Posts

MAJINA YA WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA VYUO VYA UUGUZI NGAZI YA CHETI HAYA HAPA

BOFYA HAPA KUFUNGUA MAJINA YOTE

JE UMESHAONA WALIOCHAGULIWA KATIKACATEGORIES ZOTE ZA KILIMANJARO MUSIC AWARDS?HIZI HAPA

Image
  Majina ya wasanii, waandaaji muziki na vikundi kwa ajili ya tuzo za Kilimanjaro Tanzania Music Awards 2013 WIMBO BORA WA MWAKA Dear God - Kala Jeremiah Leka dutigite - Kigoma all star Mapito - Mwasiti Feat Ally Nipishe Me n U - Ommy Dimpoz Feat Vanessa Mdee Pete- Ben pol MSANII BORA WA KIUME Ben Pol Diamond Linex Mzee Yusuf Ommy Dimpoz MSANII BORA WA KIKE Isha Mashauzi Khadija Kopa Lady Jaydee Mwasiti Recho MSANII BORA WA KIKE - TAARAB Isha Mashauzi Khadija Kopa Khadija Yusuph Leila Rashid MSANII BORA WA KIUME - TAARAB Ahmed Mgeni Hashim Said Mzee Yusuf MSANII BORA WA KIUME - BONGO FLAVA Ally Kiba Ben Pol Diamond Linex Ommy Dimpoz MSANII BORA WA KIKE - BONGO FLAVA Linah Mwasiti Recho Shaa MSANII BORA WA HIP HOP Fid Q Joh Makini Kala Jeremiah Profesa J Stamina 9. Msanii Bora wa Kiume - Bendi Chalz Baba Dogo Rama Greyson Semsekwa Jose Mara Khaleed Chokoraa Msanii Bora w

JE ULIMISS KUONA GOLI ALIZOPIGWA REAL MADRID? HIZI HAPA

Image

VIDEO YA MAMA YOYO YA GNAKO NA BEN PAUL HII HAPA

Image

VICHWA VYA MAGAZETI LEO APRIL 25

Image
. . . . . . . . . . . . . . . . . . . source millardayo

MAGOLI YOTE ALIYOCHAPWA BARCA VIDEO YAKE HII HAPA

Image

SERIKALI YATENGA BILIONI 326 KUWAKOPESHA WANAFUNZI 95,902 WA ELIMU YA JUU NCHINI KWA MWAKA 2012/13.

Image
Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Mhe. Philipo Mulugo Na Benedict Liwenga-Maelezo, Dodoma. SERIKALI imetenga shilingi Bilioni 326.0 katika mwaka wa masomo 2012/2013 kwa ajili ya kuwakopesha wanafunzi 95,902 wakiwemo wanafunzi wa mwaka wa kwanza, ikilinganishwa na kiasi cha Shilingi Bilioni 56.1 kilichokuwa kimetengwa mwaka wa masomo 2005/2006 kilichomudu kukopesha wanafunzi 42,729. Kauli hiyo imetolewa leo Bungeni mjini Dodoma na Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Mhe. Philipo Mulugo wakati akijibu swali la  Mhe. Rashid Ali Abdallah Mbunge Jimbo la Tumbe alilotaka kujua kwanini Serikali imeshindwa kuwapatia mikopo baadhi ya Wanafunzi wenye sifa za kuendelea na masomo na Serikali ina mpango gani wa makusudi kuhakikisha kuwa Wanafunzi hao wanapata elimu. Alisema kuwa ongezeko hilo la fedha ni ishara tosha kuwa Serikali ina nia ya kuhakikisha kuwa wanafunzi wote wenye sifa za kusoma Vyuo vya Elimu ya Juu wanapata mikopo itakayowawezes