Posts

Showing posts with the label TECHNOLOGY

KOREA KASKAZINI NA BOMU NA HYDROGEN

Image
Tangazo kuhusiana na jaribio hilo la bomu la Hydrogen la Korea Kaskazini Siku moja baada ya Korea Kaskazini kufanya jaribio la bomu la nyuklia aina ya Hydrogen, Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limekubaliana kuanza mikakati ya kuiwekea vikwazo kufuatia jaribio hilo. Hata hivyo baadhi ya Wataalam wameonyesha kuwa na wasi wasi kuhusu jaribio la sasa la Nyuklia la Korea Kaskazini ambalo ni la nne katika muongo mmoja kwamba nguvu yake inaweza kuwa ni bomu la hydrogen. Kwa faida yako tu bomu la hydrogen ni moja ya mabomu hatari ya jamii atomic au nyuklia yenye nguvu zaidi. Wataalam wanasema bomu hili la hydrogen lina uwezo mkubwa kiasi kwamba linaweza kulipua mji mmoja wote kwa mlipuko mmoja. Kufuatia jaribio hilo jamii ya kimataifa imendelea kulaani tukio hilo Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ambaye pia ni Waziri wa zamani wa Mambo ya nje ya Korea Kusini Ban Ki moon yeye amesema jaribio hilo la bomu la nyuklia ni hatua ya kuogopesha. "Hili jaribio kwa mara nyingin

Now you can "hand-write" in your Android device instead of typing

Image
The "Google Handwriting Input" app which replaces the regular keyboard and lets you write in your device instead of typing, is now available and functional. It features: Handwrite text on your phone or tablet in 82 languages. Supports printed and cursive writing, with or without a stylus.  Supports hundreds of emojis. Works across Android phones and tablets running Android 4.0.3 and up Try it out:  Google Handwriting Input  - Google Play 

Windows 10 is around the corner, you will get it for FREE, sign up!

Image
Microsoft  announced  that Windows 10 is launching in 190 countries and 111 languages in a few months from now. But here is a great news for those enthusiastic about it; Microsoft promised that they will offer a free upgrade to Windows 10 for qualified new or existing Windows 7, Windows 8.1 and Windows Phone 8.1 devices that upgrade in the first year!  And even better: once a qualified Windows device is upgraded to Windows 10, they will continue to keep it up to date for the supported lifetime of the device, keeping it more secure, and introducing new features and functionality over time – for no additional charge. Click on the button to  sign up  for it. Read more from their   blogs.windows.com

GOOGLE YATAMBULISHA ANDROID 5.1, HD, MULTI SIM, ITAKUWA NA USALAMA KWA SIMU ZITAKAZOIBWA

Image
13 Mar2015 Today we are rolling out Android 5.1 - an update to Lollipop that improves stability and performance and offers a few new features like support for multiple SIM cards, Device Protection and high definition (HD) voice on compatible phones. Whether you want to share your phone with a family member or better manage your mobile costs, Android Lollipop 5.1 now lets you use more than one SIM card on a device with multiple SIM slots. With Device Protection, your lost or stolen device will remain locked until you sign in with your Google account - even if someone resets your device to factory settings. This feature will be available on most Android phones and tablets shipped with Android 5.1 in addition to Nexus 6 and Nexus 9. High Definition voice calling is now on your mobile phone. Get crystal clear calling with HD Voice between compatible Android 5.1 devices like the Nexus 6 on T-Mobile or Verizon. Android 5.1 Lollipop also provides enhancements such as the ability to j

SET OUT HOW YOUR ACCOUNT ON FACEBOOK, GMAIL, YAHOO! SHOULD BE WHEN YOU DIE

Image
13 Feb205 " We all pass away sooner or later, leaving only a few memories behind for family, friends and humanity—and eventually we are all forgotten, But what if you could be remembered forever? " reads a startup website called  Eterni.me  on its landing page. Eterni.me lets people continue to communicate with a digital replica of their loved ones after they die. Eterni.me plans to let you curate your own immortal avatar while you're living and choose who you make it accessible to when you pass on. Other companies attempting to grapple with the legal and emotional challenges of the digital afterlife include: Google  introduced the  Inactive Account Manager (click here)  tool to protect the privacy of the deceased.  Yahoo  Ending  (Yahoo! Japan) allows the living to prepare by crafting posthumous emails, canceling subscriptions and curating videos and photos to share when they're gone. There is also  QR codes  on headstones , linking visitors to personali

