SAMAHANI SANA WAPENZI WA BLOG HII

Kutokana na sababu zisizoweza kuzuilika nimekuwa nikishinda kupublish habari kutokana nakuwa na majukumu mengine ya shule ambayo yamekuwa yamechukua nafasi kubwa zaidi kwa sasa,lakini bado tuko pamoja pindi nitakapokuwa napata nafasi basi nitakuwa najitahidi kuja na kuwapa taarifa za kutosha

Comments

Popular posts from this blog

PATA UKWELI KUHUSU MWANAMALUNDI, MTU WA MAAJABU ALIYEWAHI KUTOKEA KATIKA HISTORIA YA KABILA LA KISUKUMA