Posts

VICHWA VYA MAGAZETI LEO JUMANNE DECEMBER 11

Image
. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .

VICHWA VYA MAGAZETI VYA LEO JUMATATU

Image
. . . . . . . . . . . . . . . . .

PRO NDANI YA HIKI KICHUPA CHA MAKAMUA KAKING'ARISHA

Image

Majambazi wavamia msafara wa maiti Singida wapora zaidi ya milioni 19 na kuvunja na kusachi jeneza.

Image
Gari aina ya Land Cruiser mali ya chuo cha SUA cha mjini Morogoro kama linavyoonekana baada ya kupigwa mawe na watu wanaodhaniwa kuwa ni majambazi nje kidogo ya mji wa Singida. Mhudumu wa chumba cha kuhifadhia maiti cha hospitali ya mkoa mjini Singida ambaye jina lake halikuweza kutambuliwa mara moja, akiliweka sawa jeneza baada ya kufanyiwa ukarabati baada ya kubomolewa na majambazi na kulisachi. (Picha na Nathaniel Limu). Na Nathaniel Limu. Watu wasiofahamika idadi yao na ambao wanadhaniwa kuwa ni majambazi, wamevamia gari lililokuwa linasafirisha maiti kutoka Morogoro mjini hadi mkoa wa Mara na kupora  zaidi ya shilingi milioni 19.8. Baada ya kumaliza zoezi la uporaji huo, majambazi hayo yalishusha jeneza na kisha kulifumua na kuanza kulisachi. Jeneza hilo lilikuwa limebeba mwili wa mwanafunzi  Munchari Lyoba, mwanafunzi wa mwaka wa tatu aliyekuwa anasomea elimu ya biashara kwenye chuo cha SUA. Amesema gari hilo lilibeba viongozi wa wanafunzi sita na viongozi wen

SWAHILI FASHION WEEK KUFANYIKA KUANZIA TAREHE 6-8 PALE GORDEN TULIP

Image

DIAMOND PLATNUMZ: NATAKA KULEWA OFFICIAL VIDEO

Image

LEO SIKU YA UKIMWI DUNIANI

Image
Leo dunia yote inadhimisha siku ya ukimwi duniani ambayo ufanyika kila tarehe 1/12 katika kuwakumbusha watu uwepo wa ugonjwa huu na kuwapa watu elimu juu ya kujizuia na maambukizi mapya. Blog hii inapenda kuwakumbusha watu wote kuwa makini na kuchukua hatua madhubuti za kuweza kujikinga na maambukizo ya virusi hivi ambavyo ni hatari ambapo mpaka leo dunia haijapata uvumbuzi wa dawa yake wala chanjo Pia waliokatika matumizi ya dawa za kupunguza makali basi wafuate masharti yote wanayoambiwa na madaktari. Pia tutumie siku hii ya leo katika kuwakumbuka ndugu zetu waliotangulia mbele ya haki kwa sababu ya gonjwa hili na kuwaombea ndugu na jamaa zetu ambao wameadhilika .

TUZO KUBWA ZA MITINDO KATIKA UKANDA WA AFRIKA MASHARIKI NA KATI ZA SWAHILI FASHION WEEK KUFANYIKA TENA KWA MARA YA PILI

Image
WASHIRIKI WA TUZO ZA SWAHILI FASHION WEEK 2012 WATAJWA CHAGUA MWANAMITINDO NA MBUNIFU BORA 2012 Wandaaji wa Tuzo kubwa za mitindo katika ukanda wa Afrika mashariki na kati wametangaza majina ya waliopendekezwa kushiriki katika kuwania tuzo mbalimbali za Swahili Fashion Week 2012 ikiwa pamoja na njia zitakazotumika kuwapigia kura washiriki wa tuzo hizo. Kufuatia mafanikio makubwa yaliyopatikana katika tuzo za mwaka jana, Tuzo za Swahili Fashion Week 2012 zinazoendana na kusherehekea miaka mitano tangu kuzaliwa kwa onyesho hili kubwa la mitindo Afrika Mashariki na kati mwaka huu, zimeongezwa tuzo nyengine tatu kutoka katika tuzo za mwaka jana ili kuweza kutoa changamoto kubwa zaidi katika tasnia ya mitindo hapa nchini na ukanda wote wa Afrika Mashariki na Kati. Hivyo kufanya jumla ya tuzo 15 kuwaniwa mwaka huu kutoka tuzo 12 za mwaka jana. Tuzo za mwaka huu ni: Best Male Model, Best Female Model, Best East African Model (Mpya), Designer of the Year, East African Designer of the