Posts

Showing posts with the label Entertainment

HISTORIA YA PAPA WEMBA

Image
Habari kuwa mmoja wa vigogo wa muziki wa kiafrika Papa Wemba ametutangulia mbele ya haki imepokewa kwa mshtuko mkubwa na mashabiki wake kote duniani. Video inayosambazwa katika mitandao ya kijamii inamuonesha Papa Wemba akiendelea na kazi yake anayoifahamu zaidi ya uimbaji kisha anaonekana akianguka ghafla jukwaani. Jules Shungu Wembadio Pene Kikumba 1949-2016. Wanabendi wake waliokuwa jukwaani naye huko Abidjan katika tamasha la muziki la #FEMUA wanaendelea kupiga densi tu kabla ya mmoja wao kukimbia kumuokoa baada ya kuona kasalia chini kwa sekunde kadhaa akiwa anatetemeka kisha akazirai. Shoo hiyo ya Papa Wemba ilikuwa moja katika mji mkuu wa Ivory Coast Abidjan. Msemaji wake Henry Christmas Mbuta Vokia, ameiambia Radio Okapi kuwa ''Marehemu Papa Wemba alikuwa ameingia muda mchache tu jukwaani kisha akacheza wimbo wa kwanza, mashabiki wakamuomba awaimbie tena wimbo mwengine akakubali. lakini dakika chache tu baada ya kuanza kupiga wimbo wa ke wa tatu Papa Wem

NEW VIDEO: LAU WA JOHN "NIMETULIA" VIDEO YA KENNY UKIYZ

Image

SAUTI SOL RELEASE “RELAX” BRAND NEW MUSIC VIDEO

Image
Multiple award-winning group Sauti Sol release the music video of RELAX, the seventh single off their new album: Live and Die in Afrika (released Nov 21st 2015). RELAX is a bona fide feel-good track and a dedication to all SautinSol fans, and music fans worldwide. The video of RELAX features behind the scenes video clips of the group’s 2015 shows, tours and events, summing up what was a successful year for Sauti Sol. From Rwanda to USA, they include Sauti Sol’s debut at Kigali Up Festival, Global Citizen Festival, Sauti Sol Road to BET American Tour that also saw them attend BET Awards as nominees Best International Act – Africa, among others. RELAX has been written and produced by Sauti Sol. Executive Production: Sauti Sol Entertainment. Video produced and directed by Michael Rainin (RAINPIX). Edited by Joseph Remerowski (Pictures in a Row). Executive Production: Sauti Sol Entertainment Sauti Sol’s third album: Live and Die in Afrika was added in BBC Africa’s Top 10 tra

DAVIDO: SUALA LA KUOA SI LA KIPAUMBELE KWANGU

Image
Mwanamuziki maarufu wa Nigeria, David Adeleke. MWANAMUZIKI maarufu kijana wa Nigeria, David Adeleke ajulikanaye zaidi kama Davido, amesema hana haraka ya kuoa hivi sasa ambapo nadhari yake ameielekeza kwenye tasnia ya muziki ambayo ndiyo inampa riziki yake na kwamba hataki kujifungia katika ‘sanduku’ na ndoa. Davido aliyesema hayo hivi karibuni katika mahojiano na gazeti la Punch ambapo aliweka wazi kwamba bado hajaamua kumuoa mama wa mtoto wake, licha ya upendo wake mkubwa ambao amekuwa akiuonyesha kwa mtoto wake. Msanii huyo aliyeimba wimbo maarufu wa 'Skelewu' alisema: “Ni jambo jema sana kuitwa baba, lakini sifikirii kuoa sasa kwani kipaumbele changu hivi sasa ni muziki. "Hivyo, wapenzi wa mwanamuziki huyo watabidi wasubiri na kuona ni lini atafunga ‘pingu za maisha’.

#TEAM EMPIRE, MSIMU MPYA KUZINDULIWA SEPTEMBER 23,WAACHIA SOUNDTRACK 2

Image
Empire Msimu wa pili uko njiani mtu wangu, tunahesabu siku chache kufikia tarehe 23 September ili tuweze kuenjoy ile series iliyoshika headlines kubwa sana duniani! Kama wewe ni shabiki mkubwa wa Empire basi hii good news ikufikie, soundtrack 2 mpya za Empire zimetoka, hapa nazungumizia ‘No Doubt About It’ iliyomshirikisha Pitbul na Jussie Smollett anayeigiza kama (Jamal Lyon) wimbo huu umeandikwa na Ne-yo. Nyingine ni ‘All About The Money’ ndani anasikika Yazz The Greatest ambae anacheza kama Hakeem Lyon kwenye Series ya Empire.