HABARI MPYA KWA WATUMIAJI WA WHATSAPP SASA UTAWEZA KUPIGA NA KUPOKEA SIMU

Image
Baada ya facebook kuinunua Whatsapp, kumekuwa na mabadiliko ya features mbalimbali  katika kuiboresha App hii kuwa bora zaidi duniani kwa kukidhi mahitaji ya watumiaji. Mwezi uliopita walianzisha uwezo wa kujua kama mtu uliyemtumia ujumbe kama ameupata na kuusoma kabisa kwa kubadili alama za tick na kuwa za blue.  Wataalam wa mtandao huu wameendelea kugundua na kuongeza features zingine, wakati huu wako katika majaribio ya mtumiaji wa whatsapp kuweza kupiga simu na kupokea simu kutoka kwa mtumiaji mwingine anayetumia pia app ya whatsapp Majaribio ya huduma hii ya kupiga na kupokea simu kwa kutumia whatsapp yameanza huko Uholanzi na kuchukua screenshot hii ya majaribio. Tegemea hivi karibuni kuanza kupiga simu kwa kutumia whatsapp

Delhi University installs special technology for blind students in libraries

Image
delhi University is in the process of installing a special technology which can scan books and transcribe text to speech in all its libraries, a move which the varsity claims is a first-of-its-kind initiative for visually-challenged students by an Indian university. The technology called 'Inclusive Print Access Project' is a combination of software which has been imported from abroad to suit the needs of the visually-challenged students. The various software have been assembled to form a suitable package by the varsity's Equal Opportunity Cell. Delhi University to implement advanced technology to help the differently-abled students. "There are certain universities which have taken initiatives to meet the demands of the blind students but making special rooms for them or providing them scribes won't really help. We wanted to keep them in the same atmosphere as the other students," Anil Anjea, Officer on Special Duty at EOC, said. "We just want

‘Kampuni za simu nchini zinawaibia wateja wao’

Image
Dodoma. Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, January Makamba amekiri kwamba kuna tatizo katika kampuni za simu nchini la kuwaibia wateja wao. Makamba alikiri hilo jana wakati akijibu swali la nyongeza la Mbunge wa Konde (CUF), Khatibu Said Haji. Haji alisema wizi huo si mkubwa kama uliofanyika kwenye Escrow, bali ni wizi mdogo ambao wateja wanaibiwa Sh2,000 au 3,000 katika simu zao. “Mpemba wa Konde akiibiwa Sh3,000, Mnyamwezi aliopo Tabora akiibiwa 2,000 ukizijumlisha ni mamilioni wanaibiwa Watanzania,” alisema. Alihoji Serikali inafikiriaje kuhusu gharama za kwenda kutoa malalamiko yao katika Mamalaka ya Mawasiliano Nchini (TCRA). Pia alitaka kufahamu ni nani aliopo nyuma ya pazia hilo au CCM ina fungu katika wizi huo? Akijibu, Makamba alisema CCM

MABADILIKO MAPYA KUTOKA INSTAGRAM, SASA UNAWEZA KUEDIT CAPTION BAADA YA KUPOST

Image
Wale watumiaji wa mtandao wa kupost picha maarufu kama instagram, sasa tatizo lao nimepatiwa ufumbuzi baada ya kuweka update mpya katika app hiyo ya kuweza kuedit caption, mwanzoni watumiaji walikuwa wakishindwa kuedit maandishi yanayoendana na picha baada ya kupost hivyo wakati mwingine kupelekea kuweka makosa na kushidwa kufanya masahihisho ya makosa hayo. Baada ya malalamiko ya muda mrefu kutoka kwa watumiaji hatimaye Instagram wameweka update kwa watumiaji wa iOS na Android, update App yako sasa kupata mabadiliko hayo mapya. Nifollow instagram username: nyanja255

PROGRAMU YA "WIRELURKER" KUHARIBU VIFAA VYA APPLE

Image
Programu inayoharibu mifumo ya kompyuta inayoaminika kutoka uchina inalenga kompyuta na vifaa vingine vya kampuni ya Apple. Kampuni ya Usalama Palo Alto Networks inasema kuwa programu hiyo inayojiita "WireLurker" ina uwezo wa kupata habari za kibinafsi, imeenea kwa kutumia programu za apple zinazopatikana katika hifadhi za programu. Programu hiyo ina uwezo wa kuhama kutoka dirisha la kompyuta hadi katika kiini cha kompyuta kwa zaidi ya vifaa mia nne waya za kuhamisha ujumbe. wadadisi wamesema kuwa wanaotumia vifaa vya apple wanafaa kutumia hifadhi za programu rasmi. CHANZO BBC

