KIFO CHA ZAOLA PARETO TANZANIA
Zao la pareto ni miongoni mwa mazao ambayo wakulima wamekuwa wakipunguza na kuacha kuyalima kabisa, huenda ni kutokana na bei yake kuwa chini au soko sumbufu. Kamera ya Benjamin Kaminyonge ilipita maeneo ya wilaya ya Makete, kata ya Matamba na kuona zao hilo likiwa kwenye shamba la ekari moja ndani ya kijiji kizima huku kukiwa na mazao kama mahindi, ngano, maharage na alzeti kwa wingi. (picha: benjaminkaminyoge.blogspot.com)
Pretty nice post. I simply stumbled upon your blog and wished to mention that I've truly enjoyed surfing around your blog posts. After all I will be subscribing in your rss feed and I am hoping you write once more very soon!
ReplyDeleteMy weblog - online radio