Posts

MELI MPYA YA MV. MAPINDUZI II YAWASILI BANDARI KUU YA ZANZIBAR

Image
Meli mpya ya MV. MAPINDUZI II ikiwa nje kidogo ya Bandari ya Zanzibar kabla ya kufunga gati Bandarini hapo. Baadhi ya wafanyakazi wa Wizaza ya Miundombinu waliofika Bandari Kuu ya Zanzibar kushuhudia kuwasili kwa Meli mpya ya MV. MAPINDUZI II ikitokea Korea kusini. Sehemu ya ndani ya Meli ya MV. MAPINDUZI II itakayotumika kwa ajili ya mapumziko kwa abiria watakao safari Waziri wa Fedha Omar Yussuf Mzee akitoa maelezo kwa waandishi wa Habari juu ya matumizi ya gharama zilizotumika mara baada ya kuwasili kwa Meli ya MV. MAPINDUZI II Mjini Zanzibar. Meli ya MV MAPINDUZI II yatia nanga Bandari kuu ya Zanzibar ik i tokea Korea Kusini. Picha na Miza Othman-Maelezo Zanzibar. Na Maryam Kidiko Maelezo Zanzibar Meli mpya ya mv.mapinduzi ( ii) imewasili bandarini Zanzibar kwa ajili ya kuanza safari zake baada ya kukamilika ujenzi wake huko Korea ya kusini. Hafla ya kuwasili kwa meli hiyo imeongozwa na waziri wa fedha

MAGAZETI YA LEO ALHAMIS DECEMBER 3

Image

Iran yakana uhusiano na magaidi

Image
Raia wa Iran Serikali ya Iran imekana kuwa na uhusiano wowote na wanaume wawili waliokamatwa wakikisiwa kupanga mashambulizi ya kigaidi dhidi ya maeneo yanayomilikiwa na mataifa ya magharibi nchini kenya. Balozi wa Iran nchini Kenya Hadi Farajvad, anasema kuwa licha ya kuwepo uwezekano kuwa wanaume hao walizuru Iran, hakuna aliye na uhusiano na mashirika ya usalama ya nchi hiyo. Siku ya Jumamosi taarifa kutoka kwa wizara ya mambo ya ndani nchini kenya, ilisema kuwa wanaume hao walikiri kuwa walikuwa na njama ya kupanga mashambulizi ya kigaidi dhidi ya maeneo yanayomilikiwa na mataifa ya magharibi nchini Kenya, na walikuwa na uhusiano na kikosi cha kijeshi kinachofahamika kama Quds Force nchini Iran. BBC

Magufuli in "The South African: 10 things Zuma can learn from Tanzania’s new president"

Image
He’s been office for all of three weeks and already Magufuli has  earned a reputation for rocking the boat , with his no-bullshit attitude and corruption-busting plan of action. Sure he’s the  son of a farmer, but this guy’s far from simple ; his first real job was a school teacher, thereafter he educated himself as an industrial chemist and eventually became Tanzania’s minister of public works. The latter position saw Magufuli tackle some of the country’s largest construction projects without even a whisper of corruption or maladministration. In fact, he’s well-known for being a-corrupt, seriously. So  what is it that makes John Magufuli so great?  Well, unlike so many of his counterparts, he’s relentless in his assault on corruption, laziness, and overspending; something that no doubt has already made him very unpopular among his own political comrades as well as leaders like Zuma and Mugabe. Let’s face it; the man makes almost every other leader look like a thie

YALIYOTAWALA KWENYE MAGAZETI YA JUMANNE, DECEMBER 2

Image