Posts

Showing posts with the label DOWNLOAD

Diamond Platnumz ft Rayvanny Salome ( Traditional Official Music video)

Image

MAGAZETI YA LEO JUMATATU, JANUARY 4

Image

WIMBO MPYA: KANIGANDA - MENINAH LA DIVAH

Image
PAKUA WIMBO MPYA WA MSANII    WA BONGO FLAVA MENINAH - KANIGANDA

NITAZOEA - MO MUSIC, DOWNLOAD WIMBO MPYA

Image
Mo Music ni mmoja wa wasanii wachahe chipukizi aliyefanikiwa kufika kwenye Top 5 ya Mkito ndani ya masaa 7! Sikiliza wimbo mpya kutoka kwa Mo Music - #Nitazoea hapa  chini 

SIKILIZA WIMBO MPYA WA LADY JAY DEE FT MAZET & UHURU

Image
Artist:  Lady jaydee Ft Mazet & Uhuru Song:  Give me love Producer:  Uhuru Email This   BlogThis!   Share to Twitter   Share to Facebook

New Track:- Johnsteve Ft. Sadybullet - Vumilia

Image

CHEKECHA CHEKETUA - ALI KIBA UPO HAPA DOWNLOAD HAPA

Image

New Track[rmx2] :- One Darren ft Diamond Platnamz - Ukisinzia | Download/Listen

Image

NEW SONG: MIRACLE "NAELEKEA IKULU" PRODUCED BY DUKE

Naomba usikilize huu wimbo kwa umakini ambao kwanzia wazo lenyewe mpaka mchanaji amesimamia kwenye mada bila kuchanganya mambo mambo yasiyokuwa ya msingi, pia nimependa mixing nzuri iliyofanyika chini ya fundi wa midundo  Duke Touch, Msanii huyu ni mfano wa kuigwa kwa wasanii wengine sio kila siku tunasikia mistari  kama "Mimi mkali sijui natisha kama Zombi,hapana mistari hii namnukuu "Nash MC"

NEW AUDIO: SIKILIZA NA KUPAKUA WIMBO MPYA WA YOUNG DEE FT JUX- SIO MCHOYO

Image
Hii kazi mpya ya Young Dee Ft Jux-Sio Mchoyo, Unaweza Download Na kuisikiliza kazi hii hapa

NEW AUDIO:SIKILIZA NA KUDOWNLOAD NYIMBO MPYA "MICHEPUKO" YA NIKKI MBISHI.

DOWNLOAD NA KUSIKILIZA SINGLE MBILI ALIZOZIACHIA ALI KIBA LEO.

Image
Baada ya wapenzi wa muziki Tanzania kusubiri kwa muda mrefu sasa wamepata nafasi ya kujiburudisha na ngoma mpya kutoka kwa Alikiba. Tarehe 25 Julai, 2014 Alikiba ameachia single mbili mpya kwa wakati mmoja ziitwazo “Mwana” na “Kimasomaso”. Mwana imetengenezwa na Manwalter kutoka studio ya combination sound na Kimasomaso imekuwa sampled kutoka kwa Marehemu Issa Matona ikiwa imetayarishwa na producer Marco Chali kutoka MJ records. Alikiba anajulikana ndani na nje ya Tanzania kwa hit zake kama Cinderella, Mapenzi yanarun dunia, Single boy, na Dushelele. Cinderela ndiyo wimbo ambao mpaka sasa umeweka rekodi ya kuuza copy nyingi katika Afrika Mashariki mwaka 2008.    Mwaka 2012 Alikiba alishinda tuzo ya best Rhumba/ Zouk na wimbo wake wa “Dushelele” katika tuzo za Kilimanjaro Tanzania Music Awards. Alikiba anajulikana kwa uwezo wake mkubwa wa kuimba na utunzi wa nyimbo pamoja na kuwa mburudishaji mkali sana katika show zake za live na mpaka sasa ametembea nchi n

AUDIO: Brand New audio Kutoka kwa : Peter Msechu Ft Amini inaitwa"Nyota"

Image
Peter Msechu amerejea tena akiwa na Amini safari hii na single mpya "Nyota" Licha ya kukaa mda mrefu bila kutoa ngoma, Peter bila ya kusita amefanya kazi hii na producer mdogo ambae ndio anachipukia Amiz, ambae yupo C9 Records. "Nilimwambia kabisa toka Fiesta nikamwambia kwamba mimi Amini ukipanda stejini naskia raha sana, kuliko sijui ninavyojiskia, kwahiyo alivyokuja nikamwambia Amini nimeshafanya ngoma nyingi sana lakini Ok zina bahatika zinafanya vizuri zingine hazifanyi vizuri mi nafikiri nikifanya na wewe kuna kitu kingine kitatokea kikubwa sana, kwahiyo imetokea bahati tukaitana tukakaa studio, hii nyimbo tumeanza kuandika na amini tumekaa chini tumechora kimoja baada ya kingine, na Amini ame play part kubwa sana kwenye hii nyimbo, na ndio maana nikasema hapana unastahili kuanza hii nyimbo"