SPAIN MABINGWA WAPYA KOMBE LA DUNIA



Rais Jacob Zuma wa Afrika Kusini pamoja na Rais wa Fifa,Sepp Blatta wakiwa na mabingwa wapya wa Dunia mara baada ya kuwakabidhi kikombe chao cha ubingwa walioupata kwa kuitungua timu ya Taifa ya Uholanzi bao 1-0 lililofungwa na mchezaji Andres Iniesta dakika nne tu kabla ya mechi kumalizika.

Comments

Popular posts from this blog

KIFO CHA ZAOLA PARETO TANZANIA

HABARI NJEMA KWA WANAFUNZI WA VYUO VIKUU