MAVETERANI WA PR MWAKA WA TATU MNATAKIWA KUFIKA MAZOEZINI

Maveterani wote wa PR 3 mnatakiwa kufika mazoezini kesho kuanzia saa 10 Jioni kwa ajili ya maandalizi ya mechi kati ya Maveterani na  timu ya darasa (PR 3) itakayofanyika siku ya JUMAPILI, tarehe 20/01/2013,  katika uwanja wa Nyegezi Seminary kuanzia saa 1 asubuhi.

FIKA KWENYE MAZOEZI BILA KUKOSA

Comments

Popular posts from this blog

HABARI NJEMA KWA WANAFUNZI WA VYUO VIKUU

PATA UKWELI KUHUSU MWANAMALUNDI, MTU WA MAAJABU ALIYEWAHI KUTOKEA KATIKA HISTORIA YA KABILA LA KISUKUMA