CHANGAMKIA FURSA YA MAFUNZO BURE, JINSI YA KUTUMIA FACEBOOK KIBIASHARA KWA WAJASILIAMALI

Image
Katika dunia ya leo, kama wewe ni mfanyabiashara basi hauwezi epuka ushawishi wa mitandao jamii. Ingawa wengi wetu tumekuwa tukiitumia mitandao jamii kwa ajili ya mawasiliano pekee, ila kuna mengi yanaweza kufanyika na kusaidia kukuza ufannisi wa biashara yako. Kwa kulitambua hilo, Dudumizi Technologies LTD inakuletea mafunzo juu ya njia na namna sahihi za kutumia Facebook kukuza na kuboresha Biashara. Mafunzo haya yatakuwa ya wiki mbili, bila kukuchosha (tukitambua muda ni kitu muhimu kwa mjasiriamali) , tutakutumia dondoo (kwa email fupi) iliyojikita moja kwa moja kwenye utendaji. Hivyo, kila siku utapokea email moja inayokufundisha jinsi ya kutekeleza hatua husika. Mwisho wa siku, utakuwa umejijngea uwezo mkubwa wa kutumia Facebook kwa ajili ya biashara yako.  Pia, washiriki wote watapata nafasi ya kuuliza maswali kwa email kwenda kwa wataalamu wetu

DEUTSCHE WELLE (DW) KUTUMIA MBINU MPYA YA KUKUFIKISHIA TAARIFA MOJA KWA MOJA KUPITIA WHATSAPP

Image
Mpenzi msikilizaji, msomaji na shabiki wa DW popote pale ulipo, unasemaje kuhusu kupokea habari, picha, vidio na sauti zenye ujumbe wa kukuchangamsha moja kwa moja kwenye simu yako ya mkononi? Sasa Idhaa ya Kiswahili ya DW inawasiliana nawe moja kwa moja kupitia WhatsApp. DW inakupa huduma hii mpya bila malipo kupitia mtandao wa WhatsApp. Unachohitaji ni simu yako tu yenye huduma ya intaneti na pia WhatsApp. Baada ya hapo fuata hatua zifuatazo kupokea taarifa kutoka kwetu: 1. Hifadhi namba ya WhatsApp ya Idhaa ya Kiswahili ya DW ambayo ni  +4915752862185  kwenye simu yako 2. Tuma ujumbe kwa kutumia WhatsApp kwenye namba hiyo ukiwa na neno “Niunge.” Ukipenda, tuambie jina na pia nchi yako. Baada ya hapo, tutakuweka kwenye orodha ya watu wanaopokea ujumbe kutoka kwetu kila tunapotuma taarifa mpya. Usihofu, hatutakutumia zaidi ya taarifa mbili kwa siku. Kuwa mmoja wa wanachama wetu wa mwanzo kabisa kwenye jamii ya DW WhatsApp, uwe karibu kabisa na habari mpya

First Tanzanian Tech Company nominated for a Tech Award!

Image

TECHNOLOGY: JIFUNZE NJIA BORA YA KUWASILIANA KWA SAUTI KUPITIA FACEBOOK MESSENGER

Image
Technolojia inazidi kubadilisha maisha kila siku na kufanya gharama za mawasiliamo kuwa rahisi zaidi, kwa wale watumiaji wa simu zenye mfumo wa uendeshaji (operating system) katika simu zao kama iOS au Android sio wageni kusikia neno kama Viber, WhatsApp, Tango, Telegram, Skype,Hangouts,Kik,BBM na nyingine nyingi. Hizi Apps zote dhumuni lake ni katika kuwasiliana kwa njia ya maneno, picha, na video na baadhi ya Apps nyingine kuwekea kitu cha ziada ambacho kinazitofautisha na Apps zingine kama  uwezo wa kutuma document kama BBM au kupiga simu kupitia App hiyo mfano Viber, Skype, Facebook Messanger.  Application zote hizi za simu zinapatikana katika soko linalojulikana kama Android Marketplace maarufu kama Play store au kwa jina linkine "Google play"  na iOS App store maalumu kwa simu kama iphone. Leo ningependa kuzungumzia zaidi application inayoitwa "Facebook Messenger' iliyozinduliwa kwa majaribio  August 9, 2011 kwa matumizi ya  iOS na Android ikaanza