Posts

TAARIFA YA KINYANG'ANYIRO CHA KUMPATA MSHINDI WA TUZO YA JAMII

Image
Taarifa ya kinyang'anyiro cha kumpata mshindi wa tuzo ya jamii TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI KUHUSU TUZO YA JAMII  ITAKAYOTOLEWA TAREHE 13 APRIL 2015 KATIKA UKUMBI WA JULIUS NYERERE INTERNATIONAL CONVENTION CENTRE, JIJINI DAR ES SALAAM     MGENI RASMI: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dokta Jakaya Mrisho Kikwete     WAGENI WAALIKWA :  Mara baada ya Hafla ya Tuzo ya Jamii ambapo Washindi wote watapewa Tuzo na Mgeni Rasmi, Kutakuwa na Dhifa ya Kitaifa ya Tuzo ya Jamii ambayo itahudhuriwa na wageni wafuatao:     Wapewa Tuzo, Familia za wapewa Tuzo, Viongozi Waandamizi wa Serikali, Mabalozi wanaoziwakilisha nchi zao hapa Tanzania, Viongozi wa vyama vya siasa na kijamii na Wafanyabiashara, Taasisi zisizo za kiserikali, Watu Mashuhuri na Wawakilishi kutoka makundi yenye mahitaji maalum ambapo kwa mwaka huu watawakilishwa na Watu wenye Ulemavu wa Ngozi-Albino     MUHIMU :   Tanzania Awards International Ltd imepanga kufanya hafla ya utoaji wa