Posts

VICHWA VYA HABARI KATIKA MAGAZETI YA LEO JUMAMOSI,MACHI 6.

Image
. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .

VICHWA VYA MAGAZETI IJUMAA YA TAREHE 6

Image
. . . . . . . . . . . . . . . . . . . SOURCE  http://millardayo.com/

THE CHOICE WEB YATOA MAJINA SITA YA WASANII WANAOHESHIMIKA ZAIDI JE NI KINA NANI HAO?

Image
Kutokana na utafiti uliofanywa na timu nzima ya  www.thechoicetz.com , imebaini wasanii 6 upande wa muziki wa kizazi kipya wanaoheshimika sana Tanzani katika jamii.Vigezo vilivyo zingatiwa katika utafiti huu ni pamoja na kutobaini skendo za ajabu ajabu kwa hawa wasanii,pia hutumiwa katika utoaji nasaa mbalimbali katika jamii pia wanajiheshimu katika mambo yao kwa ujumla. 1.LADY JAY DEE Mwanadada JIDE ama binti machozi ameweza kuongelewa sana kama msanii anayeheshimika sana tanzania kutokana na idadi kubwa ya watu walio hojiwa kumtaja yeye kama ndo mwana muziki mwenye kuheshimika sana tanzania kwa upande wa muziki wa kizazi kipya 2.PROF J Prof J naye hakuwa nyuma katika kutajwa na idadi kubwa,Prof j kama muhasisi mkubwa wa huu muziki wa kizazi kipya anaheshimika sana kutokana na mchango wake mkubwa katika hii gemu bila ya kuwa na sifa mbaya zinazo weza kumchafulia heshima yake 3.FID, Q Huyu ni msanii aliyezungumziwa kuwa ni mpole sana mkinywa na hufanya kazi zake kwa