Posts

MAGAZETI YA LEO IJUMAA

Image

RAIS MAGUFULI ATOA SIKU 7 KWA WIZARA YA UJENZI, UCHUKUZI NA MAWASILIANO KUMALIZA DENI WANALODAIWA NA NHC

Image
Na: Lilian Lundo- Maelezo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli ametoa siku 7 kwa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano kulipa deni la bilioni 2 ambalo wanadaiwa na Shirika la nyumba la Taifa (NHC). Dkt. Magufuli ametoa agizo hilo kwa Katibu Mkuu wa Sekta ya Ujenzi, Injinia Joseph Nyamhanga leo jijini Dar es Salaam katika ziara ya kushtukiza ya kuangalia ujenzi wa hosteli za wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. “Nawapa siku 7 muwe mmelilipa hilo deni huku mkiendelea na utaratibu wa kuhamia Dodoma, kama hamtalilipa kwa wakati nitawaagiza NHC kuwatolea vitu vyenu nje kama wanavyofanya kwa wengine,” alisema Dkt. Magufuli. Amesema kuwa kiwango hicho cha bilioni 2 kingeiwezesha wizara hiyo kujenga ofisi za wizara kwa kuwatumia Wakala wa Majengo (TBA) ambao wako chini ya wizara hiyo badala ya kutumika kama kodi ya pango. Aidha, ameitaka wizara hiyo kuhamia Mjini Dodoma mara tu watakapokamilisha deni hilo na kutoendelea kupanga

Tanzania’s President to host East African Presidents

Tanzanian President John Magufuli will host East African Community (EAC) member states Presidents for a special summit this Thursday, 8th September South Sudan’s President Salva Kiir will be making his maiden appearance with the world’s youngest nation having just formally become a member of the community. Kenya’s President Uhuru Kenyatta, Uganda’s President Yoweri Museveni, Rwanda’s Paul Kagame and Burundi’s President Pierre Nkurunziza will be attending. “Now that they (South Sudan) have taken this step further (Joining the EAC officially), the Secretariat will seek guidance from the EA Council of Ministers on developing a detailed roadmap for integrating the Republic of South Sudan into ongoing EAC projects and programs,” said EAC Secretary General Ambassador Liberat Mfumukeko, adding that the leadership in Juba will be informed on every step taken in that regard according to the  Daily News

MAKAMU WA RAIS AZINDUA HOTEL YA NYOTA TANO KATIKATI YA JIJI LA DAR ES SALAAM

Image
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiweka jiwe la msingi la funguzi wa hotel ya Ramada Encore  yenye hadhi ya nyota 5 jijini Dar es Salaam, kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Hoteli hiyo Bw. Abdul Ismail.  Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akihutubia wakati wa hafla fupi ya uzinduzi wa hoteli ya Ramada Encore iliyopo katikati ya jiji la Dar es Salaam.  Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan (kulia)akizungumza na  Mkurugenzi Mtendaji wa Hoteli Ramada Encore  Bw. Abdul Ismail wakati wa halfa fupi wa uzinduzi wa Hotel ya Ramada Encore jijini Dar es Salaam. Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kuzindua hoteli ya nyota 5 ya Ramada Encore katikati ya jiji la Dar es salaam.

MAGAZETI YA LEO JUMATANO

Image
Tuma Maoni

HakiElimu "documentary" kuhusu Elimu Bure - Tafakari katika fikira angavu!

Image

MAGAZETI YA LEO JUMANNE, SEPTEMBA 6

Image