Posts

HII HAPA ORODHA YA WASANII 10 MATAJIRI AFRIKA

Image
Youssou Ndour ndiye mwanamuziki tajiri barani Afrika Usanii wa muziki ni miongoni mwa kazi zinazolipa vizuri duniani. Hatahivyo si kila mtu anayefanikiwa katika sekta ya muziki. Kulingana na mtandao wa capital Fm nchini Kenya,kwa wewe kufanikiwa ni sharti uipende sekta hii pamoja na uwajue wateja wako. Hivyo ndivyo wasanii wengi wa muziki wameweza kujitengezea jina duniani. Na je, unawajua wanamuziki tajiri barani Afrika?Orodha ya wanamuziki 10 walio matajiri barani afrika kulingana na Answers Afrika itakushangaza. Hii Hapa. 01.Youssou N'Dour - Senegal. 02.P-Square- Nigeria 03.D'banj - Nigerian 04.Koffi Olomide - DRC 05.Salif Keita - Mali 06.Fally Ipupa DRC 07.Face Idibia - Nigeria 08.Hugh Masekela - South Africa 09.Banky W - Nigeria 10.Jose Chameleon - Uganda Chanzo: BBC

MAGAZETI YA LEO IJUMAA, APRIL 03, 2015

Image
Friday, 03 A Na Awadh Ibrahim

NAFASI MPYA 27 ZA KAZI BOT

Image
  EMPLOYMENT OPPORTUNITIES The Bank of Tanzania, an equal opportunity employer and Tanzania’s central bank, is looking for suitably qualified young Tanzanian citizens of high personal integrity to fill the following vacant positions at the Head Office and Bank of Tanzania Training Institute-Mwanza. Position: Driver III (Training Institute-Mwanza)–1 Post Reports to: Head of Division Terms of Contract: Contract for an Unspecified Period of Time Location: Training Institute-Mwanza Job Purpose: To carry out a range of motor vehicle driving duties and ensure passengers reach their destination safely and materials are delivered timely. Primary Duties and Responsibilities: a) Driving assigned vehicle in professional, safe and courteous manner; b) Assisting passengers in and out of the vehicle; c) Keeping the assigned vehicle clean; d) Maintaining accurate and up-to-date records on vehicle maintenance, fuel consumption, incident/ accident reports, vehicle condition reports and other r

VIDEO:JAJI LUBUVA ATANGAZA NEC KUAHIRISHA ZOEZI LA KURA YA MAONI

Image
02 Apr 2 Tume ya Taifa ya Uchaguzi, NEC imetangaza kusogezwa mbele upigaji kura ya maoni iliyokuwa ifanyike tarehe 30 mwezi huu mpaka hapo zoezi la kuandikisha wananchi wote katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura litakapokamilika. Tangazo hilo limetolewa leo na Mwenyekiti wa NEC, Jaji Damian Lubuva mbele ya wanahabari jijini Dar es Salaam akisema kuwa ni lazima wananchi wawe wameandikishwa katika daftari hilo, shughuli inayotarajiwa kukamilika mwezi Julai mwaka huu, ndipo waweze kupiga kura. Amesema tarehe mpya ya zoezi hilo litatangazwa hapo baadaye baada ya kushauriana na Tume ya Uchaguzi Zanzibar.

MINJA AACHIWA KWA DHAMANA NA KUAGIZWA AWAAMBIE WAFANYA BIASHARA WAFUNGUE MADUKA

Image
01 Apr 20 Mwenyekiti wa Wafanyabiashara nchini, Johnson Minja ameachiwa kwa dhamana na serikali imeambiwa isisikie maneno ya kuambiwa. Mwenyekiti huyo ambaye alifutiwa dhamana Machi 26, alirejeshwa mahakamani leo ambapo kesi yake ilitajwa, akitokea gereza la Isanga. Kwa mujibu wa mahakama ya mkoa wa Dodoma, kesi hiyo itaanza kusikilizwa kwa maelezo ya awali Aprili 9 mwaka huu kutokana na ushahidi wa kesi hiyo kukamilika. Machi 5, mwaka huu, Mahakama ilimuonya mshitakiwa huyo kuacha kuwashawishi wafanyabiashara nchini kuacha kufunga maduka yao na kwenda kusikiliza kesi yake kila inapotajwa. “Moja ya sharti la dhamana yako ni kuhakikisha kuwa unaendeleza amani wakati wote wa kesi yako ikiwa ni pamoja na kuwaambia wafanyabiashara waendelee kufungua maduka yao ili wananchi waendelee kupata huduma, kwa nini umewaambia wafanyabiashara wafunge maduka yao?”  alihoji hakimu Mbilu. Hata hivyo Minja alijibu kuwa hana taarifa zozote za wafanyabiashara nchini kufunga maduka. Wafanyabiashar

