Posts

WANANCHI WA WILAYA YA UBUNGO WAKO MBIONI KUSOGEZEWA HUDUMA

Image
Mstahiki Meya wa Manispaa ya Kinondoni Mhe. Boniface Jacob akisalimiana na Mkuu wa Wialaya ya Ubungo Mhe. Humphrey Polepole alipokaribishwa katika Baraza la Madiwani wa Manispaa ya Kinondoni jana Jijini Dar es Salaam. Polepole amekaribishwa ili apate fursa ya kutambulishwa kwa Madiwani ambao kwa namna moja au nyingine atakuwa akifanya kazi nao kwa kuwa Wilaya yake imetokana na Manispaa hiyo. Frank Shija,MAELEZO Mchakato wa kukamilisha taratibu za kuanza rasmi kwa shughuli za kiutendaji kwa Ofisi za Mkuu wa wilaya na Manispaa ya Ubongo uhuko mbio kukamilika. Kauli hiyo imetolewa na Mstahiki Meya wa Manispaa ya Kindondoni ambaye pia ni Diwani wa Kata ya Ubungo Mhe. Boniface Jacob wakati wa Kikao cha Baraza la Madiwani jana jijini Dar es Salaam. Mhe. Jacob amesema kuwa amearifiwa kuwa taratibu za kugawa rasilimali zimekamilika kinachosubiriwa tu ni kukamilika kwa suala la upatikanaji wa majengo ya Ofisi ambayo nayo yako mbioni kupatikana. Jacob aliongeza kuwa kukamilika kwa m

MAGAZETI YA LEO JUMATANO

Image
Tuma Maoni

DIAMOND PLATNUMZ FT P'SQUARE KIDOGO (OFFICIAL VIDEO)

Image

Polisi Wakamata Vyeti Bandia, Leseni za Biashara na Silaha Dar

Image
Kamishina wa Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam, Simon Sirro akiongea na wanahabari (hawapo pichani). Akionesha bunduki iliyokamatwa. Kamanda Sirro akionesha vyeti bandia vya sekondari. Nyaraka na vyeti mbalimbali vilivyokamatwa na jeshi la polisi jijini Dar es Salaam. Baadhi ya vyeti Bandia  vya Mamlaka ya Mapato (TRA) vilivyokamatwa. JESHI la polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, limekamata mitambo na vyeti mbalimbali vya shule za msingi, kuzaliwa, sekondari, biashara, stika za magari za TRA, bunduki moja na bastola maeneo mbalimbali ya jiji la Dar es salaam ikiwemo eneo la Pugu. Akizungumza na wandishi wa habari, Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Kamishna Simon Sirro amesema kuwa vyeti hivyo na mitambo ya kuchapisha ilikamatwa katika oparesheni maalum iliyofanyika Julai mwaka huu, huku taarifa zingine zikitolewa na wananchi kukabiliana na waharifu hao. Amesema majambazi waliokamatwa bado majina yao yanahifadhiwa k

Magazeti ya Leo Jumatatu, Julai 11

Image