Posts

SOMA MAGAZETI YA LEO ALHAMIS, JANUARY 29 YAPO HAPA

Image
. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . CHANZO:millard ayo

BURUDANI MGANGA WA DIAMOND JELA MIAKA 7, HAKIMU ASOMA HUKUMU KIJASHO KIKIMTOKA!

Image
Yule mganga aliyejitapa kumtengenezea nyota ya mvuto staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Ustadh Yahya amehukumiwa kifungo cha miaka saba (7) jela baada ya kukutwa na hatia katika kisa cha kuchanganya akihusishwa na wizi wa gari. Ustadh Yahya akiwa chini ya ulinzi. TUJIUNGE MAHAKAMA YA WILAYA YA ILALA Habari za uhakika zilieleza kwamba aliyehitimisha kesi hiyo ni Hakimu Mkazi Mwandamizi wa Mahakama ya Wilaya ya Ilala jijini Dar, Hassan Kisailo mapema Jumatatu wiki hii wakati jua la asubuhi likiwaka. HAKIMU ASHUSHA MIWANI Huku kijasho chembamba kikimtiririka huku akishusha miwani kidogo kuona wahudhuriaji wa kesi hiyo, Hakimu Kisailo alitoa hukumu hiyo kwa maelezo kwamba, mnamo Januari 20, mwaka jana, maeneo ya Kariakoo jijini Dar, Yahya alidaiwa kuiba gari aina ya Toyota RAV4 lenye namba za usajili T 139 BSJ likiwa na thamani ya Sh. milioni 12, mali ya Edrick Elieza. Wakati Hakimu Kisailo akisoma hukumu hiyo, mshtakiwa na wadhamini wake hawakuwepo maha