Posts

Showing posts from August, 2015

Madai Wema avunja ndoa! ni ya Esma mdogo wake Diamond

Image
Waandishi wetu HALI si shwari kwenye familia ya Kampuni ya Endless Fame Productions kufuatia madai mazito yanayomgusa mkurugenzi wake, Wema Isaac Sepetu akihusishwa na kuvunjika kwa ndoa ya mdogo wa mkali wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ almaarufu kwa jina la Esma Platnumz aliyeolewa na Hamad Manungwa ‘Petit Man’. MAI NDANI Katika sakata hilo, mtangazaji maarufu Bongo, Maimartha Jesse ‘Mai’, Esma na Mtangazaji Nasra Rajesh ‘Lady Naa’ wanadaiwa kuunda kundi lenye lengo la kuwasuta wezi wa waume za watu (Wema aliwekwa kwenye tageti) lililopewa jina la Al-Shabaab. Wakati mpango huo ukiendelea, Mai anadaiwa alielezea mkasa wa kuvunjika kwa ndoa ya Esma na Petit Man kwenye Instagram huku akimtaja Wema kuhusika kwa mafumbo, jambo lililomfanya staa huyo wa filamu (Wema) aogelee matusi ya kutosha. MADAI YA WEMA KUHUSIKA Madai kamili yanamhusisha Wema na uvunjifu wa ndoa hiyo akituhumiwa ‘kuchepuka’ na Petit Man kwa muda mrefu sasa huku mwenyewe akikanusha vikali.   USHAHI

NEC Yatoa Ratiba ya Kurejesha Fomu za Utezu wa Wagombea Urais

Image

Kisa Lowassa, wolper aoga matusi kutoka kwa mastaa

Image
M TOTO  mzuri Bongo Movies, Jacqueline Wolper, amejikuta akiambulia matusi mazito kutoka kwa staa mwenzake Isabela Mpanda kisa kikiwa ni kuonesha mapenzi yake kwa mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa. Isabela aliamua kumtusi staa huyo akidai anamshanga kujinadi kila siku katika mtandao wa Instagram kuwa ni mfuasi wa Lowassa wakati amelelewa na Chama cha Mapinduzi (CCM). Kupitia mtandao huo wa Istagram, Isabela aliamua kumtolea uvivu Wolper hadharani kwa kumwambia aache kupotosha umma kwamba ana mapenzi yaliyopitiliza wakati ni mnafiki mkubwa kwani upande wa pili anaitegemea CCM iliyomlea kisiasa Lowassa kabla ya kuhamia Chadema. “Huyu naye paka gani (Wolper) anajitia anaiponda CCM wakati njaa zake anaponea CCM. Panya Road wewe kwani anafanya nini koko huyu mpuuzi mkubwa, ms...,” aliandika Isabela kwenye Instagram.   Baada ya Isabela kumporomoshea matusi hayo, mtu wa karibu na Wolper alidai suala hilo lilimnyima raha kiasi cha

TANZANIA MWENYEJI FAINALI AFRIKA 2019

Image
Tanzania inatarajia kuwa wenyeji wa fainali za Afrika za soka kwa wachezaji walio chini ya umri wa miaka 17 zitakazofanyika mwaka 2019. Akizungumza leo jijini Dar es salaam Rais wa shirikisho la soka la Tanzania (Tff) Jamal Emmily Malinzi amethibitisha kuwa Tanzania watakuwa wenyeji wa fainali hizo . Amesema Tff kwa kushirikiana na Serikali ya Tanzania walituma maombi katika shirikisho la soka la Afrika (CAF) kuomba kuwa wenyeji wa fainali hizo na hatimaye Caf imeridhia Tanzania kuwa wenyeji mashindano hayo. Na shirikisho la soka Tanzania (Tff) likiwa katika mikakati ya maandalizi ya fainali hizo, Rais huyo amewataka wadau mbalimbali wa soka nchini yakiwemo mashirika ya watu binafsi , sekta binafs i kujitokeza na kutoa michango ya fedha na vifaa kwa lengo la kufanikisha fainali hizo na hatimaye kuweza kujitangaza kisoka kupitia fainali za afrika kwa vijana walio chini ya umri wa miaka 17.wa mujibu wa BBC

BURUNDI: PIERRE NKURUNZIZA AAPISHWA KWA MUHULA WA TATU

Image
Pierre Nkurunziza ameapishwa kwa muhula wa tatu, lakini sherehe za kuapishwa zasusia na jumuiya ya kimataifa, Bujumbura, Agosti 20 Na RFI Rais wa Burundi Pierre Nkurunziza amemeapishwa Alhamisi wiki hii kwa kuliongoza taifa hilkwa muhula wa tatu unaoendelea kuzua utata. Pierre Nkurunziza angeliapishwa Agosti 26, kwani ndio siku muhula wa pili ungelikua umetamatika. Lakini Pierre Nkurunziza na washirika wake wa karibu wamebaini kwamba wamefanya hivyo kutokana na mdororo wa usalama unaoendelea kushuhudiwa nchini mwao. (P.T) Watu wachache wamehudhuria sherehe hizo za kuapishwa kwa rais Pierre Nkurunziza. Wawakilishi kadhaa wa nchi za kigeni, ikiwa ni pamoja na mabalozi mbalimbali wamesema walipata taarifa ya kuapishwa kwa rais huyo katika dakika ya mwisho kwa njia ya simu. Hata waandishi wa habari wa kituo cha runinga vya serikali wamepewa taarifa hiyo mapema leo Alhamisi asubuhi. Ili kujitetea kuhusu haraka hiyo ya kuapishwa kwa rais, viongozi nchini Burundi wameelezea &qu

