BUNGE LIMEHAIRISHWA TENA MPAKA KESHO SAA 3 ASUBUHI.

Spika wa Bunge la Tanzania, Mh. Anna Makinda amehairisha Bunge mpaka kesho saa 3 asubuhi ,ili Kamati tofauti za bunge zikajadili kuhusu hali inayoendelea huko mkoani Mtwara

Comments

Popular posts from this blog

HABARI NJEMA KWA WANAFUNZI WA VYUO VIKUU

YOUNG D AZUNGUMZIA MAMBO 6 KATIKA KIPINDI CHA MKASI JANA