Posts

HABARI KUBWA ZA MAGAZETI YA LEO IJUMAA, MACHI 15

Image
3 . . ..... . . . . . . . . . . . . . . . SOURCE:  suleimanmagoma

HARUSI TRADE FAIR SASA YAFIKISHA MIAKA MINNE

Image
Mustafa Hassanali akizungumza na wandishi wa habari , kushoto kwake ni meneja wa biashara wa Harusi Trade Fair Hamis Omary Biashara ya Harusi Watu wengi zaidi wahamasishwa kushiriki na kutembelea Maandalizi  ya Harusi Trade Fair 2013 yapamba moto, Maonyesho hayo ya wafanyabiasharas wa bidhaa na huduma za harusi yanatarajiwa kuanza tarehe 21 machi hadi tarehe 23 machi katika viwanja vya ukumbi wa pathenon uliopo mkabala na Red Cross barabara ya Ali Hassan Mwinyi Upanga Dar es salaam. Muanzilishi na muandaaji wa Harusi Trade fair Mustafa Hassanali amesema ikiwa ni mwaka wake wanne maonesho haya yamekuwa na kuongezeka ubora ukilinganisha na miaka iliyopita halikadhalika tunatarajia kuona mabadiliko kwenye tasnia ya Harusi na washikadau wake. Mwaka huu Harusi Trade Fair tayari imeshawavuta washiriki wengi wengi wao ni washirikia ambao wapo toka kuanziswha kwa maonyesho haya mwaka 2010. Maonesho hayo yatakayodumu kwa muda wa siku tatu yatakuwa yakianza saa 4;0

MAGAZETI YA LEO MARCH 14

Image
. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .