Posts

BALOTELLI ASAINI MIAKA MITATU LIVERPOOL

Image
MSHAMBULIAJI Mario Balotelli amekamilisha uhamisho wa Pauni Milioni 16 kutoka AC Milan kutua Liverpool kwa Mkataba wa miaka mitatau. Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 24 aliwasili Melwood leo mchana kukamilisha uhamisho wake kabla ya kwenda kufanya mazoezi maalum na mkuu wa idara ya kuwaweka fiti wachezaji, Ryland Morgans. Nyota huyo wa zamani wa Manchester City atakuwa akilipwa mshahara wa Pauni 125,000 kwa wiki Anfield na atakuwepo kwenye mchezo dhidi ya timu yake hiyo ya zamani usiku wa leo. Pamoja na kusaini mkataba wa miaka mitatu, Balotelli anaweza kuongezewa mwaka mmoja kwa mujibu wa kandarasi hiyo. Chanzo:Bongostaz

MTV VIDEO AWARDS 2014 YAFANYIKA, WASHINDI WOTE TIZAMA HAPA

Image
Utoaji wa tuzo za MTV Video Awards umefanyika August 24, 2014 huko Forum in Inglewood, California, Tuzo hizi zilikuwa ni za 31 tangu zianze kutolewa, Mwanamuziki Beyonce wa  Marekani na Rapper Iggy  Azalea wa Australi ndio walikuwa wamependekezwa zaidi katika vipengele 8 akifatiwa na Rapper Eminem katika vipengele 7. Utoaji wa tuzo hizi ulikuwa hosted na Jay Pharoa WASHINDI WA TUZO __Video of the year: “Wrecking Ball,” Miley Cyrus — Female video: “Dark Horse,” Katy Perry — Male video: “Sing,” Ed Sheeran — Pop video: “Problem,” Ariana Grande feat. Iggy Azalea — Hip-hop video: “Hold On, We’re Going Home,” Drake feat. Majid Jordan — Rock video: “Royals,” Lorde — Collaboration: “Drunk in Love,” Beyonce feat. Jay Z — Artist to watch: “Miss Movin On,” Fifth Harmony — Video with a social message: “Pretty Hurts,” Beyonce — MTV Clubland award: “Stay the Night”: Zedd feat. Hayley Williams — Cinematography: “Pretty Hurts,” Beyonce — Choreography: “Chandelier,” Sia —

UFARANSA YAVUNJA SERIKALI YAKE

Image
Rais wa Ufaransa Francois Hollande akitoa hotuba huko katika jumba la Elysee Rais wa Ufaransa Francois Hollande amevunja serikali yake. Waziri Mkuu Manuel Valls amewasilisha hati za kujiuzulu kwa serikali yake ya kisoshalisti Jumatatu na Bw. Hollande amekubali na kumwamuru waziri mkuu huyo kuunda serikali mpya ifikapo Jumanne. Hatua hiyo ya kisiasa inafuatia ukosoaji wa Waziri wa Uchumi Arnaud Montebourg juu ya sera za uchumi za nchi hiyo na kuhoji juu ya hatua zilizochukuliwa kwa upande wa bajeti na mshirika wao Ujerumani. Ufaransa iko kwenye msukumo mkali kutoka Umoja wa Ulaya juu ya kurekebisha mfumo wake wa kifedha lakini Montebourg amehoji kama kubana huko matumizi kunakoshinikizwa na umoja wa Ulaya kutakuwa na faida yeyote kwa Ufaransa. CHANZO:VOA

MAGAZETI YA LEO JUMATATU, AGOSTI 25 YAPO HAPA

Image

TAARIFA KUTOKA BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU (HESLB) HII HAPA

CALL FOR LOANS APPLICANTS TO CORRECT THEIR LOAN APPLICATIONS During the verification exercise of the 2014/2015 loan application forms, the Board has come across loan applications which are incomplete or are missing some vital information for further loans processing. For that reason, the Board would like to inform concerned Loan applicants that such incomplete applications will not be processed until the missing informationis provided. Kwa habari zaidi bofya link hii hapa chini http://www.heslb.go.tz/

EPUKA UTAPELI HUU UNAOZIDI KUOTA MIZIZI KATIKA MAKUNDI YA KIBIASHARA NDANI YA FACEBOOK

Image
Teknolojia imekuwa ikizidi kubadilisha maisha yetu kuwa rahisi zaidi, “biashara kwa njia ya mtandao” sio sentensi geni tena masikioni mwetu kwa nyakati hizi za kidijitali, hii imepelekea kampuni, benki, Ngo’s, Saccos wafanyabiashara kutafuta nafasi ya kuingia kwenye world wide website yaani www ili kutengeza nafasi mpya ya kujitangaza,kupanua wigo wa hutoaji huduma na kurahisisha upatikanaji wa huduma zao kwa njia ya internet. kuna makampuni makubwa duniani ambayo yanategemea kujiendesha kibiashara kwa kutegemea njia ya internet kufanya biashara yake, mfano ebay, amazon, Alibaba, iTunes, beforward nk. Katika kila jambo zuri, baya haliwezi kukosekana, katika mtandao wa facebook kumekuwa na ongezeko la kasi la utengenezaji wa vikundi maarufu kama (facebook Group) ambapo watu wenye mtizamo na malengo ya aina moja wanakutanishwa katika kikundi kimoja. Kundi hilo linaweza kuwa la kibiashara, vipindi vya redio au Luninga, habari, siasa, mahusiano, dini, michezo, Sanaa, wataa

uhamiaji yaendelea kucharuka, yamzuia raia wa netherlands kuingia tena nchini .

Image
  Bw. Shirwan Naseh, raia wa Netherlands  mwenye asili ya Iraq aliyezuiliwa kuingia nchini na kupigwa pigwa PI na Idara ya Uhamiaji

HIKI HAPA KIONJO CHA VIDEO MPYA YA PROFESSOR JAY- KIPI SIJASIKIA (TEASER))

Korea yasimamisha safari kuingia Kenya

Shirika la ndege la Korea limepiga marufuku safari zake za ndege kuingia nchini Kenya kufuatia tahadhari ya shirika la afya duniani WHO kuwa taifa hilo liko katika hadhari ya kuambukizwa homa ya Ebola. Japo hakujakuwa na maambukizi yeyote ya Ebola nchini Kenya shirika la ndege la Kenya linafunga safari katika mataifa ya Magharibi mwa Afrika yaliyoathirika na Ebola. Aidha uwanja wa kimataifa wa Jomo Kenyatta ni kitovu cha usafiri wa ndege katika kanda ya Afrika Mashariki na Kati. Shirika hilo linashikilia kuwa usafiri huo kutoka Magharibi mwa Afrika hadi Nairobi ndiyo changamoto inayoweza kuleta maambukizi mapya ya Ugonja huo. Chanzo:bbc swahili.

UKAWA WAZIDI KUITESA CCM NA VICHWA VINGINE VYA MAGAZETI YA LEO ALHAMIS, AGOSTI 21 YAPO HAPA

Image