Posts

SERENGETI FIESTA ILIVYOFUNIKA NDANI YA MUSOMA USIKU WA KUAMKIA LEO

Image
Msanii wa muziki wa Hip Hop Bongo, Roma Mkatoriki, akiwajibika mbele ya mashabiki wake, kwenye jukwaa la Serengeti Fiesta 2012, ndani ya Viwanja vya Karume mjini Musoma usiku wa kuamkia leo. Wasanii wa Filamu Steve Nyerere (kushoto), na Aunt Ezekiel wakishindana kuonesha uwezo wa kuzungusha mauno yao katika tamasha la Sererengeti Fiesta 2012, lililofanyika kwenye uwanja wa Karume mjini Musoma.   Sehemu ya umati uliyofurika viwanjani hapo ukifuatilia kwa makini makamuzi ya wasanii hao wa Filamu, kwenye Tamasha la Serengeti Fiesta 2012, mjini Musoma.  Msanii mwenye umbo kubwa katika tasnia ya filamu Bongo, Jacob Steven ‘JB’, akionesha uwezo wa kunengua kwenye Tamasha la Serengeti Fiesta 2012 ndani ya uwanja vya Karume mjini Musoma.  Kati ya mashabiki waliyoshindwa kujizuia katika tamasha la Serengeti Fiesta 2012, wakizungusha nyonga zao kama inavyoonekana kwenye viwanja vya Karume mjini Musoma. 

Ijumaa hii usikose Uzinduzi wa Santuri 5 kwa pamoja ndani ya NEW MSASANI CLUB

Image

FACES ZA MISS MWANZA HIZI HAPA!! SHINDANO KUFANYIKA IJUMAA HII, NDANI YA YATCH CLUB MWANZA!!

Image

: MAHAKAMA KUU YAMVUA UBUNGE DR DALAL KAFUMU WA CCM

Image
Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Tabora imetengua matokeo ya Ubunge wa Mbunge wa jimbo la Igunga Mh. Dalaly Peter Kafumu ambaye alichukua nafasi hiyo baada ya mbunge wa zamani wa jimbo hilo Rostam Azizi Kujiuzulu. Mahakama hiyo imemvua Ubunge Dk. Kafumu hii leo katika Hukumu ya kesi ya Kupinga matokero iliyofunguliwa na aliyekuwa Mgombea Ubunge wa Chadema, Joseph Kashindye dhidi ya Dk Kafumu, Mwanasheria Mkuu wa Serikali pamoja na msimamizi wa uchaguzi.   Mbali na Dk Kafumu, washitakiwa wengine katika kesi hiyo ni Mwanasheria Mkuu wa Serikali na Msimamizi wa Uchaguzi huo, Protace Magayane. Shauri hilo lilianza kusikilizwa rasmi Machi 26 na Jaji Mary Shangal i. Zaidi ya malalamiko 13 yaliwasilishwa katika Mahakama hiyo.

MWENGE WA UHURU WAINGIA MKOANI MARA UKITOKEA MKOANI ARUSHA

Image
                                       Mbio za Mwenge wa uhuru zaanza mkoani Mara       Katibu Tawala mkoa wa Mara Bw, Clement Lujaji akiwa ameushika Mwenge wa Uhuru                  Mkuu wa wilatya ya Butiama Bi Angelina Mabula akiwa ameushika Mwenge wa uhuru                     Mkuu  wa wilaya ya Musoma Bw Jackson Msome akiwa ameushika Mwenge wa Uhuru                        Burudani ni sehemu za mbio hizo za Mwenge   Chanzo: www.mwanawaafrika.blogspot.com

WANAHABARI MARA WAPIGWA MSASA KUANDIKA HABARI ZA AFYA

Shomari Binda MUSOMA MUUNGANO wa vilabu vya waandishi wa habari nchini UTPC, umenza kutoa mafunzo maalum kuandika habari za afya kwa waandishi wa habari katika mikoa yote nchini. Hatua hiyo inalenga kuwajengea uwezo waandishi wa habari kuandika habari za afya zilizofanyiwa utafiti wa kina kwa lengo la kuboresha sekta afya na kufikisha ujumbe sahihi kwa jamii. Mkurugenzi wa UTPC Bw Aboubakar karssan, ameyasema hayo mjini Musoma wakati wa mafunzo ya kwanza ya siku nne kuanza kutolewa nchini kwa waandishi wa habari mkoani Mara ikiwa ni sehemu ya utatuzi wa matatizo na kuibua changamoto zinazokabili utoaji wa huduma ya afya nchini. Amesema kwa muda mrefu jamii imekuwa ikikabiliwa na sintofahamu juu ya kujikinga na maambukizi ya magonjwa hususan Ukimwi kutokana na waandishi nchini kutoandika habari ambazo zimefanyiwa utafiti wa kina ambao haotoi majibu ya namna ya kujikinga na maambukizi mapya. Kwa sababu hiyo ametoa wito kwa wanahabari mkoani Mara kutumia vem

HII VIDEO NAIKUBALI SANA Pah One - Ghetto (aika,igwee,ola,nahreel)

HII VIDEO KIUKWELI KATIKA MAZINGIRA AMBAPO IMETENGENEZEWA INAWEZA KUKUSTAJABISHA LAKINI NDIO MAZINGIRA HALISI,SEHEMU AMBAYO KUNA UCHAFU WA KUTOSHA LAKINI ADAM JUMA KAFANYA KWELI.

DJ Choka ft. Leo,Mabeste,Baghdad,Cyrill,Shetta,Noorah,Young D,Stereo,Deddy - PAMOJA WE CAN

Image

MAGAZETI YA LEO JUMAPILI TAREHE 12/08/2012!

Image
. . . . . . . . . . . .