YALIOTAWALA KWENYE MAGAZETI YA LEO TZ, AGOSTI 21

Image

VIDEO: Mayunga ameiachia ‘Nice Couple’.. hii ya kwanza kabisa baada ya Ushindi wake wa #TraceMusicStar

Image
Mtanzania aliyeibuka mshindi kwenye shindano la   Trace Music Star  mbele ya Majaji watatu ndani ya  Nairobi +254  ikiwemo  Akon ,  Mayunga  anaanza rasmi kutengeneza njia yake kubwa kwenye muziki wa Kimataifa baada ya kuiachia hii ngoma ya kwanza kabisa baada ya ushindi wake. Kwa mara ya kwanza huu mdundo uliachiwa EXCLUSIVE on # TraceUrban  na sasahivi tunapata nafasi nyingine kuishuhudia hii baada ya kunifikia na mimi mtu wako wa nguvu . Hii video iko hapa mtu wangu, play ucheki huu ujio wa  Mayunga  chini ya usimamizi wa lebo ya  Universal Music  na mikono ya  Akon . Video imefanyika  South Africa  chini ya usimamizi wa  Trace Urban South Africa  pamoja na  Universal Records  ambako  Akon  alihusika kwa upande huo na kama hukubahatika kuitazama video hiyo  July 31  karibu uitazame tena hapa chini mtu wangu.

Ester Bulaya Hakuwa na Mpango wa Kuhama CCM ila…

Image
Najua nina watu wangu wanaopenda stori za siasa sasa stori ninayotaka kukusogezea ni hii kutoka kwa aliyekuwa mbunge wa viti maalumu kupitia CCM Ester Bulaya pamoja anaonekana kwenye headlines mpya za Chadema baada ya kuhamia chama hicho anasema hakutegemea kuhama chama cha Mapinduzi (CCM). ‘Kuhama inatokea na mazingira lakini mimi sikuwahi kufikiria kama nitakuja kuhamia Chadema lakini mienendo, tabia, future  ya kuwatumikia wananchi ilikuwa imepotea mimi nimekulia CCM na am proud for that  wamenilea lakini walinilea kwenye misingi ya uwazi na ukweli kile walichonifunza nikitaka kukitumia hawataki sasa kama kuna wengine kile nilichofundishwa huku wao wanakiaminia kutoka moyoni na midomo mwao niende kujiunga nao lakini wote tukiwa na ndoto za kuwatumikia wananchi’ -Ester Bulaya ‘ Unajua kuna tofauti ya utumishi na mtu kufikiri utumishi ni cheo wanaofikiri ubunge ni cheo ni wale ambao hawatimizi wajibu wao wanataka ubunge kutaka madaraka Fulani, mimi ni mtumishi naenda kuwatumikia wa

PICHA 3 Lowassa akisani fomu ya Urais siku ya jana

Image

Tanzania suspends 70 job agencies for trafficking girls, boys

THE government has suspended over 70 agents dealing with the recruitment of domestic workers following claims that they have been recruiting housemaids to Oman where they have been subjected to gross violation of human rights. Addressing journalists in Dar es Salaam yesterday, the Secretary of the Anti-trafficking Secretariat, Mr Seperatus Fella, said that a lot of complaints have emerged on the exploitation of mostly young girls who have been sent to work in Oman. "Most of these girls and boys are subjected to commercial sex or work as domestic servants and barmaids, with some sent on forced labour in factories, farms and mines under very poor conditions and fear of being physically harmed by their employers," said Mr Fella. He pointed out that there was no proper systems to monitor the job seekers while they are already there, which makes it easier for employers to exploit them. "Tanzania has been pointed as a source and destination country for men, women, and children

PROFESSA JAY ACHUKUA FOMU YA KUGOMBEA UBUNGE JIMBO LA MIKUMI KUPITIA CHADEMA

Image
Nimechukua fomu ya kugombea ubunge jimbo la MIKUMI, Eeeh MWENYEZI MUNGU NISAIDIE!!!  kupitia ukurasa wake wa Twitter, msanii wa bongo fleva Joseph Haule aka profesa Jay amechukua rasmi fomu ya kugombea jimbo la Mikumi kupitia CHADEMA.

Ahadi za CCM Uchaguzi Mkuu ambayo ni kupambana na umaskini, ajira kwa vijana, ulinzi na usalama na kupambana na rushwa kwa kuanzisha mahakama maalumu

Image
Hatimaye Chama cha Mapinduzi (CCM) kimeipua Ilani yake ya Uchaguzi kwa mwaka 2015-2020, ikitaja mambo makuu manne ya kushughulkikia katika miaka mitano ijayo, ambayo ni kupambana na umaskini, ajira kwa vijana, ulinzi na usalama na kupambana na rushwa kwa kuanzisha mahakama maalumu ya makosa hayo. Ilani hiyo, iliyoandaliwa na makada wake 32 wakiongozwa na Stephen Wasira, imeanisha jinsi chama hicho kikongwe kilivyotekeleza baadhi ya ahadi zake katika ilani ya mwaka 2010-2015 na kutaja ahadi mpya zikiwamo zinazohusu ujenzi wa miundombinu, kukuza uchumi, viwanda, nishati, kilimo, sanaa na michezo pamoja na kuimarisha ulinzi na usalama. “Ilani hii ni tamko maalumu kwa wapigakura kuhusu nia ya CCM ya kuendelea kushika dola na kuwaongoza Watanzania kwa njia ya kidemokrasia na hasa kuendelea kudumisha amani, umoja wa kitaifa, usawa, ustawi wa wananchi, Muungano wa Tanganyika na Zanzibar na Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar kwa kipindi kingine cha miaka mitano,” inasema ilani hiyo. Kukam

MAGAZETI YA ALHAMIS, AGOSTI 20

Image
. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .