Posts

Showing posts from October, 2013

BAJAJI YA MIZIGO YAPATA AJALI KWENYE TRAFIC LIGHT JIJINI MWANZA

Image
Kutoka katika blog ya gsengo Ni bajaji ya mizigo ambayoilikuwa na mizigo ya mafuta ya kula, chumvi, sabuni pamoja na unga imekula mzinga ikiovateki roli na kukuta roli upande wa pili limepaki na dreva wa bajaji alipojaribu kurejea kwenye upande wake wakushoto ndipo brekizikamzidia akajibamiza nyuma ya roli alilokuwa akiliovateki. Wananchi waliofurika eneo la tukio Bahari ya mafuta ya kula. ... Dereva wa bajaji hii alikimbizwa katika Hospitali ya Rufaa Bugando kupatiwa matibabu mara baaada ya kupata majeraha makubwa ya kutisha huku akimuacha mwenye mali ambaye alikuwa amepakizwa nyuma na mizigo akiwa amelowa mafuta na akiwa hana hata jeraha moja . Taswira amili na wananchi mashuhuda. Hii ndiyo mizigo iliyosalimika wakati ile ya mafuta yooooote yakimwagika kupitia ajali hiyo. Ni hasara ingawa kunausalama kiasi. Askari wa jeshi la polisi Mwanza wakipima ajali hiyo. 

FASHION: Hassanali to launch “Afroture” Collection

Pan African Designer from Tanzania, Mustafa Hassanali has been invited to the 5 TH Edition of The Africa fashion International’s Mercedes Benz Fashion Week Africa 2013 in Pretoria, South Africa from 30 October to 2 November. “Showcasing at this annual Pan African event, I am very excited and honored to launch my new collection Afroture, the Third Collection for this year as I celebrate my Tenth Showcase in South Africa where I have used this opportunity to promote our country Tanzania in South Africa and to Africa at large.”Stated Mustafa Hassanali Mustafa Hassanali will launch his AFROTURE collection on Friday 1 November, at Tshwane City hall in Pretoria at 1800Hrs. This Collection is named Afroture where “Afro” a short for Africa and “ture” short for French Word Couture and English word Future, which summates into the bright Future of African Fashion. This Collection depicts the usage of East African Cotton fabric “Kitenge” turning them into signature Mustafa

RHINO RANGERS WACHUKUA POINT 3 KATIKA UWANJA WA NYUMBANI

Image
Timu ya Rhino Rangers ya Mkoani Tabora imeutumia uwanja wao wa nyumbani (Ali Hassani Mwinyi) kwa kutupia kibindoni point 3 muhimu dhidi ya timu ya maafande wenzao wa JKT Ruvu ya Mkoani Pwani. Rhino Rangers wameshinda goli moja dhidi ya JKT RUVU mnamo dakika ya 87, ambapo mashabiki wa timu ya Rhino walikuwa washakata tamaa kabisa ya kuendelea kutizama mtanange huo. Mashabiki wa soka wakiwa wamejitokeza uwanjani baada ya mechi mashabiki waliingia katikati ya dimba kuwapongeza vijana wa Rhino Rangers Mimi na wadau wenzangu tulijitokeza pia uwanjani kutizama mechi hii kutoka kushoto ni Bakari, wa kulia ni Erick Charles

AUDIO: SIKILIZA NA DOWNLOAD CHINI YA ULINZI-YA SONGA & STAMINA producer Dupy-Uprise Music

HIT MARKER kutoka tamadunMuzik Songa amedondosha track nyingine mpya ambayo amemshirikisha Stamina kutoka Moro town,ikiwa chini ya producer Dupy wa Uprise Music, hii ni moja wapo ya collaboration ambayo nilitegemea itakuwa kali hasa hivi vichwa vitakapokutana hasa katika upande wa mashairi ambapo kila mtu ameonyesha uwezo wake wa kucheza na maneno katika kutegeneza punchline.  "Niite mangi mweusi ninayejichumbuaga kwa mtori" huu ni mmoja wa mstari wa Stamina unaopatikana katika track hii ,lakini Songa pia anakwambia "usiombe uwekwe kwenye beat kali na mimi, utajua kwa nini Uganda mpaka leo hakuna DADA gaidi kama IDD AMINI" hizi ni moja wapo ya mistari mikali inayopatikana kwenye hii track, enjoy

AUDIO: SIKILIZA NA KUDOWNLOAD PINI JIPYA LA MAVOLUME_FT_SPIA_JIULIZE_CREATIVITY MUSIC PRODUCTIO_DIVAI

VIDEO:ULIMISS KUANGALIA COKE STUDIO WAKATI DIAMOND AKIPERFORM?ANGALIA HAPA

Naseeb Abdul aka  diamond platnumz ni msanii anayetishakatika ukanda wa Afrika Mashariki katika miondoko ya  bongoflava kwa sasa.tokea atoke na ngoma yake ya kamwambie Naseeb hajawai kuzimika katika ulimwengu wa muziki wa bongo. Diamond ni moja ya wasanii anayejituma sana katika muziki huu wa bongo fleva na kila kukicha amekuwa ni mbunifu wa kuongeza thamani kwa kile anachokifanya,akiwa na zaidi ya nyimbo 130 kwenye library yake,week iliyopita alionekana ndani ya Coke studio na kuirudia ngoma ya temptation na msanii HHP kutoka Afrika ya kusini,hii imemfanya diamond kubadilika kimziki na kuonyesha style nyingine ambayo imemfit pia. Akiwa na umri wa miaka 24 tu kwa sasa , Diamond alianza muziki tokea akiwa na miaka 13 na alikua akicopy baadhi ya miziki na baadae baada ya kujiunga na sekondari mama yake mzazi alimwambia aachane na muziki lakini mzee mzima alikomaa na kufight hadi kufika alipo kwa sasa. Alipokwenda Coke studio diamond aliirudia ngoma ya "temptation" ya

VIDEO: NAKUPENDA PIA - WYRE FT. ALAINE (OFFICIAL VIDEO) LOVECHILD RECORDS

VIDEO:ANGALIA WIMBO WA Alaine- "You Are Me"

MUSIC: Download na Kusikiliza wimbo wa Nikki Mbishi - "Yote Sawa"

MAHOJIANO: HIKI NDO NILITAKA KUJUA KUTOKA KWA STEVE WA YANGA,ANGALIA HII VIDEO KUTOKA KWA MILLARD AYO

Thanks To Millard Ayo for this Video, nilitaka kujua je Steve wa Yanga angereact nini baada ya simba kurudisha magoli yote 3, imenifurahisha sana kwa kuwa nilichokitegemea kutoka kwake ndicho hicho hicho alichokifanya kwa kuanza vizuri kuongea mara baada ya hapo akaanza kupanic......

HUSSEIN MACHOZI AWAFUNGUKIA KUPITIA PAGE YAKE YA FB WANAOFATILIA NDOA YAKE

Image

MUSIC:DOWNLOAD NA SIKILIZA SIRI YA MCHEZO YA FID Q FT SIR JUMA NATURE

MUSIC: SIKILIZA NA DOWNLOAD B_SHINER "KAMWAMBIE MAMA"PRODUCED BY DIVAI(CREATIVITY MUSIC PRODUCTION

Majina ya vyuo 9 vilivyofutwa na Serikali kwa kukosa sifa.

Serikali kupitia Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi  imevifuta vyuo ambavyo havina sifa ikiwamo kukosa usajili wa Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) na kufundishwa na walimu wasio na sifa.  Vyuo vilivyotangazwa kufutwa ni:- 1.Media and Values Training Institute(Dar es Salaam) 2.Information Technology Training Center(Dar es Salaam) 3.Dar es Salaam School of Hair Design (Dar es Salaam) 4.Morogoro School of Medical Sciences (Morogoro) 5.Media and Research Center 6.Vision Hotel and Tourism College 7.East Africa College of Hospitality and Tourism 8.The Africa Institute of Business Management 9.Aspiration Training Center Naibu Waziri wa Wizara husika , Philip Mulugo, alitangaza hatua hiyo wakati alipokutana na Kamati ya Bunge ya Huduma za Jamii, katika ofisi ndogo za Bunge jijini Dar es Salaam.  Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Profesa Sifuni Mchome, alisema Serikali ilishatangaza kuwa vyuo visivyo na sifa vifungwe lakini tatizo likawa ni jinsi ya kuwatafutia wanafu

WASHINDI WA BODABODA NA MKWANJA COCA COLA KANDA YA ZIWA HAWA HAPA.

Image
SOURCE: gsengo Meneja wa masoko kampuni ya Soda za jamii ya Coca cola kiwanda chaNyamza Bottling Co. LTD Marco Masaka (kushoto) akimkabidhi ufunguo mshindi wa pikipiki (Bodaboda) Sabuni Selya kutoka Malampaka wilaya ya Maswa mkoani Shinyanga katika hafla ya makabidhiano iliyofanyika kiwandani jijini Mwanza. Meneja wa masoko kampuni ya Soda za jamii ya Coca cola kiwanda chaNyamza Bottling Co. LTD   Marco Masaka (kushoto)  akimkabidhi ufunguo mshindi wa pikipiki (Bodaboda)  Julius Onesmo kutoka jijini Mwanza. Meneja wa masoko kampuni ya Soda za jamii ya Coca cola kiwanda chaNyamza Bottling Co. LTD  Marco Masaka (kulia)  akimkabidhi ufunguo mshindi wa pikipiki (Bodaboda)  Emanuel Musa kutoka Ng'ungumalwa Kwimba.  Meneja wa masoko kampuni ya Soda za jamii ya Coca cola kiwanda chaNyamza Bottling Co. LTD  Marco Masaka (kushoto)  akimvisha kofia ngumu mara baada ya kumkabidhi ufunguo mshindi wa pikipiki (Bodaboda)  Samwel Mashauri kutoka Maganzo mkoani Shinyanga.

PICHA: MASHABIKI WA DIAMOND WATUMA PICHA ZIKIONYESHA MAPOZI KAMA YAKE:

Image
 Kama unafatilia habari za mastaa wa Marekani utafahamu kuwa hii issue alishawahi kufanya rapper Nicki Minaj wa Young Money, Aliomba mashabiki watume picha wakiwa wamevalia mavazi kama yake na pozi zaki Nicki Minaj, Well Bongo Super Star Diamond amefanya yake kwenye instagram. Picha zaidi ziko hapa.

USIKU WA "Habari ya Mjini"PNC NDANI YA BASEMENT CLUB ALHAMIS HII

Image
King's Entertainment once again presents 2 u Usiku wa "Habari ya Mjini" ndani ya Basement club pele DenFrance Hotel sinza..... Uzinduzi wa ngoma mpya ya Pnc akisindikizwa na Dogo Janjarooo!! So fanya kusogea hyo siku!!!! Mtonyooo ni nyekundu moja tuu!!!! T-shirt kama kawa!!!!!

TWEETS: SHUHUDIA MWENYEWE MASHABIKI WA SIMBA WANAVYOTWEET KABLA YA MECHI

Image