MAPITIO YA MAGAZETI KATIKA TV MBALIMBALI APRIL MOSI, 2015

Image
Mapitio ya magazeti katika Tv mbalimbali Aprili Mosi, 2015

JK AHUTUBIA MKUTANO WA KUPATA MAENDELEO UMOJA WA MATAIFA

Image
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akihutubia wakati wa ufunguzi wa Mkutano unaozungumzia jinsi ya kupata Maendeleo endelevu kwa kukuza ajira na kazi zenye utu (Achieving sustainable development through employment creation and decent work) tarehe 30 Aprili, 2015 katika Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa (UN) jijini New York, Marekan i. Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiendelea kuhutubia  katika Mkutano unaozungumzia jinsi ya kupata Maendeleo endelevu kwa kukuza ajira na kazi zenye utu (Achieving sustainable development through employment creation and decent work). Rais Jakaya Mrisho Kikwete pamoja na wajumbe wenzie wakisikiliza kwa makini katika Mkutano unaozungumzia jinsi ya kupata Maendeleo endelevu kwa kukuza ajira na kazi zenye utu (Achieving sustainable development through employment creation and decent work) tarehe 30 Aprili, 2015 katika Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa (UN) jijini New York, Marekani. Rais Jakaya Mrisho Kikwete na ujumbe wake wakiondoka baada ya yeye kuhut

WEMA, IDRIS MAHABA NIUE! WANASWA USIKU MNENE

Image
WAPENZI? Kwa mara nyingine Beautiful Onyinye, Wema Isaac Sepetu amesababisha kichwa cha habari kufuatia kunaswa ‘live’ usiku mnene akiwa na mshindi wa Shindano la Big Brother Hotshots 2014, Idris Sultan wakioneshana vitendo vya ‘nakupenda tu’ mbele ya kadamnasi, Risasi Mchanganyiko lina mkanda kamili.    Beautiful Onyinye, Wema Isaac Sepetu akiwa na mshindi wa Shindano la Big Brother Hotshots 2014, Idris Sultan. NI ESCAPE ONE MIKOCHENI Wawili hao walinaswa wakioneshana mahaba niue hayo usiku wa kuamkia Machi 29, mwaka huu kwenye Ukumbi wa Escape One, Mikocheni jijini Dar walipokuwa wamekwenda kushuhudia shoo kali ya mpambano kati ya Bendi za The African Stars ‘Twanga Pepeta’ na FM Academia ‘Wazee wa Ngwasuma’. PICHA LILIVYOANZA Awali, paparazi wetu aliyeamua kulivalia njuga tukio hilo alimshuhudia Wema akiingia ukumbini humo akiwa sanjari na kampani yake, akiwemo shosti wake mkubwa kwa sasa, Aunt Ezekiel na mshauri wake  kikazi, Petit Man. Walikwenda kukaa kwenye viti vilivyok

JENERALI BUHARI NDIYE RAIS MPYA WA NIGERIA

Image
Rais mteule wa Nigeria Buhari Kiongozi wa wa chama cha upinzani cha Nigeria jenerali Muhammadu Buhari ameshinda kura za urais na kumuondoa rais aliyeko Goodluck Jonathan mamlakani. Tayari rais anayeondoka madarakani Goodluck Jonathan amekwisha mpigia simu mpinzani wake Jenerali Buhari na kumpongeza kwa ushindi huo wa kihistoria. Hii ndiyo mara kwanza katika historia ya taifa hilo kwa rais wa nchi hiyo kung'olewa madarakani na kiongozi wa upinzani. Goodluck amekiri kushindwa katika uchaguzi huo ulioshuhudia ushindani mkali Wadadisi wa maswala ya ndani wanasema kuwa inaonekana kuwa Nigeria sasa imekomaa kisiasa haswa baada ya kushuhudia mapinduzi kadha ya kijeshi tangu ipate uhuru wake kutoka kwa Uingereza mwaka wa 1960. Hata hivyo kumekuwa na taharuki kubwa haswa baada ya tume ya uchaguzi kuchelewa kutoa matokeo ya uchaguzi. Hofu ingalipo kuwa huenda wafuasi wa wagombea hao ambao wanatofautia kimsingi katika maswala kadha ikiwemo ya kidini na vile vile kimajim