 kuwa live ni zaidi ya shilingi milioni 100. Bongo5 ingependa kurusha live kwenye TV ili kila mtu aweze kuangalia lakni kwakuwa ndio wameanza hilo haliwezekani kwa sasa. Tuzipeni muda zikue kwanza, wadhamini waingie on board hayo yatawezekana. Hicho walichokifanya Bongo5 ni kikubwa hata hapo walipofikia" hiki ndicho alichokipost Skywalker akitoa ufafanuzi. Utoaji wa

BBALL KITAA SI YA KUKOSA WEEKEND HII, 27 JUNE PALE GYMKHANA

Image

PICHA: TEGEMEA KUONA HIVI KATIKA VIDEO MPYA YA MDOGO MDOGO YA DIAMOND PLATNUMZ.

Image
Diamond ameanza kutoa vionjo vya video ya wimbo wake mpya wa Mdogomdogo jinsi utakavyokuwa kwa kutupia mtandaoni moja wapo ya still picture itakayoonekana katika video hiy.   It always begins with feelings" haya ni maneno ya kiingereza yanayoonekana katika picha hii ambapo kwa kiswahili tafsiri yake ni “Siku zote inaanza na hisia.”je ni nini haswa anachokimaanisha tusubiri video kila kitu kitawekwa wazi.

FARIDA FOUNDATION YATOA MISAADA HOSPITALI YA PALESTINA SINZA NA KWA WALEMAVU ENEO LA UBUNGO DARAJANI

Image
 Mkurugenzi wa Farida Foundation akikabidhi moja ya msaada kwa kaimu Mganga mkuu wa Hospitali ya Palestina Dk Hugoline Mselle,Huku wafanyakazi wengine wa Hospitali hiyo wakishuhudia.  Bi Farida Abdul Akikabidhi bandeji kwa ajili ya kufungia wagonjwa kwa Kaimu Mganga Mkuu wa Hospitali ya Palestina Dk Hugoline Mselle Kaimu Mganga Mkuu wa Hospitali ya Palestina Dk Hugoline Mselle akipoke Ndoo zitakazotumika kwa ajili ya kuhifadhia uchafu katika Hospitali hiyo,ambazo zilitolewa kama Msaada na Farida Foundation  Bi Farida Abdul akimuonyesha kaimu Mganga mkuu wa Hospitali ya Palestina Dk Hugoline Mselle Vifaa ambavyo vimeletwa kama msaada kwenye Hospitali hiyo.Vifaa vilivyotolewa ni pamoja na Viti vya magurudumu vitatu ambavyo vitasaidia kubebea wagonjwa,Bandeji za kufungia vidonda,Ndoo za kuwekea taka,na vinginevyo.  Hivi ni viti Vitatu vya kubebea wagonjwa ambavyo vilitolewa kama msaada kwenye Hospitali ya Palestina(sinza) na Farida Foundation.  Kaimu Mganga Mkuu

NIGERIA YATINGA 16 BORA LICHA YA KUFUNGWA NA ARGENTINA

Image
2014 FIFA World Cup™ Full–time  •  Group F 2  –  3 Nigeria Argentina Photo: AP/Victor R. Caivano

SONG; Download na kusikiliza wimbo mpya wa Quick Rocka ft Barnaba - Subiri Kidogo (Sukido)

NEW VIDEO: DAVIDO,DIAMOND,TIWA SAVAGE,MI CASA, LOLA RAE KATIKA VIDEO MOJA YA AFRICA RISING MUSIC

MultiChoice wameachia video ya mradi wao mpya unaojulikana kwa jina la Rising Africa,mradi ambao umedhamiria kuhamasisha Waafrika kushiriki katika miradi mbalimbali kwa ajili ya ujenzi bora wa jamii zao.nyimbo hii imetungwa na kuimbwa na wasanii wakali Afrika. Video hii imewakutanisha wasanii 6 wa Afrika kama Diamond Platnumz (Tanzania), Davido (Nigeria), Tiwa Savage (Nigeria), Mi Casa band (South Africa)inayoundwa na wanamuziki watatu Dr. Duda, Jsomething na Mo-T. pia yumo Sarkodie (Ghana)na mwisho kabisa Lola Rae( Nigeria).

HIVI UNAJUA DIAMOND PLATNUMZ AMEJIFUNZIA NYIMBO ZA TAARABU KUIMBA.

Image
Nasib Abdul  aka Diamond Platnumz ana historia yake ya kipekee katika muziki wa kizazi kipya, kama ulikuwa haujui  Diamond Platnumz ashatumia nyimbo za taarab kama za Mzee Yusufu na Marehemu Omary Kopa katika kufanyia mazoezi ya kuimba ili aweze kufikia uwezo mkubwa wa sauti kama ya Mzee Yusuf na Omary Kopa. Diamond amefunguka kupitia kipindi cha leo tena cha Clouds Fm na kutoa acapella za nyimbo za mzee Yusuph na kuzimudu kuziimba vizuri. Mkali huyo na hitmaker wa "my number One" alivunja record ya aina yake katika tuzo za Kilimanjaro Tanzania Music Awards kwa kuzoa tuzo 7 kwa mpigo na kuvunja record iliyokuwa ikishikiliwa na mkali 20 percent. Diamond anaondoka nchini kesho kuelekea Marekani katika tuzo za BET  zitakazofanyika Jumapili hii tarehe 29/06/2014 itakayokuwa hosted na Chris Rock akiwa kama nominated katika category ya Best International Act: Africa, ambapo anakutana na wakali wengine kutoka Africa kama Davido (Nigeria), Mafikizolo (South Africa, Sarkodie