Posts

SEMINA SIKU YA MSANII KUFANYIKA KESHO

Image
  SEMINA ya wasanii mbalimbali iliyoandaliwa na Kamati ya Siku Ya Msanii itafanyika kesho Alhamisi katika ukumbi wa Makumbusho ya Taifa Mjini Dar es Salaam. Ofisa Uhusiano wa Siku Ya Msanii, Petter Mwendapole alisema maandalizi yote kwa ajili ya semina hiyo yamekamilika na kwamba wasanii 400 mpaka jana walikuwa wameshajiandikisha. “Lengo letu ni kuwaelimisha wasanii katika kazi zao, lakini pia kuweza kuwapa nafasi ya kupata mafunzo yatakayowasaidia uzeeni wakati ambapo hawatakuwa wakifanya tena sanaa,” anasema. Mada zitakazowasilishwa ni pamoja na Urasimishaji wa Tasnia ya Sanaa nchini itakayowasilishwa na mtaalamu kutoka Mamlaka ya Mapato nchini (TRA) na  Umuhimu wa hifadhi ya jamii kwa wasanii itakayowasilishwa na Mfuko wa Pensheni wa PSPF. “Mada hizi zimelenga kuongeza uelewa wa wasanii kuhusu umuhimu na ushiriki wao katika sekta ya hifadhi ya jamii na vilevile umuhimu wa kurasimisha sekta ya sanaa nchini. Wasananii kama wada

MAGAZETI YA LEO JUMATANO, OCTOBER 22

Image

VITA NZITO: ALI KIBA VS DIAMOND, CLOUDS VS TIMES

Image
Stori: Erick Evarist, Musa Mateja na Chande Abdallah MTIFUANO! Tamasha la Serengeti Fiesta 2014 limepita lakini nyuma yake limeacha vita nzito iliyowahusisha mafahari wawili, Nasibu Abdul ‘Diamond’ na Ali Kiba huku waandaaji wa tamasha hilo, Clouds FM wakisigana na Times FM kumgombea msanii wa Nigeria, David Adedeji Adeleke ‘Davido’, Risasi Mchanganyiko linakupa mchongo kamili. Msanii wa Bongo Fleva, Ali Kiba… Stori: Erick Evarist, Musa Mateja na Chande Abdallah MTIFUANO! Tamasha la Serengeti Fiesta 2014 limepita lakini nyuma yake limeacha vita nzito iliyowahusisha mafahari wawili, Nasibu Abdul ‘Diamond’ na Ali Kiba huku waandaaji wa tamasha hilo, Clouds FM wakisigana na Times FM kumgombea msanii wa Nigeria, David Adedeji Adeleke ‘Davido’, Risasi Mchanganyiko linakupa mchongo kamili.

Taarifa ya SUMATRA ya utaratibu wa daladala zilizohamishiwa Mawasiliano Towers

KUHAMISHIA DALADALA KITUO CHA SIMU 2000 (NYUMA YA MAWASILIANO TOWERS) KUANZIA ALHAMIS TAREHE 23.10.2014 Baada ya kituo cha Simu 2000 kukamilika SUMATRA kwa kushirikiana na Manispaa ya Kinondoni na Kikosi cha usalama barabarani Mkoa wa Kinondoni tumekubaliana kufungua kituo hiki tarehe 23.10.2014 asubuhi kwa daladala ambazo zilikuwa zinaishia au kuanza safari katika kituo cha daladala Ubungo. Kila dereva anatakiwa kufuata utaratibu ulioelekezwa hapa chini ili kuondoa usumbufu usio na tija. 1. DALADALA ZINAZOTOKA MASAKI zikifika barabara ya Shekilango zitaingia kulia kwa kutumia barabara ya TANESCO inayokwenda moja kwa moja kituoni simu 2000 na zitarudi barabara ya Shekilango kwa kutumia njia hiyo hiyo ya TANESCO. 2. DALADALA ZINAZOTOKA KARIAKOO, POSTA na KIVUKONI zikifika mataa ya Ubungo zitaingia kulia (barabara ya Sam Nujoma) kwenda kituoni Simu 2000, zitarejea zilikotoka kwa kutumia barabara hiyo hiyo 3. DALADALA ZINAZOTOKEA BARABARA YA MANDELA zitavuka mataa

MECHI YA YANGA, SIMBA YAINGIZA MIL 427/=

Image
Mashabiki wa timu ya Simba Mashabiki wa timu ya Yanga Mechi ya Ligi Kuu ya Vodacom kuwania ubingwa wa Tanzania Bara kati ya Yanga na Simba iliyochezwa juzi (Oktoba 18 mwaka huu) Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam imeingiza sh. 427,271,000. Washabiki 49,542 walikata tiketi kushuhudia mechi hiyo ambapo viingilio vilikuwa sh. 7,000, sh. 10,000, sh. 20,000 na sh. 30,000. Asilimia 18 ya Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) iliyolipwa ni sh. 65,176,932 wakati asilimia 5 ya gharama ya tiketi kwa CRDB ni sh. 21,363,550. Kwa upande wa Mfuko wa Maendeleo ya Mpira wa Miguu (FDF) ambayo ni sh. 1,000 kwa kila tiketi, timu mwenyeji Yanga imepata sh. 17,339,700, Chama cha Mpira wa Miguu Mkoa wa Dar es Salaam (DRFA) sh. 7,431,300 na Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) sh. 24,771,000. Mgawo mwingine wa mapato hayo ni Uwanja sh. 43,678,277.67, gharama za mchezo sh. 24,751,024.01, Bodi ya Ligi sh. 23,295,081.42, TFF sh. 17,471,311.07, DRFA sh. 10,191,

MAGAZETI YA LEO JUMANNE, OCTOBER 21 YAPO HAPA

Image