Madai Wema avunja ndoa! ni ya Esma mdogo wake Diamond

Image
Waandishi wetu HALI si shwari kwenye familia ya Kampuni ya Endless Fame Productions kufuatia madai mazito yanayomgusa mkurugenzi wake, Wema Isaac Sepetu akihusishwa na kuvunjika kwa ndoa ya mdogo wa mkali wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ almaarufu kwa jina la Esma Platnumz aliyeolewa na Hamad Manungwa ‘Petit Man’. MAI NDANI Katika sakata hilo, mtangazaji maarufu Bongo, Maimartha Jesse ‘Mai’, Esma na Mtangazaji Nasra Rajesh ‘Lady Naa’ wanadaiwa kuunda kundi lenye lengo la kuwasuta wezi wa waume za watu (Wema aliwekwa kwenye tageti) lililopewa jina la Al-Shabaab. Wakati mpango huo ukiendelea, Mai anadaiwa alielezea mkasa wa kuvunjika kwa ndoa ya Esma na Petit Man kwenye Instagram huku akimtaja Wema kuhusika kwa mafumbo, jambo lililomfanya staa huyo wa filamu (Wema) aogelee matusi ya kutosha. MADAI YA WEMA KUHUSIKA Madai kamili yanamhusisha Wema na uvunjifu wa ndoa hiyo akituhumiwa ‘kuchepuka’ na Petit Man kwa muda mrefu sasa huku mwenyewe akikanusha vikali.   USHAHI

Kisa Lowassa, wolper aoga matusi kutoka kwa mastaa

Image
M TOTO  mzuri Bongo Movies, Jacqueline Wolper, amejikuta akiambulia matusi mazito kutoka kwa staa mwenzake Isabela Mpanda kisa kikiwa ni kuonesha mapenzi yake kwa mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa. Isabela aliamua kumtusi staa huyo akidai anamshanga kujinadi kila siku katika mtandao wa Instagram kuwa ni mfuasi wa Lowassa wakati amelelewa na Chama cha Mapinduzi (CCM). Kupitia mtandao huo wa Istagram, Isabela aliamua kumtolea uvivu Wolper hadharani kwa kumwambia aache kupotosha umma kwamba ana mapenzi yaliyopitiliza wakati ni mnafiki mkubwa kwani upande wa pili anaitegemea CCM iliyomlea kisiasa Lowassa kabla ya kuhamia Chadema. “Huyu naye paka gani (Wolper) anajitia anaiponda CCM wakati njaa zake anaponea CCM. Panya Road wewe kwani anafanya nini koko huyu mpuuzi mkubwa, ms...,” aliandika Isabela kwenye Instagram.   Baada ya Isabela kumporomoshea matusi hayo, mtu wa karibu na Wolper alidai suala hilo lilimnyima raha kiasi cha

VIDEO: Mayunga ameiachia ‘Nice Couple’.. hii ya kwanza kabisa baada ya Ushindi wake wa #TraceMusicStar

Image
Mtanzania aliyeibuka mshindi kwenye shindano la   Trace Music Star  mbele ya Majaji watatu ndani ya  Nairobi +254  ikiwemo  Akon ,  Mayunga  anaanza rasmi kutengeneza njia yake kubwa kwenye muziki wa Kimataifa baada ya kuiachia hii ngoma ya kwanza kabisa baada ya ushindi wake. Kwa mara ya kwanza huu mdundo uliachiwa EXCLUSIVE on # TraceUrban  na sasahivi tunapata nafasi nyingine kuishuhudia hii baada ya kunifikia na mimi mtu wako wa nguvu . Hii video iko hapa mtu wangu, play ucheki huu ujio wa  Mayunga  chini ya usimamizi wa lebo ya  Universal Music  na mikono ya  Akon . Video imefanyika  South Africa  chini ya usimamizi wa  Trace Urban South Africa  pamoja na  Universal Records  ambako  Akon  alihusika kwa upande huo na kama hukubahatika kuitazama video hiyo  July 31  karibu uitazame tena hapa chini mtu wangu.

Pedro wa Barcelona kutua Chelsea kukamilisha usajili leo

Image
Chelsea have beaten Manchester United in the chase to sign Pedro from Barcelona and Old Trafford manager Louis van Gaal faces more misery in his bid to prise Sadio Mane from Southampton. Jose Mourinho made a personal intervention to beat his old mentor Van Gaal to Pedro. Mourinho's personal call helped convince the 28-year-old Spain striker Stamford Bridge was the right destination. Chelsea struck a deal for £21.1million, with £19m paid up front, more than United offered. Pedro is expected to complete the transfer after a medical on Thursday and be available for Sunday's game at West Bromwich Albion if there are no complications. Manchester United were in pole position to sign Pedro but Chelsea made a late bid for the Barcelona attacker Jose Mourinho (left) made a personal call to Pedro in order to beat Louis van Gaal (right) to his signature Pedro, pictured in action against Athletic Bilbao this week, will undergo a

