Posts

Kujitoa katika Mfuko wa Hifadhi ya Jamii - Mambo 10 muhimu kuyaelewa

Image
Kujitoa katika Mfuko wa Hifadhi ya Jamii ni sawa na Mkulima kula Mbegu Mambo 10 muhimu kuyaelewa kuhusu Hifadhi ya Jamii Upo mjadala unaoendelea na kufukuta kuhusu uamuzi wa Serikali kupeleka Muswada wa Sheria Bungeni kufanya marekebisho katika Sheria ya Mifuko ya Hifadhi ya Jamii. Muswada huo sijauona na haujawekwa hadharani. Hata hivyo, lililopenyezeka katika vyombo vya habari ni taarifa ya azma hiyo ya Serikali iliyotamkwa katika kikao cha Serikali na wadau kuwa Muswada huo utafuta FAO LA KUJITOA. Nimefuatilia mjadala huo na kuisoma barua ya wazi ya vyama vya wafanyakazi kwa umma ikilaani vikali nia hiyo ya Serikali na muswada. Nikasikia na kusoma tena kauli mbalimbali za Serikali na Mamlaka ya Hifadhi ya Jamii (SSRA) kuhusu azma hiyo na mambo mengine mengi yanayoambatana na muswada unaondaliwa. Kwa maelezo hayo, muswada huo una mambo mengi zaidi ya kinachoitwa fao la kujitoa. Aidha, maelezo yao ni kuwa muswada wenyewe haujakamilika isipokuwa ni hatua ya maoni t

Diamond Platnumz ft Rayvanny Salome ( Traditional Official Music video)

Image

SERENGETI BOYS YAIFUNGA CONGO BRAZAVILLE MAGOLI 3-2 UWANJA WA TAIFA

Image
Mchezaji wa Timu ya Serengeti Boys Mohamed Rashid Abdalla akikokota mpira mbele ya wachezaji wa timu ya taifa ya Congo Brazaville katika mchezo wa kuwani kufuzu fainali za Mataifa ya Afrika kwa vijana liofanyika kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam, mpira umekwisha timu ya Serengeti Boys imeshinda  magoli 3-1 dhidi ya Congo Brazaville yaliyofungwa na mchezaji Yohana Mkomola katika dakika za 40 na 42. goli la tatu la Serengeti Boys limefungwa na Issa Makamba aliyeingia kipindi cha pili huku Congo Brazaville wakipata magoli mawili. Mchezaji wa timu ya Serengeti Boys Israel Mwenda akiruka juu juu na mchezaji wa Congo Brazaville Moundza Prince wakati mchezo huo ukiendelea kwenye uwanja wa Taifa jioni hii. Kikosi cha timu ya Taifa ya Vijana Serengeti Boys. Kikosi cha Timu ya Taifa ya  Congo Brazaville  Viongozi mbalimbali wakiwa katika jukwaa kuu wakiimba wimbo wa Taifa. Timu zote zikiingia uwanjani tayari kwa kuza kwa mpambano huo. Waamuzi wa

Magazeti ya Leo Jumatatu, Sept 19

Image

METL GROUP YAFANYA UZINDUZI WA KAMPENI YA “USIKATE TAMAA”

Image
 Mkurugenzi wa Masoko wa MeTL Group, Fatema Dewji-Jaffer akielezea kampeni ya USIKATE TAMAA na jinsi inavyoweza kubadili maisha ya watu waliokata tamaa ya kufanikiwa kimaisha.kulia na Kaimu Meneja Masoko Msaidiz wa Mohammed Enterprises Tanzania Limited (MeTL Group), Zainul Mzige.  Mkurugenzi wa Masoko wa MeTL Group, Fatema Dewji-Jaffer akizungumza kuhusu kampeni ya USIKATE TAMAA, Kushoto ni mwanamuziki Shetta na kulia na Kaimu Meneja Masoko Msaidizi wa Mohammed Enterprises Tanzania Limited (MeTL Group), Zainul Mzige.    Mwanamuziki, Nurdin Bilal Ali maarufu kama Shetta akielezea safari yake ya muziki hadi kufika hatua aliyopo sasa ambayo mwenyewe amesema kuwa kwake ni mafanikio makubwa. Katikati ni Mkurugenzi wa Masoko wa MeTL Group, Fatema Dewji-Jaffer. kulia na Kaimu Meneja Masoko Msaidizi wa Mohammed Enterprises Tanzania Limited (MeTL Group), Zainul Mzige. Mkurugenzi wa Masoko wa MeTL Group, Fatema Dewji-Jaffer akifafanua jambo katika mkutano na waandishi wa habari

CHANGIA MAAFA KAGERA

Image

Here is a new way Instagram has for you to filter out offensive comments

Image
Instagram is letting people filter out and hide comments with words or phrases they deem inappropriate, a move trying to make its network feel "positive and safe." Just go to the settings and look for the new section that says “Comments.” You’ll be given the option to hide inappropriate comments automatically. The new filtering tool will be switched on for all Instagram accounts this week, according to an Instagram spokesperson Systrom  on the Instagram blog . "To empower each individual, we need to promote a culture where everyone feels safe to be themselves without criticism or harassment," "It’s not only my personal wish to do this, I believe it’s also our responsibility as a company. So, today, we’re taking the next step to ensure Instagram remains a positive place to express yourself." Here's what the new comment filtering feature looks like in the Instagram app's settings:

MAGAZETI YA LEO JUMATANO

Image