HIVI NDIVYO ILIKUWA USIKU WA HANDOVER PARTY CHUONI SAUT

Picha ya viongozi waliopo na wanaondoka madarakani


MH.Rais wa serikali ya wanafunzi SAUT Dovakmwene mwenye suti akiwa na Nyanja Poti aliyekuwa katibu wa wizara ya Habari na Mawasiliano

Maafsa Uhusiano wa chuo cha Saut kulia ni Komu living na kushoto ni Francis Moses

Mh. David pia alikuwepo



MH. Malisa kulia akiwa ameambatana na Makamu pamoja na Waziri mkuu Mh. Baraka ambao wamemaliza muda wao wa Uongozi




Kutoka kushoto ni Mh. Nyanja, katikakati ni Mora Wisdom alikuwa waziri wa fedha na kulia ndio rais wa sasa Mh.Dova

Mh. Nice Mbelesero aliyekuwa katibu mkuu ofsi ya Rais na Mimi katika picha ya pamoja



Aliyekuwa waziri wa Michezo Abubakari maarufu kama akida katika picha ya pamoja na mimi
Aidan Kaijanante alikuwa waziri wa Mambo ya Nje katka serikali ya wanafunzi SAUTSO

Comments

Popular posts from this blog

PATA UKWELI KUHUSU MWANAMALUNDI, MTU WA MAAJABU ALIYEWAHI KUTOKEA KATIKA HISTORIA YA KABILA LA KISUKUMA