Posts

MH.SAMWEL SITTA APENDEZESHA MAHAFALI YA 3 YA SSPRA

Image
SAMAHANI WAPENZI WA WEBSITE HII KWA SASA UNAWEZA KUTIZAMA JAPO PICHA,TAARIFA KAMILI NA MPANGILIO WA PICHA PAMOJA NA CAPTION ZA PICHA HIZI ZITAANDIKWA BAADAYE KWA SASA NINA KIPINDI

HIVI NDIVYO ILIKUWA USIKU WA HANDOVER PARTY CHUONI SAUT

Image
Picha ya viongozi waliopo na wanaondoka madarakani MH.Rais wa serikali ya wanafunzi SAUT Dovakmwene mwenye suti akiwa na Nyanja Poti aliyekuwa katibu wa wizara ya Habari na Mawasiliano Maafsa Uhusiano wa chuo cha Saut kulia ni Komu living na kushoto ni Francis Moses Mh. David pia alikuwepo MH. Malisa kulia akiwa ameambatana na Makamu pamoja na Waziri mkuu Mh. Baraka ambao wamemaliza muda wao wa Uongozi Kutoka kushoto ni Mh. Nyanja, katikakati ni Mora Wisdom alikuwa waziri wa fedha na kulia ndio rais wa sasa Mh.Dova Mh. Nice Mbelesero aliyekuwa katibu mkuu ofsi ya Rais na Mimi katika picha ya pamoja Aliyekuwa waziri wa Michezo Abubakari maarufu kama akida katika picha ya pamoja na mimi Aidan Kaijanante alikuwa waziri wa Mambo ya Nje katka serikali ya wanafunzi SAUTSO