Posts

AUDIO: SIKILIZA NA KUDOWNLOAD PINI JIPYA LA MAVOLUME_FT_SPIA_JIULIZE_CREATIVITY MUSIC PRODUCTIO_DIVAI

VIDEO:ULIMISS KUANGALIA COKE STUDIO WAKATI DIAMOND AKIPERFORM?ANGALIA HAPA

Naseeb Abdul aka  diamond platnumz ni msanii anayetishakatika ukanda wa Afrika Mashariki katika miondoko ya  bongoflava kwa sasa.tokea atoke na ngoma yake ya kamwambie Naseeb hajawai kuzimika katika ulimwengu wa muziki wa bongo. Diamond ni moja ya wasanii anayejituma sana katika muziki huu wa bongo fleva na kila kukicha amekuwa ni mbunifu wa kuongeza thamani kwa kile anachokifanya,akiwa na zaidi ya nyimbo 130 kwenye library yake,week iliyopita alionekana ndani ya Coke studio na kuirudia ngoma ya temptation na msanii HHP kutoka Afrika ya kusini,hii imemfanya diamond kubadilika kimziki na kuonyesha style nyingine ambayo imemfit pia. Akiwa na umri wa miaka 24 tu kwa sasa , Diamond alianza muziki tokea akiwa na miaka 13 na alikua akicopy baadhi ya miziki na baadae baada ya kujiunga na sekondari mama yake mzazi alimwambia aachane na muziki lakini mzee mzima alikomaa na kufight hadi kufika alipo kwa sasa. Alipokwenda Coke studio diamond aliirudia ngoma ya "temptation" ya

VIDEO: NAKUPENDA PIA - WYRE FT. ALAINE (OFFICIAL VIDEO) LOVECHILD RECORDS

VIDEO:ANGALIA WIMBO WA Alaine- "You Are Me"

MUSIC: Download na Kusikiliza wimbo wa Nikki Mbishi - "Yote Sawa"

MAHOJIANO: HIKI NDO NILITAKA KUJUA KUTOKA KWA STEVE WA YANGA,ANGALIA HII VIDEO KUTOKA KWA MILLARD AYO

Thanks To Millard Ayo for this Video, nilitaka kujua je Steve wa Yanga angereact nini baada ya simba kurudisha magoli yote 3, imenifurahisha sana kwa kuwa nilichokitegemea kutoka kwake ndicho hicho hicho alichokifanya kwa kuanza vizuri kuongea mara baada ya hapo akaanza kupanic......

HUSSEIN MACHOZI AWAFUNGUKIA KUPITIA PAGE YAKE YA FB WANAOFATILIA NDOA YAKE

Image