Posts

SIKILIZIA PINI KALI NA MPYA ZINAZOTAMBA KWENYE RADIO STATION NCHINI

Find more music like this on Bab Kubwa IF U FEEL MUSIC LISTEN THOSE TRUCKS

LIL WYNE APATA KIBARUA JELA..

Image
Lil Wayne anaendelea na maisha yake akiwa jela katika kisiwa cha Rikers na hivi sasa bosi huyo wa Young Money amepatiwa kazi maalum ya kufanya akiwa jela. Antonia Toya ambaye ni mpenzi wa lil wayne tangu wakisoma pamoja sekondari na pia mama wa binti wa Wayne aliye na miaka 11 sasa Reginae Carter amesema kazi ya Wayne jela ni kuangalia wafungwa wenzake wasiuane anawaangalia wafungwa walioshindikana wasipigane hadi kuuana, inaonyesha jamaa ni mtemi kuwazuia watemi, wababe kuacha kugombana ni kazi kubwa sana lakini anaipenda kazi hiyo ambayo haimlipi Nyota huyo wa Hip hop anatumikia jela mwaka mzima kutokana na kosa la kumiliki silaha kinyume cha sheria baada ya kuhukumiwa mwezi uliopita lakini jela za wenzetu ni nzuri kwani hadi hivi sasa hajakata nywele zake ndefu

KUMBUKUMBU YA KUMKUMBUKA MARTIN LUTHER KING

Image
leo ni kumbukumbu ya Mwanaharakati wa kutetea haki ya mtu mweusi(Martin Luther King)aliyezaliwa mwaka 1929 huko Marekani na kufariki mwaka 1968 na kuzikwa Atlanta.Alikuwa ni mpigania haki za mtu mweusi aliyeshiriki katika Civil Right Movement na Pan African Movement ili kumkomboa mtu mweusi,kutoka mikononi mwa Wazungu,juhudi zake na mchango wake hautasahulika kamwe pia ndoto yake aliyokuwa nayo kuwa siku moja nchi ya marekani itaongozwa na mtu mweusi imeshatimia.RIP

WABONGO KWA KUMODIFY

Image
LOL Sina la kusema wadau mnasemaje hapo

MAPENZI KITU CHA AJABU...

Image
Si binadamu tu wanyama pia wamo kwenye mchakato huu,ona picha

MAISHA NDO YANATAKIWA KUISHIA HIVI!

Image

SIO MPAKA UPANDE VX AU BENZ

Image
bi harusi na bwana harusi Bi harusi na bwana harusi huko majuu,lakini wanaona jambo la kawaida kupanda ndinga kama hii,pande za kwetu huku ni bonge la mzozo