HATIMAYE Mrembo Machachari wa Kenya Huddah Monroe Atulizwa Kwa Kuvishwa Pete ya Uchumba

Image
Huddah Monroe MREMBO kutoka nchini Kenya, Huddah Monroe, ameanza kuionesha pete ya uchumba aliyovishwa wiki iliyopita. Mwanamitindo huyo mwenye umaarufu mkubwa nchini humo, ameamua kuvunja ukimya wake na kuionesha pete hiyo kupitia akaunti yake ya Instagram. “Kila kitu kipo wazi, lakini muda ukifika watu watamjua nani aliyenivisha pete hii, lakini kwa sasa watu wanatakiwa wajue nina pete ya uchumba. “ Kwa sasa naweza kusema sihitaji usumbufu kutoka kwa mwanamume yeyote, huu ni muda wangu wa kutulia na kufanya maisha na mume wangu mtarajiwa, ” alieleza Huddah.

Hackers Waigeuza Akaunti ya Instagram ya Fid Q Kuwa ya Wema Sepetu!

Image
Kama unaitafuta akaunti ya Instagram ya Fid Q kuanzia jana bila mafanikio basi fahamu kuwa hackers wameitaifisha, kufuta picha zake zote na kuigeuza kuwa ya Wema Sepetu. Akaunti hiyo ina followers zaidi 160,000. “Account hii imekuwa hacked jana usiku ila mimi nimegundua leo asubuhi,” Fid ameiambia Clouds FM. “ Niligundua baada ya kuingia katika account ikawa inanigomea. Mimi nilikuwa nimeandika mwanaharakati, sasa naona wameamua kubadili na jina na kuandika jina la Wema Sepetu, ” alisema.

Lulu ‘kajibebisha’ kwa Diamond Platnumz amchokonoa Zari

Image
Chanzo:GPL UCHOKOZI! Staa wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael 'Lulu' anatengeneza kichwa cha habari kwa mara nyingine baada ya kudaiwa ‘kujibebisha’ kwa staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz', kitendo kilichotafsiriwa kuwa ni kumchokonoa mwandani wa jamaa huyo, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ . Tukio hilo lilijiri usiku mnene Jumapili iliyopita kwenye Ukumbi wa House Club uliopo Masaki, Dar ambapo kulikuwa na sherehe ya bethdei ya DJ wa Diamond, Rommy Jones. Kwa mujibu wa shuhuda wetu aliyeweka kambi ukumbini humo, Lulu, bila kujali kwamba, Diamond alimwacha Zari nyumbani akimnyonyesha ‘baby girl’ wao, Latifah Nasibu a.k.a ‘Princess Tiffah’, alionekana akijiachia naye kimahaba huku akionesha ‘kummisi’ kinoma jamaa huyo. ILIANZA HIVI Lulu, alikuwa wa mwishomwisho kuingia ukumbini ambapo baada ya kuzunguka kusalimiana na mastaa wengine alitua kwenye sofa alilokuwa amekaa Diamond ambapo walianza kufanya yao bila kujali ëwavimba machoí wa

Meninah aolewa kimyakimya jijini Dar na mtoto wa Waziri

Image
WENYE wivu wajinyonge! Nyota wa muziki wa kizazi kipya, zao la BSS 2012 Meninah Abdulkarim, anadaiwa kufunga ndoa kimyakimya mwishoni mwa wiki iliyopita na mtu anayetajwa kulelewa tangu utotoni na aliyekuwa Waziri wa Nishati na Madini aliyejiuzulu, Profesa Sospeter Muhongo. Chanzo chetu makini kimearifu kuwa shughuli hiyo ilifanyika Agosti 16 mwaka huu ikimaliziwa na sherehe kubwa iliyofanywa nyumbani kwao, Kigamboni jijini Dar es Salaam. “Ebwana Meninah kaolewa na jamaa mmoja ambaye tumeambiwa ni mtoto wa Muhongo, ambaye alikuwa naye kwenye uhusiano wa kimapenzi kwa muda mrefu sasa, ndoa hiyo ilikuwa ya siri maana sisi hatukujua kabisa, ila nilikuwa naenda zangu mjini mara nikakutana na magari ya harusi ndiyo nikajumuika na mimi kula ubwabwa,” kilisema chanzo chetu ambacho kilishuhudia shughuli nzima.   Inadaiwa kuwa bwana harusi amelelewa kwa muda mwingi wa maisha yake na Profesa Muhongo kiasi kwamba watu wa karibu na familia hiyo walifahamu ni mtoto wake wa kumzaa. H