Skip to main content
TRA YAKAMATA SHEHENA KUBWA YA BIDHAA ZA MAGENDO
Aidha, majahazi mengine
matatu yamekamatwa katika eneo la Kigombe mkoani Tanga ambayo yalikuwa na
bidhaa za magendo yenye thamani ya shilingi 99, 682, 273, 48 ambapo ndani
kulikuwa na magunia ya sukari, mchele, mafuta ya kula, matairi ya magari, nyavu
za kuzuia mbu, jokofu, jiko la umeme, rangi za kupuliza, betri na biskuti.
Comments
Post a Comment