Posts

MAADHIMISHO YA MIAKA 20 YA KUZAMA KWA MV.BUKOBA

Magazeti ya Leo Jumapili

Image

Obama aelekea katika ziara Vietnam na Japan

Image
Rais Obama (kulia)akisalimiana na kiongozi wa chama cha kikomunist cha Vietnam Nguyen Phu Trong(kushoto) Rais wa Marekani Barack Obama ameondoka jana Jumamosi (21.05.2016)kwenda katika ziara nchini Vietnam na Japan ambayo itajumuisha ziara ya kwanza mjini Hiroshima kwa rais wa Maarekani aliyeko madarakani. Obama amesafiri kwa ndege rasmi ya rais ya Air Force One katika mkondo wa kwanza wa ziara hiyo, ambayo itamalizika kwa kusimama kwa muda kutia mafuta katika kituo cha kijeshi cha Elmendrf katika eneo la Anchorage , jimboni Alaska. Ziara ya kumi ya rais Obama katika bara la Asia ina lengo la kufunga kurasa mbaya katika vita viwili vya karne ya 20 katika eneo hilo ambalo analiona kuwa muhimu katika hali ya baadaye ya Marekani. Ziara hiyo itaanzia Hanoi, ambako Obama atasisitiza kuimarisha uhusiano na nchi hiyo inayojitokeza kwa kasi na kwa nguvu kiuchumi, lakini ni nchi ambayo , kwa Wamarekani wengi , inabakia kwa maneno kuwa nchi ya ma

HABARI ZILIZOPO KWENYE MAGAZETI YA LEO MAY 20

Image
TANZANIA KENYA UGANDA